HOJA HURU: Mimi Hadi Sasa sikuelewa umuhimu wa kuleta ARV, ARV zisingekuwepo HIV Sasa isingekuwepo walio na maambukizi wangekuwa wameshakufa wote

HOJA HURU: Mimi Hadi Sasa sikuelewa umuhimu wa kuleta ARV, ARV zisingekuwepo HIV Sasa isingekuwepo walio na maambukizi wangekuwa wameshakufa wote

Mimi Hadi Sasa sikuelewa umuhumu wa kuleta ARV, ARV zisingekuwepo HIV Sasa isingekuwepo walio na maambukizi wangekuwa wameshakufa wote wakabaki wasio na maambukizi

badala yake idadi ya walionao imekuwa kubwa tunategeshea takwimu za watu ambao wanatumia dawa ipasavyo ili wasiambukize ona Sasa Leo hii mkoa Mmoja watu zaidi ya elfu 60 wanamambukizi vipi mikoa mingine wote hao wakikosa dawa madhara yake ni kupoteza watu wengi kwa kipindi kifupi..


Namlaumu alieleta Dawa za ARV Leo hii HIV isingekuwepo ingekuwa Rahisi kuepuka nayo watu wangekuwa makini katika kutumia kinga hata Ngono zembe zisingekuwepo.

Moderator thread hii ibaki yenyewe bila kuunganisha Wala kufutwa ni mjadala huru namlaumu uwepo wa ARV kwa miaka tangu kirusi cha HIV kinguliwe dawa zisingekuwepo Leo hii HIV isingekuwepo hata watu wangekuwa makini Sana na magonjwa haya kuambukiza kwa njia ya NGONO..
Ugonjwa huu umeingia lini nchini Tz? Dawa za Arv zimeanza lini kutolewa Tz? Kwanini sasa ugonjwa haukuisha kwa kuwauwa wote waliokuwa nao kabla Arv hazijaanza kutolewa Tz? Ingawa mimi sio mtu wa afya ila mwenzangu umezidi, Huna uelewa wa ugonjwa huu kabisa. Uonewe huruma na kupewa elimu zaidi.
 
Hakuna umuhimu kama walionao bado wanaendelea kuambukiza vipi mnataka watanzania wote wawe na AIDS ili baada ya siku wasitishe ARV wafe wote?

Tangu 1997 Hadi Sasa Dawa zisingekuwepo AIDS isingekuwepo kabisa kwanza watu wangekuwa makini Sana na mambo ya Afya wangeona umuhimu wa kujikinga n.k ndani ya miezi mwenye UKIMWI angekuwa ameshafamika.

Njombe watu zaidi ya elfu 60 wAnaambikizi mwaka 2022/23 zaidi ya watu elfu 22 wamepata maambukizi mapya huoni ni hatari? Hii kwa Taifa lenye watu zaidi ya milioni 50 vipi kwa mikoa mingine? Vipi kwa wale ambao hawajaenda kupima? UKIMWI hautaisha kama jitihada za maksudi hazitafatwa
Tatizo ukimwi sio maralia useme inaua baada ya siku 7, ni ugonjwa wa muda mrefu kiasi kwamba hata hizo ARV zisingekuwepo bado watu wangeendelea kuambukizana kama kawaida na ugonjwa ungekuwepo kama kawaida.
 
Tacaids yenyewe kama haipo miaka hii tangu ARV zianze kazi.
Hawatoi elimu tena wala nini.
Kama mtu anaweza kuzaa na kuishi miaka 25 bila shida akipata HIV, maana yake HIV is no longer a threat to humanity.

Kinachowatesa wadau ni kuuchukia tu Ukimwi. Inawezekana wengi mkipewa jukumu la kuongoza nchi mnaweza kuua wenye ukimwi wote, hiyo sio good policy wala right thinking
 
Nakumbuka kuna daktari mmoja anaitwa Dk Msigwa niliona siku moja anahojiwa Channel Ten akawa anasema ameshatengeneza dawa ya UKIMWI.
Nadhani sasa ataanza kusambaza
 
Na walioambukizwa kwa bahati mbaya, watoto, ajali, kupewa damu nao wafe? Tatizo lako unafikiria ni watu wa ngono tu! Wewe laani aliyetengeneza HIV maabara.
 
