Hofu ya Corona: Rais Magufuli asitisha mbio za Mwenge 2020. Fedha kupelekwa ktk maandalizi ya kupambana na Corona

Hofu ya Corona: Rais Magufuli asitisha mbio za Mwenge 2020. Fedha kupelekwa ktk maandalizi ya kupambana na Corona

.
Hakuna kitu kama hicho cha zindiko. Amekufa Forojo, Shekhe Yahya na nchi bado inasonga mbele.
Mimi siamini kabisa katika mazindiko na kusema kweli hayana nafasi kwenye ulimwengu wa leo. Sisi waafrika kama hayo yangekuwa msaada, tungetetemesha dunia. Look at us! Choka mbaya na bado tunajitutumua na mambo ya kishetani
Pia inawezekani, ikawa ni njia bora ya kuthibitishia umma wa watanzania wanao amini kuwa ni zindiko kuwa siyo zindiko,Ikiwa hakutakuwa na lolote wala chochote kitachotokea..

Jr[emoji769]
 
Mkuu je kuna kafara gani katika ule wimbo wetu wa Taifa??

Alama ya bibi na bwana??

Twiga??

Natanguliza shukrani.
 
Forojo Ganze ambaye alikuwa ni mmoja kati ya wazee waliotumwa kufanya zindiko la nchi baada ya uhuru mjini Bagamoyo mkoani Pwani.

Forojo Ganze aliyezaliwa mwaka 1902 alifuatana na wazee wengine kwenda kwenye zindiko Bagamoyo ili Mwalimu Julius Nyerere aweze kutawala vema.

Wazee hao na miaka yao ya kuzaliwa kwenye mabano ni Mzee Ramadhan (1920), Ally Tarazo (1929), Komwe wa Komwe (1918) na Shehe Yahya Hussein (1925).

Wazee hao walipewa kazi hiyo na wazee wa Mkoa wa Dar es Salaam enzi hizo kuhakikisha rais aliye madarakani hapingwi na mtu yeyote, zindiko hilo lilifanyika Bagamoyo katika moja ya mashimo yanayopatikana wilayani hapo na baadaye Mwalimu Nyerere alipelekwa Bagamoyo, akachinjwa mbuzi na Nyerere akaambiwa atambuke (aruke damu) baada ya kutokula kutwa nzima, jambo ambalo aliwahi kukiri hadharani katika moja ya hotuba zake.



Jr[emoji769]
Mshana Jr
Hiyo ni story nzuri sana.

Inabidi kuiwekea kumbukumbu
 
Mi naona ni Yaleyale ya doctor shika na Simba vs yanga

Sent from Tapatalk
 
Watu wasichojua, ni kuwa hayo maneno unayosema, ni sala iliyoanzishwa na Mtakatifu Fransisco wa Assissi. Sala hiyo inasema hivi:

"Ee Bwana unifanye niwe chombo cha amani yako;
Palipo na chuki nilete mapendo
Palipo na makosa nilete msamaha
Palipo na shaka nilete tumaini
Pasipo na matumaini nilete tumaini
Palipo na giza nilete mwanga
Palipo na huzuni nilete furaha"

Mwalimu alikuwa mwumini wa imani ya Kanisa Katoliki. Ikumbukwe kuwa hata Uhuru aliamua upatikane usiku wa kuamkia Sikukuu ya Bikira Maria ambayo ni tarehe 10 Desemba. Na hiyo ni baada ya kushauriana sana na mapadre. Lakini yeye alitaka upatikane siku ya tarehe 10 Desemba. Hata maneno ya wimbo wa Taifa yaliandaliwa na Padre.

Nina mashaka sana na baadhi ya maelezo ya mleta mada. Mwalimu aliuweka mwenge kwa fikra zaidi za dini ya kikristo kuliko kwenye fikra za imani za kijadi/matambiko.

Ikumbukwe kuwa moto wakati wa ibada za Kanisa Katoliki, unaashiria uwepo wa Mwanga. Na Mwanga ni alama ya uwepo wa Mungu. Yesu yeye mwenyewe alitamka, Mimi ni Nuru ya Ulimwengu.
 
Watu wasichojua, ni kuwa hayo maneno unayosema, ni sala iliyoanzishwa na Mtakatifu Fransisco wa Assissi. Sala hiyo inasema hivi:

"Ee Bwana unifanye niwe chombo cha amani yako;
Palipo na chuki nilete mapendo
Palipo na makosa nilete msamaha
Palipo na shaka nilete tumaini
Pasipo na matumaini nilete tumaini
Palipo na giza nilete mwanga
Palipo na huzuni nilete furaha"

Mwalimu alikuwa mwumini wa imani ya Kanisa Katoliki. Ikumbukwe kuwa hata Uhuru aliamua upatikane usiku wa kuamkia Sikukuu ya Bikira Maria ambayo ni tarehe 10 Desemba. Na hiyo ni baada ya kushauriana sana na mapadre. Lakini yeye alitaka upatikane siku ya tarehe 10 Desemba. Hata maneno ya wimbo wa Taifa yaliandaliwa na Padre.

