Hofu ya Corona: Rais Magufuli asitisha mbio za Mwenge 2020. Fedha kupelekwa ktk maandalizi ya kupambana na Corona

Hofu ya Corona: Rais Magufuli asitisha mbio za Mwenge 2020. Fedha kupelekwa ktk maandalizi ya kupambana na Corona

Pongezi kwa kuzuia mbio za mwenge

..aende mbali aongeze udhibiti katika mipaka ya nchi na wageni wote wawe quarantined kwa lazima wawe - au +

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe uonavyo ni kipi kingeanza? Nadhani uliyoyashauri yangeanza. Yakifuatiwa na mikusanyiko ya ndani.

Hili la mwenge nadhani kuna sababu nyingine iliyofichwa.
 
Hana nia ya dhati kuzuia Corona isiingie nchini kwa kuzuia mbio za mwengu huku mikusanyiko mingene ikiachwa iendelee.

Angekuwa serious,angezui ndege, hasa kutoka katika mataifa yaliyoathirika vibaya na corona, kuingia nchini.

Semeni tu kama lengo ni kuacha iingie alafu uchaguzi uairishwe.
Mkuu umetizama kwa jicho la Tatu.. Umeona mbali sana.
 
Mwenge ni kitu kidogo sana. Wiki ijayo vyuo vikuu vingi vinaanza tena muhula wa masomo. Vyuo hivi vina wanafunzi kutoka Ethiopia, Rwanda, Kenya nk. Endapo utaingia kupitia huko, na baada ya kugundulika wakawakimbizia wanafunzi waathirika majumbani tutakuwa katika hatari kubwa mno.
 
Pongezi kwa kuzuia mbio za mwenge

..aende mbali aongeze udhibiti katika mipaka ya nchi na wageni wote wawe quarantined kwa lazima wawe - au +

Sent using Jamii Forums mobile app
Mechi za soka inabidi zichweze bila mashabiki.
Shows za muziki nazo zipigwe marufuku.
Mipaka ya ndege ifungwe kabisa
 
Akiwa kwenye mkusanyiko, anapiga marufuku mikusanyiko.
Only in Tanzania
 
Hana nia ya dhati kuzuia Corona isiingie nchini kwa kuzuia mbio za mwengu huku mikusanyiko mingene ikiachwa iendelee.

Angekuwa serious,angezui ndege, hasa kutoka katika mataifa yaliyoathirika vibaya na corona, kuingia nchini.

Semeni tu kama lengo ni kuacha iingie alafu uchaguzi uairishwe.
Acha ufala basi , Umeona alichofanya ni Jambo Dogo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kutokana na kusambaa kwa virus vya Coron, Rais wa Jamhuri ya Muungano amepiga marufuku mbio za Mwenge kwa mwaka huu ili kuzuia mikusanyiko isiyo rasmi
Alipokuwa akitoa hilo tamko, kulikuwapo mkusanyiko au haukuwapo?
 
Bora watu wapumue!
Viongozi wa serikali za mitaa na kata walishapata deal, yaani mwananchi akienda kugongewa muhuri kwenye barua yake lazima aache 10,000/= ya mwenge!
 
Rais Magufuli amesitisha maadhimisho ya mbio za mwenge kutokana na tishio la ugonjwa wa Corona.

Rais Magufuli ameyasema hayo akiwa katika ziara ya ukaguzi wa daraja na barabara ubungo.

Source Channel ten!
 
Rais Magufuli amesitisha maadhimisho ya mbio za mwenge kutokana na tishio la ugonjwa wa Corona.

Rais Magufuli ameyasema hayo akiwa katika ziara ya ukaguzi wa daraja na barabara ubungo.

Source Channel ten!
Mwenge for what? Upuuzi mtupu kwa karne hizi.....
 
Rais anatakiwa aite vyombo vya habari alitangazie taifa rasmi mipango ya serikali kuhusu huu ungonjwa badala ya kutoa vitu in pieces mara achanganye na utani. Hii kitu ni serious na inabidi aichukulie hivyo ..... whether hatutakuwa affected sana au la!!
 
Back
Top Bottom