1000008811.png
 
Mimi Hadi Sasa sikuelewa umuhumu wa kuleta ARV, ARV zisingekuwepo HIV Sasa isingekuwepo walio na maambukizi wangekuwa wameshakufa wote wakabaki wasio na maambukizi

badala yake idadi ya walionao imekuwa kubwa tunategeshea takwimu za watu ambao wanatumia dawa ipasavyo ili wasiambukize ona Sasa Leo hii mkoa Mmoja watu zaidi ya elfu 60 wanamambukizi vipi mikoa mingine wote hao wakikosa dawa madhara yake ni kupoteza watu wengi kwa kipindi kifupi..


Namlaumu alieleta Dawa za ARV Leo hii HIV isingekuwepo ingekuwa Rahisi kuepuka nayo watu wangekuwa makini katika kutumia kinga hata Ngono zembe zisingekuwepo.

Moderator thread hii ibaki yenyewe bila kuunganisha Wala kufutwa ni mjadala huru namlaumu uwepo wa ARV kwa miaka tangu kirusi cha HIV kinguliwe dawa zisingekuwepo Leo hii HIV isingekuwepo hata watu wangekuwa makini Sana na magonjwa haya kuambukiza kwa njia ya NGONO..
Una point mwanawane....wangekuwa wameshajkfia long time saa hii tungekuwa tunaenjoy tuu mbususu bila miwaya
 
Na walioambukizwa kwa bahati mbaya, watoto, ajali, kupewa damu nao wafe? Tatizo lako unafikiria ni watu wa ngono tu! Wewe laani aliyetengeneza HIV maabara.
Dunia haiko fair, the quicker u make peace with that the better ur life will be.
Tunaishi kwenye dunia isiyokuwa na haki...na tukio lisiotazamiwa umkuta mtutu yoyote yule as longa as ni binadamu.
 
Mimi Hadi Sasa sikuelewa umuhumu wa kuleta ARV, ARV zisingekuwepo HIV Sasa isingekuwepo walio na maambukizi wangekuwa wameshakufa wote wakabaki wasio na maambukizi

badala yake idadi ya walionao imekuwa kubwa tunategeshea takwimu za watu ambao wanatumia dawa ipasavyo ili wasiambukize ona Sasa Leo hii mkoa Mmoja watu zaidi ya elfu 60 wanamambukizi vipi mikoa mingine wote hao wakikosa dawa madhara yake ni kupoteza watu wengi kwa kipindi kifupi..


Namlaumu alieleta Dawa za ARV Leo hii HIV isingekuwepo ingekuwa Rahisi kuepuka nayo watu wangekuwa makini katika kutumia kinga hata Ngono zembe zisingekuwepo.

Moderator thread hii ibaki yenyewe bila kuunganisha Wala kufutwa ni mjadala huru namlaumu uwepo wa ARV kwa miaka tangu kirusi cha HIV kinguliwe dawa zisingekuwepo Leo hii HIV isingekuwepo hata watu wangekuwa makini Sana na magonjwa haya kuambukiza kwa njia ya NGONO..
Usiongelee ukimwi tuu, sema hakukuwa na umuhimu wa kutafuta tiba za magonjwa yote toka zamani hivyo duniani kusingekuwa na wagonjwa wangekuwepo wazima tuu. Acha kubagua gonjwa moja tuu. Sioni kwanini wagonjwa wa gono na kisonono wapewe dawa halafu wa ukimwi wanyimwe.
 
Kila kitu kinabidi kuwepo

Je kama nimezaliwa na ukimwi ninabidi kufa sio?
 
