HOJA: Kwanini Wakristo wanajinasibisha/wanajipendekeza kwa Israel

HOJA: Kwanini Wakristo wanajinasibisha/wanajipendekeza kwa Israel

Huwa napatwa na ukakasi kwenye hili swala

Kwa takwimu rasmi....wafuasi wa dini israel ni kama ifuatavyo

Sasa kwanini yakianza kuongelewa ya Israel, wa Israel wa bongo wanajifanya wana uchungu juu ya mada tajwa kushinda namba mbili hapo juu ilhali wakristo wenyewe wa taifa tehule hawana huo uchungu

Au tuseme idadi kubwa ya watu israel hawautak huo utaifa u-teule....

Hoja tayar
Uzi tayar
Nawasilisha....
Over
Ni Bora hao wakristo wanna shobo na taifa la Israel.

Kuna watu wakimwona mwarabu wanaona ndio mtume kabisa.

Ukitaka kukosana mwongelee mwarabu kwa ubaya
 
wayahudi na wakristu wanaunganishwa na agano la kale mkuu. Naskia hata maalimu Sheikh Ponda akitua leo Saudi Arabia au Qatar ataitwa mtumwa
Kama wewe ni Ke basi hakuna tabu ila kama wewe ni Me basi ni aibu kubwa kwa mwanaume kutumia neno "Nasikia" hili neno limekaa kimbea mbea sana,JF hatuendi kwa "Nasikia" bali kwa fact.
 
Huwezi kuongelea Yesu kristo bila kuutaju ukoo wake..ambapo ibrahimu..Yakobo..Yesse..Mfalme Daudi..nawengineo wengi wanahusika..

#MaendeleoHayanaChama
 
Kama wewe ni Ke basi hakuna tabu ila kama wewe ni Me basi ni aibu kubwa kwa mwanaume kutumia neno "Nasikia" hili neno limekaa kimbea mbea sana,JF hatuendi kwa "Nasikia" bali kwa fact.
mbona na wewe umelitumia?
 
... wokovu haukuja duniani ila kupitia taifa la Israel. Namaanisha taifa la Israel kwa kuzaliwa sio magaidi wanaishi Israel nao wanajiita waisrael.
 
Wanaamini kuwa ukilibariki taifa la Israel nawe utabalikiwa!
Na hilo taifa limebeba historia kubwa sana kuhusu chimbuko la imani yao!..

Hawa wakristo wamekuwa vipofu maana wanajikuta hata wakiabudu taifa kuliko imani yao!,hata kumtafuta Mungu wao hawajui! Chengine imani wanazozisoma walishazikubali hata kabla hawajawa na ufahamu sasa ngumu kuchomoka humo maana wengi wao hata vitabu vyao vya imani hawavisomi na kuvielewa,just imagine unasoma kitabu ambacho umeshajazwa fikra kuwa ni kitabu kitakatifu na mhusika wa kitabu yupo perfect na ukienda kinyume nae unamkufuru!.. mpaka hapo ushanyimwa hata Uhuru wa kupembua mambo wakati unasoma kitabu husika!.
 
Huwa napatwa na ukakasi kwenye hili swala

Kwa takwimu rasmi....wafuasi wa dini israel ni kama ifuatavyo

Sasa kwanini yakianza kuongelewa ya Israel, wa Israel wa bongo wanajifanya wana uchungu juu ya mada tajwa kushinda namba mbili hapo juu ilhali wakristo wenyewe wa taifa tehule hawana huo uchungu

Au tuseme idadi kubwa ya watu israel hawautak huo utaifa u-teule....

Hoja tayar
Uzi tayar
Nawasilisha....
Over
Mada za kidini hizi ila hizi dini mbili uislam na uarabu hii maana yake ni kujipendekeza?
Wakristo wanafuata huko alikozaliwa Yesu na waislam wanafuata alikozaliwa Mtume mohd na siyo kujipendekeza.
 
Huwezi kuongelea Yesu kristo bila kuutaju ukoo wake..ambapo ibrahimu..Yakobo..Yesse..Mfalme Daudi..nawengineo wengi wanahusika..

#MaendeleoHayanaChama
Yesu si hana baba au huko ni matrilinia ,ukoo kwa mama
 
Back
Top Bottom