Hofu yatanda: Msanii Q-Chillah hajulikani alipo siku ya tatu sasa

hajazinduka bado baada ya kutumia heroine
 
Inategemea TID anamtafutia nini, kama ni dili michosho huenda Chila kaamua kumpotezea alafu yeye anakimbilia kwenye media.
 
Anatafuta kiki huyoo, mbona mwaka mzima hatumsikii mnaleta mambo ya siku tatu
 
HII STORI YA KUTENGENEZA, BAHATI MBAYA Q CHIEF ANAIMBA MAPENZ TU, HALAFU SOURCE YA HABARI E.FM, MTOA HABARI T.I.D HAHAHAHA DOTI ZISHAUNGANISHWA, NI FAKE STORY.
 
Isije kuwa alipitia chimbo lake akapate dozi kidogo akanogewa na utamu mpaka hataki kurudi..
 
Kwani Mlimani city ni mali ya nani na iligawanywa kwa nani ?
 
Kwani Mlimani city ni mali ya nani na iligawanywa kwa nani ?
 
Anapiga show sasa hivi hapa shoot up club shoppers plaza. Namuona live kabisa.
Hata picha nikitaka nampiga au sijui nikagonge naye selfie.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…