Hoja kuhusu matapeli wa mtandaoni ambao wakishagundulika hutoa matusi makali

Hoja kuhusu matapeli wa mtandaoni ambao wakishagundulika hutoa matusi makali

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] imenitokea juzi. Nikaukizwa kama kuna hela imeingia nikajibu ndio. Sh ngapi...650,000 yakafata matusi ya nguoni kabisa. Sijui nilikosea nini
Hahah polee[emoji23]
 
Afu mtandao wa TTCL ndio unaongoza kutumiwa na matapeli, hivi si ndiyo wa serikali ee🤔🤔
 
Kuna mmoja alinipigia huku nimeshapuliza vitu vyangu alianza kutukana nikawa na mimi natukana bila kuweka hata nukta na kwa sauti kubwa akakata simu yaani tusi lolote tu naunganisha. Kumpigia tena iliita mara moja halafu akakata akaniblock mazima.
 
Kuna mmoja alinipigia huku nimeshapuliza vitu vyangu alianza kutukana nikawa na mimi natukana bila kuweka hata nukta na kwa sauti kubwa akakata simu yaani tusi lolote tu naunganisha. Kumpigia tena iliita mara moja halafu akakata akaniblock mazima.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Yote Tisa kumi..Mimi Ni ile mitusi wanayoimwaga sijui hua wanafaidika nini
 
Mm mwenye nna Uzi wangu jinsi tulivyowatapeli wabunge wa ccm 2020 baada ya bunge kuitimishwa july mosi kuelekea uchaguz oct28 2020

Nitashusha Uzi huo soon
 
Kama ni wabunge wa chama chakavu haina ni sawa' wale ni headless!
 
Ushawahi pata hasira mpaka unastack...laiti kama angekuwa karibu sina hakika ingekuaje
Ni kweli wanatukana sana. Mimi walinipigia nilikuwa kikaoni, nikaona missed call baadae nikawapigia. Akaanza niset. Niliposhtuka jamaa alinitukana sana. Serikali itusaidie, yule jamaa kama angekuwa karibu yangu na matusi aliyonitukana. Ningepata kesi ya mauaji
 
Ni kweli wanatukana sana. Mimi walinipigia nilikuwa kikaoni, nikaona missed call baadae nikawapigia. Akaanza niset. Niliposhtuka jamaa alinitukana sana. Serikali itusaidie, yule jamaa kama angekuwa karibu yangu na matusi aliyonitukana. Ningepata kesi ya mauaji
[emoji23][emoji23]
 
Hahaa sio kwa matusi ya hawa jamaa alafu ukizingatia ni mission impossible
emoji38.png

Ukiona hvo ujue hio siku kila waliyejaribu kumchota,, hakuingia kwenye 18 zao,, so ikawa ni hasira mwanzo mwisho
 
Hao ni matapeli; walishawahi kunipigia, waliponiuliza kwenye simu unasalio kiasi gani; nikawajibu nina bilioni moja...kilichofuata walishusha matusi na kukata simu.
Ninachohisi, hizo laini zitakua hazijasajiliwa kwa jina lao; kwa hiyo kama ni kuwa-track kwa mfumo, utapata 'location' tu
Hao wanakamatika tu kirahisi ni wenye mamlaka tu hawajaamua kutatua hilo tatizo
 
Mm Kuna mmoja alinipigia tukaongea kama dk 2 hivi na nilimgundua tangu mwanzo, mwishoni tukaanza kupiga story tu kama marafiki nikamuuliza hivi huwa mnapata hela anasema ndiyo tunapata tena siku ukibahatika Kwa siku hata laki 2 unapiga,tuliongea sana na akasema pia wanashirikiana na watu wenye M-PESA, tiGO pesa,Hallo Pesa na Airtel money na ndiyo wanaowapa namba za Simu......ndiyo maana unaweza kuweka hela ndani ya muda mfupi anakupigia....au unapokea msg
 
Aisee Juzi Kati Niko kwenye bodaboda mshenzi Kama Huyo akanipigia akadai Kuna mteja wa Tigo kakosea n.k Sasa Yale mawimbi ya bodabd kauliza Uko kwenye Gari au pikipiki nkamjibu nipo kwenye ndege baada ya Hapo Ni matusi mfululizo
 
Habari wanajamvi,

Mnamo majira ya saa tatu asubuhi ya leo nimepokea simu namba ngeni ya mtu ambaye alijitambulisha kama mhudumu wa wateja kutoka Vodacom.

