Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ugonjwa huu umeingia lini nchini Tz? Dawa za Arv zimeanza lini kutolewa Tz? Kwanini sasa ugonjwa haukuisha kwa kuwauwa wote waliokuwa nao kabla Arv hazijaanza kutolewa Tz? Ingawa mimi sio mtu wa afya ila mwenzangu umezidi, Huna uelewa wa ugonjwa huu kabisa. Uonewe huruma na kupewa elimu zaidi.Mimi Hadi Sasa sikuelewa umuhumu wa kuleta ARV, ARV zisingekuwepo HIV Sasa isingekuwepo walio na maambukizi wangekuwa wameshakufa wote wakabaki wasio na maambukizi
badala yake idadi ya walionao imekuwa kubwa tunategeshea takwimu za watu ambao wanatumia dawa ipasavyo ili wasiambukize ona Sasa Leo hii mkoa Mmoja watu zaidi ya elfu 60 wanamambukizi vipi mikoa mingine wote hao wakikosa dawa madhara yake ni kupoteza watu wengi kwa kipindi kifupi..
Namlaumu alieleta Dawa za ARV Leo hii HIV isingekuwepo ingekuwa Rahisi kuepuka nayo watu wangekuwa makini katika kutumia kinga hata Ngono zembe zisingekuwepo.
Moderator thread hii ibaki yenyewe bila kuunganisha Wala kufutwa ni mjadala huru namlaumu uwepo wa ARV kwa miaka tangu kirusi cha HIV kinguliwe dawa zisingekuwepo Leo hii HIV isingekuwepo hata watu wangekuwa makini Sana na magonjwa haya kuambukiza kwa njia ya NGONO..
Tatizo ukimwi sio maralia useme inaua baada ya siku 7, ni ugonjwa wa muda mrefu kiasi kwamba hata hizo ARV zisingekuwepo bado watu wangeendelea kuambukizana kama kawaida na ugonjwa ungekuwepo kama kawaida.Hakuna umuhimu kama walionao bado wanaendelea kuambukiza vipi mnataka watanzania wote wawe na AIDS ili baada ya siku wasitishe ARV wafe wote?
Tangu 1997 Hadi Sasa Dawa zisingekuwepo AIDS isingekuwepo kabisa kwanza watu wangekuwa makini Sana na mambo ya Afya wangeona umuhimu wa kujikinga n.k ndani ya miezi mwenye UKIMWI angekuwa ameshafamika.
Njombe watu zaidi ya elfu 60 wAnaambikizi mwaka 2022/23 zaidi ya watu elfu 22 wamepata maambukizi mapya huoni ni hatari? Hii kwa Taifa lenye watu zaidi ya milioni 50 vipi kwa mikoa mingine? Vipi kwa wale ambao hawajaenda kupima? UKIMWI hautaisha kama jitihada za maksudi hazitafatwa
Kama mtu anaweza kuzaa na kuishi miaka 25 bila shida akipata HIV, maana yake HIV is no longer a threat to humanity.Tacaids yenyewe kama haipo miaka hii tangu ARV zianze kazi.
Hawatoi elimu tena wala nini.
Una point mwanawane....wangekuwa wameshajkfia long time saa hii tungekuwa tunaenjoy tuu mbususu bila miwayaMimi Hadi Sasa sikuelewa umuhumu wa kuleta ARV, ARV zisingekuwepo HIV Sasa isingekuwepo walio na maambukizi wangekuwa wameshakufa wote wakabaki wasio na maambukizi
badala yake idadi ya walionao imekuwa kubwa tunategeshea takwimu za watu ambao wanatumia dawa ipasavyo ili wasiambukize ona Sasa Leo hii mkoa Mmoja watu zaidi ya elfu 60 wanamambukizi vipi mikoa mingine wote hao wakikosa dawa madhara yake ni kupoteza watu wengi kwa kipindi kifupi..
Namlaumu alieleta Dawa za ARV Leo hii HIV isingekuwepo ingekuwa Rahisi kuepuka nayo watu wangekuwa makini katika kutumia kinga hata Ngono zembe zisingekuwepo.
Moderator thread hii ibaki yenyewe bila kuunganisha Wala kufutwa ni mjadala huru namlaumu uwepo wa ARV kwa miaka tangu kirusi cha HIV kinguliwe dawa zisingekuwepo Leo hii HIV isingekuwepo hata watu wangekuwa makini Sana na magonjwa haya kuambukiza kwa njia ya NGONO..
Dunia haiko fair, the quicker u make peace with that the better ur life will be.Na walioambukizwa kwa bahati mbaya, watoto, ajali, kupewa damu nao wafe? Tatizo lako unafikiria ni watu wa ngono tu! Wewe laani aliyetengeneza HIV maabara.
Huyo kenge kapotelea wapi? 🤣Bange mbaya sana , amekuwa kama Maghayo The Mongolian Savage
Usiongelee ukimwi tuu, sema hakukuwa na umuhimu wa kutafuta tiba za magonjwa yote toka zamani hivyo duniani kusingekuwa na wagonjwa wangekuwepo wazima tuu. Acha kubagua gonjwa moja tuu. Sioni kwanini wagonjwa wa gono na kisonono wapewe dawa halafu wa ukimwi wanyimwe.Mimi Hadi Sasa sikuelewa umuhumu wa kuleta ARV, ARV zisingekuwepo HIV Sasa isingekuwepo walio na maambukizi wangekuwa wameshakufa wote wakabaki wasio na maambukizi
badala yake idadi ya walionao imekuwa kubwa tunategeshea takwimu za watu ambao wanatumia dawa ipasavyo ili wasiambukize ona Sasa Leo hii mkoa Mmoja watu zaidi ya elfu 60 wanamambukizi vipi mikoa mingine wote hao wakikosa dawa madhara yake ni kupoteza watu wengi kwa kipindi kifupi..
