HOJA: Kwanini Wakristo wanajinasibisha/wanajipendekeza kwa Israel

HOJA: Kwanini Wakristo wanajinasibisha/wanajipendekeza kwa Israel

wayahudi na wakristu wanaunganishwa na agano la kale mkuu. Naskia hata maalimu Sheikh Ponda akitua leo Saudi Arabia au Qatar ataitwa mtumwa
Wakristu hawafuati agano la kale,agano la kale halina uhusiano na ukristu
 
Ni kama vile tu waislamu hapa nyumbani wanavyojitesa kuvaa kanzu na mahijabu wakidhani ndio dini yenyewe kumbe ni utamaduni tu wa waarabu.
Mama yake yesu alikua akivaa hijabu,hata mimba haikuonekana mpaka siku kajifungua,yesu full kanzu na makubazi
 
Muafrika alikua anadunda na ngozi za wanyama tu tena anafunika zile sehemu muhimu tu......hizi wakina kaputula na ndugu zake ni featuring ya mzungu pia......kote hatuna chetu kila mmoja kadokoa kwa wageni
 
... wokovu haukuja duniani ila kupitia taifa la Israel. Namaanisha taifa la Israel kwa kuzaliwa sio magaidi wanaishi Israel nao wanajiita waisrael.
3000bc-2500bc,Hilo eneo kilikua la wapagani wa kanaani
 
Muafrika alikua anadunda na ngozi za wanyama tu tena anafunika zile sehemu muhimu tu......hizi wakina kaputula na ndugu zake ni featuring ya mzungu pia......kote hatuna chetu kila mmoja kadokoa kwa wageni
Fwata istoria ya vitenge vilianza kutengenezwa wapi.
 
Kwanini huwashangai waislamu wanavyojipendekeza kwa Arabic countries? inafikia hatua wanashabikia mpaka vitendo vya kigaidi
 
Huwa napatwa na ukakasi kwenye hili swala

Kwa takwimu rasmi....wafuasi wa dini israel ni kama ifuatavyo

Sasa kwanini yakianza kuongelewa ya Israel, wa Israel wa bongo wanajifanya wana uchungu juu ya mada tajwa kushinda namba mbili hapo juu ilhali wakristo wenyewe wa taifa tehule hawana huo uchungu

Au tuseme idadi kubwa ya watu israel hawautak huo utaifa u-teule....

Hoja tayar
Uzi tayar
Nawasilisha....
Over
Japo ni Mkristu tena Mkatoliki ila ilo taifa silipendi ata kidogo! Zaman huko nyuma kabla sijakoo kifikra nilikuwa nalipenda ila baada ya kuanza kujua kusoma article mbalimbali nililichukia hasa mgogoro wao na Palestina ndiyo umenifanya nisilipende zaidi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sas hiyo israel yenyewe wanayokesha kuiombea mbona ndio kwaanza ipo bize kufanya ushenz dunian?

[emoji117]Mauwaji wao
[emoji117]Makundi haramu ya ugaidi wao
[emoji117]Ushoga& usagaji wao
[emoji117]Ubaguzi wao
[emoji117]Uvamiz na uonevu kwa mataifa mengine wao
.[emoji117]Uanzilishi na umiliki wa makundi ya kishetan (illuminate& Freemason) wao
[emoji117]Uwizi wa rasilimali na history isiyo wahusu
[emoji117]Umiliki wa utajiri wa dunia kwa %kubwa kinyume na sheria ni wao

Sas linatokea lijinga limoja tokea afrika linalojiita mjazwa Roho mtakatifu alafu linaanza kuwadanganya wenzake eti ''israel ya middle east ni taifa teule" NONSENSE.

Badiriken nyie wafuasi wa dini, kusoma hamuwez basi hata picha hamuoni?

Biblia&quran ni hazina utakatifu wowote, maana ni vijistor vya uongo vilivyotungwa kwa kuiba maandiko ya waafrika wa kale, na kuunda hizo takataka mnazotumia kufanya ibada za kishetan jpil,jmos na ijumaa.

1642948169274.jpg
 
Back
Top Bottom