Basi nikamsikilizaa na alikua akiuliza kama kuna muamala umeingia kimakosa katika simu yangu, kwa haraka haraka nikashtuka na kumwambia kama yeye yupo vodacom aangalie hukohuko kwanini aniulize mimi?

Kitendo cha kumwambia hivoo akagundua nimemshtukia kuwa analengo la kunitapelii aiseeeeee! Huyu mshenzii kutukana matusi sijui ni ya sayari ipii mpaka nikabakii kuskiliza wee mwisho akakata simu.

Swalii: Hivi hawa jamaa wanajiamini nini kuwa wanatoa matusi makali na wakati wao ndo wakosaji hapaa? Na je, hivi tunavotuma namba hizi katika mitandao husika huwa wanatafutwa na kuwajibishwaa au wameshajua kuwa hutuna cha kuwafanya?
Huyu jamaa ana njaa hatari leo sijui kapigia wangapi..[emoji23] kanipigia tukaenda sawa akakata simu na bonge la msonyo namba yake hii hapa 0672059349
 
🤣🤣🤣🤣 imenitokea juzi. Nikaukizwa kama kuna hela imeingia nikajibu ndio. Sh ngapi...650,000 yakafata matusi ya nguoni kabisa. Sijui nilikosea nini
Siku nyengine punguza kiherehere..😂
 
Mimi wakinipigia sitaki washtuke kama nimewashtukia kinachofata huwa nawasumbua sana naongea nao muda mrefu kinoma huku nawatamanisha miamala niliyonayo huo muda ninao wasumbua ndo ninakula mtaji wao taratibu, na kuwapotezea gape ya kukamata boya.

Kwa maana ingine huwa najitolewa kuokoa miamala ya wasukuma, maana ukiwaambia unaongea nao kutokea mwanza/shinyanga huwa wanajua kabisa huyu ndo boya wa kupiga wanakusoundisha balaa.
 
Me mzigua mmoja kanipia sim juzi akisema eti yu kutoka voda huduma KWA wateja na kaniambia kuna mtu kakosea kutuma pesa imeingia kwenye account yangu kaniuliza una sh ngapi nkamjibu laki tatu[emoji4] akajua kapata mtoto wa mtu aliye kimbia kukuketwa na mjini kafika jana[emoji849] BWANA weee tukapangana MWISHO wa siku tukashindwana kaanza kunitukana nami sikumbakisha nikamnawa[emoji57][emoji57] harafu nikata kapiga katumia namba nyingine ananiambia umenitukana matusi nimemind[emoji849][emoji1787] mara kaanza oh me sipendi utaperi ILA ni maisha tu na naomba nikuoe me ni mzigua kutoka tanga na nikikuoa utaperi nitaacha tukapiga story mbili tatu na mzigua wangu mpaka tukawa marafiki wa siku MOJA
 
Me mzigua mmoja kanipia sim juzi akisema eti yu kutoka voda huduma KWA wateja na kaniambia kuna mtu kakosea kutuma pesa imeingia kwenye account yangu kaniuliza una sh ngapi nkamjibu laki tatu[emoji4] akajua kapata mtoto wa mtu aliye kimbia kukuketwa na mjini kafika jana[emoji849] BWANA weee tukapangana MWISHO wa siku tukashindwana kaanza kunitukana nami sikumbakisha nikamnawa[emoji57][emoji57] harafu nikata kapiga katumia namba nyingine ananiambia umenitukana matusi nimemind[emoji849][emoji1787] mara kaanza oh me sipendi utaperi ILA ni maisha tu na naomba nikuoe me ni mzigua kutoka tanga na nikikuoa utaperi nitaacha tukapiga story mbili tatu na mzigua wangu mpaka tukawa marafiki wa siku MOJA
duh hivi kuna watu wanatype kam hivi 2022?

Sent from my SM-M307F using JamiiForums mobile app
 
Mm mwenye nna Uzi wangu jinsi tulivyowatapeli wabunge wa ccm 2020 baada ya bunge kuitimishwa july mosi kuelekea uchaguz oct28 2020

Nitashusha Uzi huo soon
Huo si utapeli ulioufanya, bali ulimua kujichukulia chako mapema.
 
Back
Top Bottom