Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi sijaona umhimu wa amri inayokataza kutoua hivi tukiua majinga kama wewe SI tutafika mbali kimaendeleo?Mimi Hadi Sasa sikuelewa umuhumu wa kuleta ARV, ARV zisingekuwepo HIV Sasa isingekuwepo walio na maambukizi wangekuwa wameshakufa wote wakabaki wasio na maambukizi
badala yake idadi ya walionao imekuwa kubwa tunategeshea takwimu za watu ambao wanatumia dawa ipasavyo ili wasiambukize ona Sasa Leo hii mkoa Mmoja watu zaidi ya elfu 60 wanamambukizi vipi mikoa mingine wote hao wakikosa dawa madhara yake ni kupoteza watu wengi kwa kipindi kifupi..
Namlaumu alieleta Dawa za ARV Leo hii HIV isingekuwepo ingekuwa Rahisi kuepuka nayo watu wangekuwa makini katika kutumia kinga hata Ngono zembe zisingekuwepo.
Moderator thread hii ibaki yenyewe bila kuunganisha Wala kufutwa ni mjadala huru namlaumu uwepo wa ARV kwa miaka tangu kirusi cha HIV kinguliwe dawa zisingekuwepo Leo hii HIV isingekuwepo hata watu wangekuwa makini Sana na magonjwa haya kuambukiza kwa njia ya NGONO..
Kivipi mkuu? Huoni hilo tone linaweza kuwa na impact kubwa kwenye bahari hadi ikachafuka yoteHao hapana Mungu atajua jinsi ya kuwasaidia.
Hata hivyo kama wapo ni tone la maji ktk bahari.
InawezekanaHivi kuna familia ya kitanzania au tuseme ukoo ambao haujawahi guswa na hili li pandemic...
Familia sawa ila koo...unajua ukoo ni mkubwa...Inawezekana
We kenge, heri ya mwaka mpya.
Ebana mkaldayo wee acha tu adriz mpumbavu alinichonea kwa mods. Yani nimemiss jamvi kichizi mchakato wa kumtafuta mwenyekiti wa ChademaWe kenge, heri ya mwaka mpya.
Umbwaaaa, mbusiii.
Kuna kipindi kuna nchi ulaya iliamua kuua wajinga wote wa aina yao ili kutoa kizazi kibovu,kama lingefanyika hapa usingepona.Unachowaza hakiwezekani kiuhalisia sababu ili HIV ibadilike kuwa AIDS bila hata ya mtu kutumia dawa,inachukua miaka mitatu mpaka 8 inategema kinga za mtu,so dawa zisingekuwepo watu wangeendelea kuambukizana sababu wenye HIV wataendelea kuambukiza huku watu wakifocus kuwaogopa wenye AIDS,wakati wenye AIDS wanakufa,HIV ndo wanakuwa wanaingia to AIDS.huo mzunguko ungeendelea.nguvu kazi ya taifa ingeshuka sanaMimi Hadi Sasa sikuelewa umuhumu wa kuleta ARV, ARV zisingekuwepo HIV Sasa isingekuwepo walio na maambukizi wangekuwa wameshakufa wote wakabaki wasio na maambukizi
badala yake idadi ya walionao imekuwa kubwa tunategeshea takwimu za watu ambao wanatumia dawa ipasavyo ili wasiambukize ona Sasa Leo hii mkoa Mmoja watu zaidi ya elfu 60 wanamambukizi vipi mikoa mingine wote hao wakikosa dawa madhara yake ni kupoteza watu wengi kwa kipindi kifupi..
Namlaumu alieleta Dawa za ARV Leo hii HIV isingekuwepo ingekuwa Rahisi kuepuka nayo watu wangekuwa makini katika kutumia kinga hata Ngono zembe zisingekuwepo.
Moderator thread hii ibaki yenyewe bila kuunganisha Wala kufutwa ni mjadala huru namlaumu uwepo wa ARV kwa miaka tangu kirusi cha HIV kinguliwe dawa zisingekuwepo Leo hii HIV isingekuwepo hata watu wangekuwa makini Sana na magonjwa haya kuambukiza kwa njia ya NGONO..
Mgerasi we mbanga yani hujamshuhudia Lissu akilamba chaka la uenyekiti?Ebana mkaldayo wee acha tu adriz mpumbavu alinichonea kwa mods. Yani nimemiss jamvi kichizi mchakato wa kumtafuta mwenyekiti wa Chadema
Tujitahidi kupeleka watoto shule.Mimi Hadi Sasa sikuelewa umuhumu wa kuleta ARV, ARV zisingekuwepo HIV Sasa isingekuwepo walio na maambukizi wangekuwa wameshakufa wote wakabaki wasio na maambukizi
badala yake idadi ya walionao imekuwa kubwa tunategeshea takwimu za watu ambao wanatumia dawa ipasavyo ili wasiambukize ona Sasa Leo hii mkoa Mmoja watu zaidi ya elfu 60 wanamambukizi vipi mikoa mingine wote hao wakikosa dawa madhara yake ni kupoteza watu wengi kwa kipindi kifupi..
Namlaumu alieleta Dawa za ARV Leo hii HIV isingekuwepo ingekuwa Rahisi kuepuka nayo watu wangekuwa makini katika kutumia kinga hata Ngono zembe zisingekuwepo.
Moderator thread hii ibaki yenyewe bila kuunganisha Wala kufutwa ni mjadala huru namlaumu uwepo wa ARV kwa miaka tangu kirusi cha HIV kinguliwe dawa zisingekuwepo Leo hii HIV isingekuwepo hata watu wangekuwa makini Sana na magonjwa haya kuambukiza kwa njia ya NGONO..
Trully hujaendsa shule. Kasome epidemiology of diseases.....Mimi Hadi Sasa sikuelewa umuhumu wa kuleta ARV, ARV zisingekuwepo HIV Sasa isingekuwepo walio na maambukizi wangekuwa wameshakufa wote wakabaki wasio na maambukizi
badala yake idadi ya walionao imekuwa kubwa tunategeshea takwimu za watu ambao wanatumia dawa ipasavyo ili wasiambukize ona Sasa Leo hii mkoa Mmoja watu zaidi ya elfu 60 wanamambukizi vipi mikoa mingine wote hao wakikosa dawa madhara yake ni kupoteza watu wengi kwa kipindi kifupi..
Namlaumu alieleta Dawa za ARV Leo hii HIV isingekuwepo ingekuwa Rahisi kuepuka nayo watu wangekuwa makini katika kutumia kinga hata Ngono zembe zisingekuwepo.
Moderator thread hii ibaki yenyewe bila kuunganisha Wala kufutwa ni mjadala huru namlaumu uwepo wa ARV kwa miaka tangu kirusi cha HIV kinguliwe dawa zisingekuwepo Leo hii HIV isingekuwepo hata watu wangekuwa makini Sana na magonjwa haya kuambukiza kwa njia ya NGONO..