Hofu ya Corona: Rais Magufuli asitisha mbio za Mwenge 2020. Fedha kupelekwa ktk maandalizi ya kupambana na Corona

Hofu ya Corona: Rais Magufuli asitisha mbio za Mwenge 2020. Fedha kupelekwa ktk maandalizi ya kupambana na Corona

Forojo Ganze ambaye alikuwa ni mmoja kati ya wazee waliotumwa kufanya zindiko la nchi baada ya uhuru mjini Bagamoyo mkoani Pwani.

Forojo Ganze aliyezaliwa mwaka 1902 alifuatana na wazee wengine kwenda kwenye zindiko Bagamoyo ili Mwalimu Julius Nyerere aweze kutawala vema.

Wazee hao na miaka yao ya kuzaliwa kwenye mabano ni Mzee Ramadhan (1920), Ally Tarazo (1929), Komwe wa Komwe (1918) na Shehe Yahya Hussein (1925).

Wazee hao walipewa kazi hiyo na wazee wa Mkoa wa Dar es Salaam enzi hizo kuhakikisha rais aliye madarakani hapingwi na mtu yeyote, zindiko hilo lilifanyika Bagamoyo katika moja ya mashimo yanayopatikana wilayani hapo na baadaye Mwalimu Nyerere alipelekwa Bagamoyo, akachinjwa mbuzi na Nyerere akaambiwa atambuke (aruke damu) baada ya kutokula kutwa nzima, jambo ambalo aliwahi kukiri hadharani katika moja ya hotuba zake.



Jr[emoji769]
#Hapingwi na mtu yyte# mbona alikoswakoswa kupinduliwa mara 2

Sent using Jamii Forums mobile app
 
7F847EE8-70F1-45A7-A5C5-B4B230A6EA74.jpg


Mmenifanya ni google


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Nilichoona haraka haraka mwenge unahamasisha umoja kwa symbolism yake. Sasa kwa mwenge wetu sijui ni umoja wa aina gani either wa kutupeleka Chaka au kutupeleka sehemu sahihi. Hilo sijui. Kama hakutakuwa na mwenge kama ilivyozoeleka Maana yake kuna aina Fulani ya umoja utavunjika. Either for good or bad. So kama hakuna mwenge kwa mwaka huu tutegemee baadhi ya mabadiliko ya kutengana kwa watu sijui aina ipi na kwa namna gani. Lakini kinyume cha umoja ni utengano. Just my simple logic. Let’s wait and see.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Watu wasichojua, ni kuwa hayo maneno unayosema, ni sala iliyoanzishwa na Mtakatifu Fransisco wa Assissi. Sala hiyo inasema hivi:

"Ee Bwana unifanye niwe chombo cha amani yako;
Palipo na chuki nilete mapendo
Palipo na makosa nilete msamaha
Palipo na shaka nilete tumaini
Pasipo na matumaini nilete tumaini
Palipo na giza nilete mwanga
Palipo na huzuni nilete furaha"

Mwalimu alikuwa mwumini wa imani ya Kanisa Katoliki. Ikumbukwe kuwa hata Uhuru aliamua upatikane usiku wa kuamkia Sikukuu ya Bikira Maria ambayo ni tarehe 10 Desemba. Na hiyo ni baada ya kushauriana sana na mapadre. Lakini yeye alitaka upatikane siku ya tarehe 10 Desemba. Hata maneno ya wimbo wa Taifa yaliandaliwa na Padre.

Nina mashaka sana na baadhi ya maelezo ya mleta mada. Mwalimu aliuweka mwenge kwa fikra zaidi za dini ya kikristo kuliko kwenye fikra za imani za kijadi/matambiko.

Ikumbukwe kuwa moto wakati wa ibada za Kanisa Katoliki, unaashiria uwepo wa Mwanga. Na Mwanga ni alama ya uwepo wa Mungu. Yesu yeye mwenyewe alitamka, Mimi ni Nuru ya Ulimwengu.

Je..Yesu unayemuamini alifundisha wafuasi wake wafanye ibada za kuwasha MOTO kwa kuwa amesema yeye ni NURU ya ulimwengu?na Je..maandiko matakatifu katika Biblia yanasemaje kuhusu wale wafanyao ibada ziambatanazo na kuwasha MOTO?

Usichanganye mambo Mkuu...Mtakatifu Francisco wa Assissi uliyemnukuu kwa sala yake kwenye hoja yako alikuwa anamwomba Bwana/Mungu....sisi Watanzania kwenye hayo maneno yaliyotamkwa wakati wa sherehe za uwashwaji mwenge tangu siku ya Uhuru na hadi leo hii tunamwomba nani atupe hilo tumaini pasipo na tumaini au atupe upendo penye chuki?au tunamfanyia ibada nani?
 
Leo mkuu wa maskauti wote Tz kafariki ,si ndo watu wa misafara

♡♤Life belongs to all who struggle for it♤♡♧
 
Ile zawadi ya tausi wale, wale, wale! Nje ya maagano ya mbio za mwenge wa uhuru, ni balaa tupu, ni misiba baada ya misiba. Ingawaje ni " consipiracy theory" bali yanayokwenda kutokea ni kifo rasmi ya chama tawala[emoji2958][emoji41][emoji848][emoji851]


Jr[emoji769]
 
Back
Top Bottom