toriyama
JF-Expert Member
- Feb 18, 2014
- 1,139
- 2,223
Mimi Hadi Sasa sikuelewa umuhumu wa kuleta ARV, ARV zisingekuwepo HIV Sasa isingekuwepo walio na maambukizi wangekuwa wameshakufa wote wakabaki wasio na maambukizi
badala yake idadi ya walionao imekuwa kubwa tunategeshea takwimu za watu ambao wanatumia dawa ipasavyo ili wasiambukize ona Sasa Leo hii mkoa Mmoja watu zaidi ya elfu 60 wanamambukizi vipi mikoa mingine wote hao wakikosa dawa madhara yake ni kupoteza watu wengi kwa kipindi kifupi..
Namlaumu alieleta Dawa za ARV Leo hii HIV isingekuwepo ingekuwa Rahisi kuepuka nayo watu wangekuwa makini katika kutumia kinga hata Ngono zembe zisingekuwepo.
Moderator thread hii ibaki yenyewe bila kuunganisha Wala kufutwa ni mjadala huru namlaumu uwepo wa ARV kwa miaka tangu kirusi cha HIV kinguliwe dawa zisingekuwepo Leo hii HIV isingekuwepo hata watu wangekuwa makini Sana na magonjwa haya kuambukiza kwa njia ya NGONO..
badala yake idadi ya walionao imekuwa kubwa tunategeshea takwimu za watu ambao wanatumia dawa ipasavyo ili wasiambukize ona Sasa Leo hii mkoa Mmoja watu zaidi ya elfu 60 wanamambukizi vipi mikoa mingine wote hao wakikosa dawa madhara yake ni kupoteza watu wengi kwa kipindi kifupi..
Namlaumu alieleta Dawa za ARV Leo hii HIV isingekuwepo ingekuwa Rahisi kuepuka nayo watu wangekuwa makini katika kutumia kinga hata Ngono zembe zisingekuwepo.
Moderator thread hii ibaki yenyewe bila kuunganisha Wala kufutwa ni mjadala huru namlaumu uwepo wa ARV kwa miaka tangu kirusi cha HIV kinguliwe dawa zisingekuwepo Leo hii HIV isingekuwepo hata watu wangekuwa makini Sana na magonjwa haya kuambukiza kwa njia ya NGONO..