Nyati
JF-Expert Member
- Mar 6, 2009
- 2,521
- 1,906
Mimi alinipigia boya mmoja akaniuliza nina TZS ngapi maana kuna pesa imekuaj kimakosa kwangu. Nikamwambia sijui kwani wamenitumia fedha ya malipo ya Korosho kutoka ktk shamba langu huko kijijini. Jamaa akaanza siasa zake eti kuna mtu katuma 280,000/= hivyo nimrejeshee nikambwambia kwa kuwa yeye yupo ktk kampuni achukue mwenyewe tena achukue 300,000/= hapo ndipo mvua ya matusi ikaanza ghafla..