Hoja kuhusu matapeli wa mtandaoni ambao wakishagundulika hutoa matusi makali

Hoja kuhusu matapeli wa mtandaoni ambao wakishagundulika hutoa matusi makali

Mimi alinipigia boya mmoja akaniuliza nina TZS ngapi maana kuna pesa imekuaj kimakosa kwangu. Nikamwambia sijui kwani wamenitumia fedha ya malipo ya Korosho kutoka ktk shamba langu huko kijijini. Jamaa akaanza siasa zake eti kuna mtu katuma 280,000/= hivyo nimrejeshee nikambwambia kwa kuwa yeye yupo ktk kampuni achukue mwenyewe tena achukue 300,000/= hapo ndipo mvua ya matusi ikaanza ghafla..
 
Me mzigua mmoja kanipia sim juzi akisema eti yu kutoka voda huduma KWA wateja na kaniambia kuna mtu kakosea kutuma pesa imeingia kwenye account yangu kaniuliza una sh ngapi nkamjibu laki tatu[emoji4] akajua kapata mtoto wa mtu aliye kimbia kukuketwa na mjini kafika jana[emoji849] BWANA weee tukapangana MWISHO wa siku tukashindwana kaanza kunitukana nami sikumbakisha nikamnawa[emoji57][emoji57] harafu nikata kapiga katumia namba nyingine ananiambia umenitukana matusi nimemind[emoji849][emoji1787] mara kaanza oh me sipendi utaperi ILA ni maisha tu na naomba nikuoe me ni mzigua kutoka tanga na nikikuoa utaperi nitaacha tukapiga story mbili tatu na mzigua wangu mpaka tukawa marafiki wa siku MOJA
Na aligonga?
 
Habari wanajamvi,

Mnamo majira ya saa tatu asubuhi ya leo nimepokea simu namba ngeni ya mtu ambaye alijitambulisha kama mhudumu wa wateja kutoka Vodacom.

Basi nikamsikilizaa na alikua akiuliza kama kuna muamala umeingia kimakosa katika simu yangu, kwa haraka haraka nikashtuka na kumwambia kama yeye yupo vodacom aangalie hukohuko kwanini aniulize mimi?

Kitendo cha kumwambia hivoo akagundua nimemshtukia kuwa analengo la kunitapelii aiseeeeee! Huyu mshenzii kutukana matusi sijui ni ya sayari ipii mpaka nikabakii kuskiliza wee mwisho akakata simu.

Swalii: Hivi hawa jamaa wanajiamini nini kuwa wanatoa matusi makali na wakati wao ndo wakosaji hapaa? Na je, hivi tunavotuma namba hizi katika mitandao husika huwa wanatafutwa na kuwajibishwaa au wameshajua kuwa hutuna cha kuwafanya?
Ile ni hasira ya njaa ndiyo inawafanya wanavurumisha matusi kiasi kile baada ya kugundua mtego wao umefyatuka na huku wakiwa wameshatumia kiasi fulani cha bando au vocha pasipokupata kitu chochote.
 
Habari wanajamvi,

Mnamo majira ya saa tatu asubuhi ya leo nimepokea simu namba ngeni ya mtu ambaye alijitambulisha kama mhudumu wa wateja kutoka Vodacom.

Basi nikamsikilizaa na alikua akiuliza kama kuna muamala umeingia kimakosa katika simu yangu, kwa haraka haraka nikashtuka na kumwambia kama yeye yupo vodacom aangalie hukohuko kwanini aniulize mimi?

Kitendo cha kumwambia hivoo akagundua nimemshtukia kuwa analengo la kunitapelii aiseeeeee! Huyu mshenzii kutukana matusi sijui ni ya sayari ipii mpaka nikabakii kuskiliza wee mwisho akakata simu.

Swalii: Hivi hawa jamaa wanajiamini nini kuwa wanatoa matusi makali na wakati wao ndo wakosaji hapaa? Na je, hivi tunavotuma namba hizi katika mitandao husika huwa wanatafutwa na kuwajibishwaa au wameshajua kuwa hutuna cha kuwafanya?
Magufuli alisema tukisajili kwa finger print hilo tatizo litaisha, mpaka leo bila bila.
 
Habari wanajamvi,

Mnamo majira ya saa tatu asubuhi ya leo nimepokea simu namba ngeni ya mtu ambaye alijitambulisha kama mhudumu wa wateja kutoka Vodacom.

Basi nikamsikilizaa na alikua akiuliza kama kuna muamala umeingia kimakosa katika simu yangu, kwa haraka haraka nikashtuka na kumwambia kama yeye yupo vodacom aangalie hukohuko kwanini aniulize mimi?

