inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Wakristu hawafuati agano la kale,agano la kale halina uhusiano na ukristuwayahudi na wakristu wanaunganishwa na agano la kale mkuu. Naskia hata maalimu Sheikh Ponda akitua leo Saudi Arabia au Qatar ataitwa mtumwa
Mama yake yesu alikua akivaa hijabu,hata mimba haikuonekana mpaka siku kajifungua,yesu full kanzu na makubaziNi kama vile tu waislamu hapa nyumbani wanavyojitesa kuvaa kanzu na mahijabu wakidhani ndio dini yenyewe kumbe ni utamaduni tu wa waarabu.
Muislam gani kajipendekeza kwa mwarabu!?..kajipendekeza vipi?Kwanini waislamu wanajipendekeza kwa waarabu
Uyo yesu mwenyewe hakuzaliwa apa duniani, Sasa mama yake kavaaje hijab??Mama yake yesu alikua akivaa hijabu,hata mimba haikuonekana mpaka siku kajifungua,yesu full kanzu na makubazi
3000bc-2500bc,Hilo eneo kilikua la wapagani wa kanaani... wokovu haukuja duniani ila kupitia taifa la Israel. Namaanisha taifa la Israel kwa kuzaliwa sio magaidi wanaishi Israel nao wanajiita waisrael.
Bikira Maria alizaa boga!!?..alikua akivaaje!?Uyo yesu mwenyewe hakuzaliwa apa duniani, Sasa mama yake kavaaje hijab??
Fwata istoria ya vitenge vilianza kutengenezwa wapi.Muafrika alikua anadunda na ngozi za wanyama tu tena anafunika zile sehemu muhimu tu......hizi wakina kaputula na ndugu zake ni featuring ya mzungu pia......kote hatuna chetu kila mmoja kadokoa kwa wageni
Taifa la Simba SCMwamedi alikuwa mtume wa taifa gani?
Husidanganwe weweBikira Maria alizaa boga!!?..alikua akivaaje!?
Nisidanganywe nini!?Husidanganwe wewe
Wakristu hawafuati agano la kale,agano la kale halina uhusiano na ukristu
Hazina uhusiano wowote na ukiristuAmri 10 ni agano gani?
Japo ni Mkristu tena Mkatoliki ila ilo taifa silipendi ata kidogo! Zaman huko nyuma kabla sijakoo kifikra nilikuwa nalipenda ila baada ya kuanza kujua kusoma article mbalimbali nililichukia hasa mgogoro wao na Palestina ndiyo umenifanya nisilipende zaidiHuwa napatwa na ukakasi kwenye hili swala
Kwa takwimu rasmi....wafuasi wa dini israel ni kama ifuatavyo
Sasa kwanini yakianza kuongelewa ya Israel, wa Israel wa bongo wanajifanya wana uchungu juu ya mada tajwa kushinda namba mbili hapo juu ilhali wakristo wenyewe wa taifa tehule hawana huo uchungu
- 74.2% Judaism
- 17.8% Islam
- 2.0% Christianity
- 1.6% Druze
- 4.4% Others
Au tuseme idadi kubwa ya watu israel hawautak huo utaifa u-teule....
Hoja tayar
Uzi tayar
Nawasilisha....
Over