Mufti kuku The Infinity
JF-Expert Member
- Sep 21, 2019
- 6,053
- 10,032
- Thread starter
- #21
Miaka mingapi?Huu uzi huu waufunge tuuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Miaka mingapi?Huu uzi huu waufunge tuuu.
Unasikia?wayahudi na wakristu wanaunganishwa na agano la kale mkuu. Naskia hata maalimu Sheikh Ponda akitua leo Saudi Arabia au Qatar ataitwa mtumwa
ipilili uchama au tazengwaNgoja waje wale mayahudi weusi wa Nzega huenda wakawa na majibu.
Kama ya sir buyer.Miaka mingapi?
Baba mlezi.Yesu si hana baba au huko ni matrilinia ,ukoo kwa mama
AMENJESUS FIRST JESUS FOREVER
IN JESUS WE MUST TRUST
IF YOU DON'T LOVE JESUS WHO THE HELL WILL YOU LOVE
GOD BLESS AND PROTECT ISRAEL
JESUS IS GOD
Mna uelewa mdogo sana wa haya mambo...Huwezi kuongelea Yesu kristo bila kuutaju ukoo wake..ambapo ibrahimu..Yakobo..Yesse..Mfalme Daudi..nawengineo wengi wanahusika..
#MaendeleoHayanaChama
JESUS AND ISRAEL FIRSTMna uelewa mdogo sana wa haya mambo...
Yesu yu pamoja na Wayahudi kwa sababu za ethnic background lakini sio kwa sababu za kiimani!! Hawa wate ni Wayahudi kwa UZAWA na sio KIIMANI
Wakristo wapo pamoja na Yesu kwa sababu za Kiimani na sio ethnic background kwa sababu Mkristo HAWEZI KUWA JEW kama ambavyo Mchaga hawezi kuwa Msukuma au kama ambavyo Mnyakyusa kuwa Mmakonde!!
Mkristo mbele ya Myahudi (Kiimani) anaonekana sawa na Mwislamu anavyoonekana mbele ya Mkristo!! Kama ambavyo nyie mnavyomuona Muhamadi ni Shetani tu ndivyo Myahudi anavyomuona Yesu!
Kwa waendekeza dini mngekuwa sahihi endapo wale akina Netanyau wangekuwa ni Wakristo lakini akina Netanyau wanauona Ukristo ni dini ya kishetani tu kama ambavyo Wakristo wanavyouna Uislamu!
Is like you're struggling to prove something to me...JESUS AND ISRAEL FIRST
JESUS AND ISRAEL FOREVER
IN JESUS WE MUST TRUST
GOD BLESS AND PROTECT ISRAEL
JESUS IS GOD
Dah 🤣🤣Kama ya sir buyer.
Wewe ni Nabii wa taifa gani?Kwanini waislamu wanajipendekeza kwa waarabu
Mwamedi alikuwa mtume wa taifa gani?Wewe ni Nabii wa taifa gani?
Tuanzie hapo kwanza
Yesu alikua akivaa mavazi gani?Ni kama vile tu waislamu hapa nyumbani wanavyojitesa kuvaa kanzu na mahijabu wakidhani ndio dini yenyewe kumbe ni utamaduni tu wa waarabu.