Hoja kuhusu matapeli wa mtandaoni ambao wakishagundulika hutoa matusi makali

Hoja kuhusu matapeli wa mtandaoni ambao wakishagundulika hutoa matusi makali

Pensador

JF-Expert Member
Joined
Mar 19, 2018
Posts
499
Reaction score
973
Habari wanajamvi,

Mnamo majira ya saa tatu asubuhi ya leo nimepokea simu namba ngeni ya mtu ambaye alijitambulisha kama mhudumu wa wateja kutoka Vodacom.

Basi nikamsikilizaa na alikua akiuliza kama kuna muamala umeingia kimakosa katika simu yangu, kwa haraka haraka nikashtuka na kumwambia kama yeye yupo vodacom aangalie hukohuko kwanini aniulize mimi?

Kitendo cha kumwambia hivoo akagundua nimemshtukia kuwa analengo la kunitapelii aiseeeeee! Huyu mshenzii kutukana matusi sijui ni ya sayari ipii mpaka nikabakii kuskiliza wee mwisho akakata simu.

Swalii: Hivi hawa jamaa wanajiamini nini kuwa wanatoa matusi makali na wakati wao ndo wakosaji hapaa? Na je, hivi tunavotuma namba hizi katika mitandao husika huwa wanatafutwa na kuwajibishwaa au wameshajua kuwa hutuna cha kuwafanya?
 
Hao ni matapeli; walishawahi kunipigia, waliponiuliza kwenye simu unasalio kiasi gani; nikawajibu nina bilioni moja...kilichofuata walishusha matusi na kukata simu.
Ninachohisi, hizo laini zitakua hazijasajiliwa kwa jina lao; kwa hiyo kama ni kuwa-track kwa mfumo, utapata 'location' tu
 
Poleni sana.

Voda siku hizi wanatabia ya kupiga customer wanakuuliza unapiga simu kutoa mkoa gani, ukiwaambia angalia kwenye system yako hapo wanasema system inatatizo.
Hivi yawezekana kuna ushirikiano hapaa kumbee
 
Hao ni matapeli; walishawahi kunipigia, waliponiuliza kwenye simu unasalio kiasi gani; nikawajibu nina bilioni moja...kilichofuata walishusha matusi na kukata simu.
Ninachohisi, hizo laini zitakua hazijasajiliwa kwa jina lao; kwa hiyo kama ni kuwa-track kwa mfumo, utapata 'location' tu
Huu mfumo wa dole gumba ulikua na umuhimu ganii?
 
Habari wanajamvi,

Mnamo majira ya saa tatu asubuhi ya leo nimepokea simu namba ngeni ya mtu ambaye alijitambulisha kama mhudumu wa wateja kutoka Vodacom.

Basi nikamsikilizaa na alikua akiuliza kama kuna muamala umeingia kimakosa katika simu yangu, kwa haraka haraka nikashtuka na kumwambia kama yeye yupo vodacom aangalie hukohuko kwanini aniulize mimi?

Kitendo cha kumwambia hivoo akagundua nimemshtukia kuwa analengo la kunitapelii aiseeeeee! Huyu mshenzii kutukana matusi sijui ni ya sayari ipii mpaka nikabakii kuskiliza wee mwisho akakata simu.

Swalii: Hivi hawa jamaa wanajiamini nini kuwa wanatoa matusi makali na wakati wao ndo wakosaji hapaa? Na je, hivi tunavotuma namba hizi katika mitandao husika huwa wanatafutwa na kuwajibishwaa au wameshajua kuwa hutuna cha kuwafanya?
Ni wahudumu wa Vodacom hao ndo maana hawataki kublock namba ambazo hazijasajiliwa.

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
Hao ni matapeli; walishawahi kunipigia, waliponiuliza kwenye simu unasalio kiasi gani; nikawajibu nina bilioni moja...kilichofuata walishusha matusi na kukata simu.
Ninachohisi, hizo laini zitakua hazijasajiliwa kwa jina lao; kwa hiyo kama ni kuwa-track kwa mfumo, utapata 'location' tu
Hadi nyumba unaweza kuipata kama kapiga simu kutokea kwenye nyumba, serikali haijaamua kudeal nao seriously
 
Hao ni matapeli; walishawahi kunipigia, waliponiuliza kwenye simu unasalio kiasi gani; nikawajibu nina bilioni moja...kilichofuata walishusha matusi na kukata simu.
Ninachohisi, hizo laini zitakua hazijasajiliwa kwa jina lao; kwa hiyo kama ni kuwa-track kwa mfumo, utapata 'location' tu
🤣🤣🤣🤣 imenitokea juzi. Nikaukizwa kama kuna hela imeingia nikajibu ndio. Sh ngapi...650,000 yakafata matusi ya nguoni kabisa. Sijui nilikosea nini
 
🤣🤣🤣🤣 imenitokea juzi. Nikaukizwa kama kuna hela imeingia nikajibu ndio. Sh ngapi...650,000 yakafata matusi ya nguoni kabisa. Sijui nilikosea nini
Ulitakiwa ujibu, hamna iliyoingia, alafu wakati unaangalia salio wanafanya utaalamu wao wa kuamisha salio lako
 
Back
Top Bottom