Mimi Hadi Sasa sikuelewa umuhumu wa kuleta ARV, ARV zisingekuwepo HIV Sasa isingekuwepo walio na maambukizi wangekuwa wameshakufa wote wakabaki wasio na maambukizi

badala yake idadi ya walionao imekuwa kubwa tunategeshea takwimu za watu ambao wanatumia dawa ipasavyo ili wasiambukize ona Sasa Leo hii mkoa Mmoja watu zaidi ya elfu 60 wanamambukizi vipi mikoa mingine wote hao wakikosa dawa madhara yake ni kupoteza watu wengi kwa kipindi kifupi..


Namlaumu alieleta Dawa za ARV Leo hii HIV isingekuwepo ingekuwa Rahisi kuepuka nayo watu wangekuwa makini katika kutumia kinga hata Ngono zembe zisingekuwepo.

Moderator thread hii ibaki yenyewe bila kuunganisha Wala kufutwa ni mjadala huru namlaumu uwepo wa ARV kwa miaka tangu kirusi cha HIV kinguliwe dawa zisingekuwepo Leo hii HIV isingekuwepo hata watu wangekuwa makini Sana na magonjwa haya kuambukiza kwa njia ya NGONO..
ARV ndio zinasababisha maambukizi yapungue ,anayetumia kwa usahihi haiwezi kuambukiza
 
Mimi Hadi Sasa sikuelewa umuhumu wa kuleta ARV, ARV zisingekuwepo HIV Sasa isingekuwepo walio na maambukizi wangekuwa wameshakufa wote wakabaki wasio na maambukizi

badala yake idadi ya walionao imekuwa kubwa tunategeshea takwimu za watu ambao wanatumia dawa ipasavyo ili wasiambukize ona Sasa Leo hii mkoa Mmoja watu zaidi ya elfu 60 wanamambukizi vipi mikoa mingine wote hao wakikosa dawa madhara yake ni kupoteza watu wengi kwa kipindi kifupi..


Namlaumu alieleta Dawa za ARV Leo hii HIV isingekuwepo ingekuwa Rahisi kuepuka nayo watu wangekuwa makini katika kutumia kinga hata Ngono zembe zisingekuwepo.

Moderator thread hii ibaki yenyewe bila kuunganisha Wala kufutwa ni mjadala huru namlaumu uwepo wa ARV kwa miaka tangu kirusi cha HIV kinguliwe dawa zisingekuwepo Leo hii HIV isingekuwepo hata watu wangekuwa makini Sana na magonjwa haya kuambukiza kwa njia ya NGONO..
true man!!.....
 
Mimi Hadi Sasa sikuelewa umuhumu wa kuleta ARV, ARV zisingekuwepo HIV Sasa isingekuwepo walio na maambukizi wangekuwa wameshakufa wote wakabaki wasio na maambukizi

badala yake idadi ya walionao imekuwa kubwa tunategeshea takwimu za watu ambao wanatumia dawa ipasavyo ili wasiambukize ona Sasa Leo hii mkoa Mmoja watu zaidi ya elfu 60 wanamambukizi vipi mikoa mingine wote hao wakikosa dawa madhara yake ni kupoteza watu wengi kwa kipindi kifupi..


Namlaumu alieleta Dawa za ARV Leo hii HIV isingekuwepo ingekuwa Rahisi kuepuka nayo watu wangekuwa makini katika kutumia kinga hata Ngono zembe zisingekuwepo.

Moderator thread hii ibaki yenyewe bila kuunganisha Wala kufutwa ni mjadala huru namlaumu uwepo wa ARV kwa miaka tangu kirusi cha HIV kinguliwe dawa zisingekuwepo Leo hii HIV isingekuwepo hata watu wangekuwa makini Sana na magonjwa haya kuambukiza kwa njia ya NGONO..
Dah! Wapo watu wengi wenye ukimwi ambao ni tegemeo ktk jamii, pengine hat ndugu yako mpendwa na wa karibu unaweza kukuta anayo, so wafe tu?
 
Back
Top Bottom