Kitendo cha kumwambia hivoo akagundua nimemshtukia kuwa analengo la kunitapelii aiseeeeee! Huyu mshenzii kutukana matusi sijui ni ya sayari ipii mpaka nikabakii kuskiliza wee mwisho akakata simu.

Swalii: Hivi hawa jamaa wanajiamini nini kuwa wanatoa matusi makali na wakati wao ndo wakosaji hapaa? Na je, hivi tunavotuma namba hizi katika mitandao husika huwa wanatafutwa na kuwajibishwaa au wameshajua kuwa hutuna cha kuwafanya?
Mimi huwa wakinipigia nawaambia NENDA KULIMA, JEMBE HALIMTUPI MTU.
 
Makampuni ya simu lazima yawe na namba zinazojulikana ni zao. Mfano namba za 0800 7898990 nk kuzuia utapeli
 
Siku hiyo wamepiga nimepokea nikamwambia akatapeli washamba wenzie. Akaanza nitukania mama angu sikumkawiza na mimi nikamtukana sikujali pembeni kuna nani mpaka akakata simu.
 
Ni wahudumu wa Vodacom hao ndo maana hawataki kublock namba ambazo hazijasajiliwa.

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Ulishawahi kujiuliza siku ukienda kutuma fedha kwa wakala anakuambia uandike namba yako kwenye kipande cha karatasi je, disposal ya namba hizo wajua zinafanyikaje?
 
Habari wanajamvi,

Mnamo majira ya saa tatu asubuhi ya leo nimepokea simu namba ngeni ya mtu ambaye alijitambulisha kama mhudumu wa wateja kutoka Vodacom.

Basi nikamsikilizaa na alikua akiuliza kama kuna muamala umeingia kimakosa katika simu yangu, kwa haraka haraka nikashtuka na kumwambia kama yeye yupo vodacom aangalie hukohuko kwanini aniulize mimi?

Kitendo cha kumwambia hivoo akagundua nimemshtukia kuwa analengo la kunitapelii aiseeeeee! Huyu mshenzii kutukana matusi sijui ni ya sayari ipii mpaka nikabakii kuskiliza wee mwisho akakata simu.

Swalii: Hivi hawa jamaa wanajiamini nini kuwa wanatoa matusi makali na wakati wao ndo wakosaji hapaa? Na je, hivi tunavotuma namba hizi katika mitandao husika huwa wanatafutwa na kuwajibishwaa au wameshajua kuwa hutuna cha kuwafanya?
Nami pia yalinikuta haya. Kosa langu ni kumueleza kwamba amekosea namba. Alinishushia mzigo wa matusi naogopa hata kuyaandika hapa.
 
Mm Kuna mmoja alinipigia tukaongea kama dk 2 hivi na nilimgundua tangu mwanzo, mwishoni tukaanza kupiga story tu kama marafiki nikamuuliza hivi huwa mnapata hela anasema ndiyo tunapata tena siku ukibahatika Kwa siku hata laki 2 unapiga,tuliongea sana na akasema pia wanashirikiana na watu wenye M-PESA, tiGO pesa,Hallo Pesa na Airtel money na ndiyo wanaowapa namba za Simu......ndiyo maana unaweza kuweka hela ndani ya muda mfupi anakupigia....au unapokea msg
Ni kweli kabisa kuna siku nimetumiwa pesa 750,000 dakika tano zikapita nikapigiwa simu eti wametoka airtel wanataka kunirekebishia kuna vifurushi vipya vya internet akaniaambia nibonyeze *148*88#
Nikabonyeza 😂😂😂 akaniambia haya sasa umeviona vifurushi sasa nataka nikuunge haya toka ingia *150*60#
Moyoni nikacheka kuwa hii si code ya airtel money 😂😂 nikamuambia nibonyeze ngapi. Nakuwa najifanya kaka simsikiii mara namuambia mtandao unasumbua
Mwisho akanitukana huyoo 😂😂😂😂
Baadae tena akaniomba msamaha
 
Ni kweli kabisa kuna siku nimetumiwa pesa 750,000 dakika tano zikapita nikapigiwa simu eti wametoka airtel wanataka kunirekebishia kuna vifurushi vipya vya internet akaniaambia nibonyeze *148*88#
Nikabonyeza 😂😂😂 akaniambia haya sasa umeviona vifurushi sasa nataka nikuunge haya toka ingia *150*60#
Moyoni nikacheka kuwa hii si code ya airtel money 😂😂 nikamuambia nibonyeze ngapi. Nakuwa najifanya kaka simsikiii mara namuambia mtandao unasumbua
Mwisho akanitukana huyoo 😂😂😂😂
Baadae tena akaniomba msamaha
🤣🤣🤣
 
Mpuuzie tu hawana jipya hakuna wa kumatpeli kwenye simu kipindi hiki.
 
Back
Top Bottom