Namlaumu alieleta Dawa za ARV Leo hii HIV isingekuwepo ingekuwa Rahisi kuepuka nayo watu wangekuwa makini katika kutumia kinga hata Ngono zembe zisingekuwepo.
Moderator thread hii ibaki yenyewe bila kuunganisha Wala kufutwa ni mjadala huru namlaumu uwepo wa ARV kwa miaka tangu kirusi cha HIV kinguliwe dawa zisingekuwepo Leo hii HIV isingekuwepo hata watu wangekuwa makini Sana na magonjwa haya kuambukiza kwa njia ya NGONO..
Wee nyau Am back maamaee. Patachimbika. Enemies FOREVERBange mbaya sana , amekuwa kama Maghayo The Mongolian Savage
ARV ndio zinasababisha maambukizi yapungue ,anayetumia kwa usahihi haiwezi kuambukizaMimi Hadi Sasa sikuelewa umuhumu wa kuleta ARV, ARV zisingekuwepo HIV Sasa isingekuwepo walio na maambukizi wangekuwa wameshakufa wote wakabaki wasio na maambukizi
badala yake idadi ya walionao imekuwa kubwa tunategeshea takwimu za watu ambao wanatumia dawa ipasavyo ili wasiambukize ona Sasa Leo hii mkoa Mmoja watu zaidi ya elfu 60 wanamambukizi vipi mikoa mingine wote hao wakikosa dawa madhara yake ni kupoteza watu wengi kwa kipindi kifupi..
Namlaumu alieleta Dawa za ARV Leo hii HIV isingekuwepo ingekuwa Rahisi kuepuka nayo watu wangekuwa makini katika kutumia kinga hata Ngono zembe zisingekuwepo.
Moderator thread hii ibaki yenyewe bila kuunganisha Wala kufutwa ni mjadala huru namlaumu uwepo wa ARV kwa miaka tangu kirusi cha HIV kinguliwe dawa zisingekuwepo Leo hii HIV isingekuwepo hata watu wangekuwa makini Sana na magonjwa haya kuambukiza kwa njia ya NGONO..
true man!!.....Mimi Hadi Sasa sikuelewa umuhumu wa kuleta ARV, ARV zisingekuwepo HIV Sasa isingekuwepo walio na maambukizi wangekuwa wameshakufa wote wakabaki wasio na maambukizi
badala yake idadi ya walionao imekuwa kubwa tunategeshea takwimu za watu ambao wanatumia dawa ipasavyo ili wasiambukize ona Sasa Leo hii mkoa Mmoja watu zaidi ya elfu 60 wanamambukizi vipi mikoa mingine wote hao wakikosa dawa madhara yake ni kupoteza watu wengi kwa kipindi kifupi..
Namlaumu alieleta Dawa za ARV Leo hii HIV isingekuwepo ingekuwa Rahisi kuepuka nayo watu wangekuwa makini katika kutumia kinga hata Ngono zembe zisingekuwepo.
Moderator thread hii ibaki yenyewe bila kuunganisha Wala kufutwa ni mjadala huru namlaumu uwepo wa ARV kwa miaka tangu kirusi cha HIV kinguliwe dawa zisingekuwepo Leo hii HIV isingekuwepo hata watu wangekuwa makini Sana na magonjwa haya kuambukiza kwa njia ya NGONO..
Dah! Wapo watu wengi wenye ukimwi ambao ni tegemeo ktk jamii, pengine hat ndugu yako mpendwa na wa karibu unaweza kukuta anayo, so wafe tu?Mimi Hadi Sasa sikuelewa umuhumu wa kuleta ARV, ARV zisingekuwepo HIV Sasa isingekuwepo walio na maambukizi wangekuwa wameshakufa wote wakabaki wasio na maambukizi
badala yake idadi ya walionao imekuwa kubwa tunategeshea takwimu za watu ambao wanatumia dawa ipasavyo ili wasiambukize ona Sasa Leo hii mkoa Mmoja watu zaidi ya elfu 60 wanamambukizi vipi mikoa mingine wote hao wakikosa dawa madhara yake ni kupoteza watu wengi kwa kipindi kifupi..
Namlaumu alieleta Dawa za ARV Leo hii HIV isingekuwepo ingekuwa Rahisi kuepuka nayo watu wangekuwa makini katika kutumia kinga hata Ngono zembe zisingekuwepo.
Moderator thread hii ibaki yenyewe bila kuunganisha Wala kufutwa ni mjadala huru namlaumu uwepo wa ARV kwa miaka tangu kirusi cha HIV kinguliwe dawa zisingekuwepo Leo hii HIV isingekuwepo hata watu wangekuwa makini Sana na magonjwa haya kuambukiza kwa njia ya NGONO..
Huyo anayo ya kuvukia barabara tu ndio maana hadi leo hajagongwa. Au hata hiyo hana, ni vile tu anakaa kijijini hakuna jam😂😂Kweli nimeamini kuna watu hawana akili