Nina mashaka sana na baadhi ya maelezo ya mleta mada. Mwalimu aliuweka mwenge kwa fikra zaidi za dini ya kikristo kuliko kwenye fikra za imani za kijadi/matambiko.

Ikumbukwe kuwa moto wakati wa ibada za Kanisa Katoliki, unaashiria uwepo wa Mwanga. Na Mwanga ni alama ya uwepo wa Mungu. Yesu yeye mwenyewe alitamka, Mimi ni Nuru ya Ulimwengu.
Vipi kuhusu habari za wazee wa Bagamoyo mbona habari zao ndio rasmi zinaandikiwa hata kwenye kumbukumbu za Kihistoria?
Sipingani na hicho ulichoandika lakini hakiko kwenye kumbukumbu za Kihistoria mbona?

Jr[emoji769]
 
Watu wasichojua, ni kuwa hayo maneno unayosema, ni sala iliyoanzishwa na Mtakatifu Fransisco wa Assissi. Sala hiyo inasema hivi:

"Ee Bwana unifanye niwe chombo cha amani yako;
Palipo na chuki nilete mapendo
Palipo na makosa nilete msamaha
Palipo na shaka nilete tumaini
Pasipo na matumaini nilete tumaini
Palipo na giza nilete mwanga
Palipo na huzuni nilete furaha"

Mwalimu alikuwa mwumini wa imani ya Kanisa Katoliki. Ikumbukwe kuwa hata Uhuru aliamua upatikane usiku wa kuamkia Sikukuu ya Bikira Maria ambayo ni tarehe 10 Desemba. Na hiyo ni baada ya kushauriana sana na mapadre. Lakini yeye alitaka upatikane siku ya tarehe 10 Desemba. Hata maneno ya wimbo wa Taifa yaliandaliwa na Padre.

Nina mashaka sana na baadhi ya maelezo ya mleta mada. Mwalimu aliuweka mwenge kwa fikra zaidi za dini ya kikristo kuliko kwenye fikra za imani za kijadi/matambiko.

Ikumbukwe kuwa moto wakati wa ibada za Kanisa Katoliki, unaashiria uwepo wa Mwanga. Na Mwanga ni alama ya uwepo wa Mungu. Yesu yeye mwenyewe alitamka, Mimi ni Nuru ya Ulimwengu.
Sasa mbona lilikuwa ni wazo la washirikina lililofanyika mapangoni bagamoyo kwa ushauri wa forozo ganze na shekh Yahya.Soma asili ya mwenge
 
Watu wasichojua, ni kuwa hayo maneno unayosema, ni sala iliyoanzishwa na Mtakatifu Fransisco wa Assissi. Sala hiyo inasema hivi:

"Ee Bwana unifanye niwe chombo cha amani yako;
Palipo na chuki nilete mapendo
Palipo na makosa nilete msamaha
Palipo na shaka nilete tumaini
Pasipo na matumaini nilete tumaini
Palipo na giza nilete mwanga
Palipo na huzuni nilete furaha"

Mwalimu alikuwa mwumini wa imani ya Kanisa Katoliki. Ikumbukwe kuwa hata Uhuru aliamua upatikane usiku wa kuamkia Sikukuu ya Bikira Maria ambayo ni tarehe 10 Desemba. Na hiyo ni baada ya kushauriana sana na mapadre. Lakini yeye alitaka upatikane siku ya tarehe 10 Desemba. Hata maneno ya wimbo wa Taifa yaliandaliwa na Padre.

Nina mashaka sana na baadhi ya maelezo ya mleta mada. Mwalimu aliuweka mwenge kwa fikra zaidi za dini ya kikristo kuliko kwenye fikra za imani za kijadi/matambiko.

Ikumbukwe kuwa moto wakati wa ibada za Kanisa Katoliki, unaashiria uwepo wa Mwanga. Na Mwanga ni alama ya uwepo wa Mungu. Yesu yeye mwenyewe alitamka, Mimi ni Nuru ya Ulimwengu.
Kupiga picha kanisani sio ukatoliki bali kuishi ukatoliki, ukatoliki na shiriki za matambiko ya mapangoni wapi wapi
 
Back
Top Bottom