Hoja dhidi ya Hoja: Maswali Sahihi Huleta Majibu Sahihi: Tatizo la Kudhania Kutoonekana kwa Magufuli

Hata wangesema anaumwa bado hao watu wangetaka kujua anaumwa nini na pia wakijibiwa anachoumwa tofauti na corona pia kelele zingekuwepo.
 
Cha kushangaza ni kwamba wanaoulizia Rais aliko ni walewale waliotuambia yuko nairobi hospital, ni walewale waliotuambia yuko kati ya sehemu mbili🙄 india au china 🤔🤔

Yohane johnthebaptist hawa watu tuwaiteje!?
I like your thinking.

Sina shaka wafaa kuwa mshauri elekezi.
 
Chadema imepoteana sana, nikiikumbuka ile chadema ya kina kitila, slaa na Zito kabwe awa wa sasa hivi wanaonekana kama vitoto vinavyojifunza bange.

Wameshatolewa kwenye Corona wapo kwenye kummiss Rais.
 
Yesu alipata shida sana pale shetani alipompeleka pale mlimani na kuanza na mambo yake.

Kumbuka ilikuwa ni siku 40.

Lakini Yesu aliweza alishinda majaribu.
 
Chadema imepoteana sana, nikiikumbuka ile chadema ya kina kitila, slaa na Zito kabwe awa wa sasa hivi wanaonekana kama vitoto vinavyojifunza bange.

Wameshatolewa kwenye Corona wapo kwenye kummiss Rais.
That's another shot on target.

Nasikia WHO nao wahangaika kutafuta habari.
 
Cha kushangaza ni kwamba wanaoulizia Rais aliko ni walewale waliotuambia yuko nairobi hospital, ni walewale waliotuambia yuko kati ya sehemu mbili🙄 india au china 🤔🤔

Yohane johnthebaptist hawa watu tuwaiteje!?
Ungesikiliza star tv wananchi jumamosi,ungesikia wananchi walivyotoa maoni yao walipopewa fursa ya kupiga simu!
Watanzania wengi wanahoji Rais wao yuko wapi!Huo ndio ukweli,pita hata kwenye vijiwe vya kahawa utasikia haya!
 


Mkuu, PM alijibu alimwaga ugali, na mama Samia akaongezea nyama ya mbuzi pale Tanga, akasema "kuna wakti inabidi kukaguliwa" .

Sasa mwapewa dondoo mwataka nini zaidi?

Hivyo, tuvute subira tuvuke kwaresima.

Tusubiri Pasaka.
 
Tatizo la kukosea kuuliza maswali linatokana na kwamba watu hawakuwa wakishughulishwa na ukimya wa rais hadi pale ulipokuja uzushi wa kwamba Rais ni mgonjwa na yupo Kenya kwa matibabu,kwahiyo kinachoendelea sasa hivi ni watu kutaka kujiridhisha kuwa ni kweli anaumwa na ndio maana wengine wanaitaja hadi corona katika hili jambo.
 
Wapo ambao leo wakisikia sauti yake redioni, "hai" isiyo ya rekodiwa, watasema ni Baraka Magufuli. Dawa yao ni kigae cha msauzi tu. Usingizi mnono, hata inyeshe ya mawe!
Lazima unaishi kijijini.
 
Hii comment ingefaa ipandishwe iwe ya kwanza kabisa...
 
Kapotea mbwa tu dau limetangazwa,ijekuwa rais
 
Ungesikiliza star tv wananchi jumamosi,ungesikia wananchi walivyotoa maoni yao walipopewa fursa ya kupiga simu!
Watanzania wengi wanahoji Rais wao yuko wapi!Huo ndio ukweli,pita hata kwenye vijiwe vya kahawa utasikia haya!

Uzushi wenu ndio unazua taharuki kwa wananchi ambao rais Magufuli ni kipenzi chao
Tangu PM na VP waongee mioyo yao imetulia
 
Naona unajaribu kama kukubaliana na upuuzi uliosemwa na na PM na VP na kujilaumu kwa ile thread yako ya kuulizia alipo.meko..

Anyway jambo lililowazi na najua hauwezi kukiri hapa, ni kwamba sasa umeona madhara ya kuongozwa na kichaa kwa jinsi alivyoligharimu Taifa..

Pole.
 
Mimi naomba nikujibu swali lako la tatu,nyie mnadhania kwamba Raisi anaumwa,labda nikweli ni mgonjwa...Kama MNA uhakika anaumwa Basi Raisi hayupo na nchi inajiendesha yenyewe...Na sisi wanachi hatuoni shaka mana hakijakwama kitu!!!
Wala hata mimi sijazania kuwa Rais wetu anaumwa.
Naomba usirudie tena kunilisha maneno, nina mke na watoto na pisi moja matata sana wote wananitegemea mimi.
 
MASWALI
1. Rais yuko wapi?
2. Huko alipo afya yake ikoje?
3. Kwasasa nani ndiyo anaendesha nchi?
Answers;
1. Rais yupo Ikulu ya Tanzania kama alivyosema Mh. Makamu wa Raisi na Waziri Mkuu
2. Kwasababu anachapaka kazi zake ofisini/ikulu basi ni mzima wa afya hii na kwa mujibu wa Mh. Makamu wa Rais na waziri Mkuu
3. Kama rais yuko ikulu anafanya kazi kama kawaida yake, ni mzima wa afya; kama tulivyojuzwa na viongozi wetu, yeye Mh. Rais ndiye anayeendesha nchi ndiyo maana hakuna jambo lolote la nchi ambalo tumejulishwa limekwama

Unayo maswali mengine?🤔
 
Nawaza tu wale walinzi wa rais yule mwanjeshi na yule mlinzi wake mweuzi lzm watakuwa nattarifa za jpm iwe isiwe wao wanajuw kinachoendelea .. nao pia tuwaombee jmn kutoka na mgonjwa gafla Mara Kenya Mara India bila hata kujiandaa vxr ni kaz saan watakuwa wanapiga mihayo tu ktk chemba za ospitali za apoolo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…