Hoja na maswali utata kwenye uumbwaji wa mwanadamu katika imani ya Kikristo. Je, wenzetu imani zao zinasemaje?

Hoja na maswali utata kwenye uumbwaji wa mwanadamu katika imani ya Kikristo. Je, wenzetu imani zao zinasemaje?

Loading failed

JF-Expert Member
Joined
Sep 14, 2023
Posts
2,603
Reaction score
7,501
Harakari za uumbaji wa mwanadamu kiimani na utata unaojitokeza yapi maswali ya kujiuliza kwa kina. Je nani mwenye majibu yake au nani anaweza kutujibia.

Ndugu zangu.

A) Uumbwaji wa mwanamke na mwanaume bila udogo, tena wenye usawa ndani yake

Tukiangazia kitabu cha mwazo 1: 26-28 tutagundua kwamba Mungu aliumba mwanamume na mwanamke aiku moja bila ya kutumia udogo, tena aliwaumba kwa sura na mfano wake. Mungu aliwabariki pia na kuwapa uwezo wote wawili wa kuzaa. Na zaidi tena walipewa uwezo wa kutawala na kutiisha wote kwa pamoja. Mwanaume alipewa uwezo wa kutawala na kutiisha vivyo hivyo na mwanamke naye alipewa uwezo wa kutawala na kutiisha

NUKUU ( MWAZO 1:26-28)
Mwanzo 1
26 Mungu akasema, Na tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu; wakatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na wanyama, na nchi yote pia, na kila chenye kutambaa kitambaacho juu ya nchi.
27 Mungu akaumba mtu kwa mfano wake, kwa mfano wa Mungu alimwumba, mwanamume na mwanamke aliwaumba.
28 Mungu akawabarikia, Mungu akawaambia, Zaeni, mkaongezeke, mkaijaze nchi, na kuitiisha; mkatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na kila kiumbe chenye uhai kiendacho juu ya nchi.


B) Mwazo 2 :5 TUNAONA WALW WALIOUMBWA KWA SURA NA MFANO WA MUNGU HAWAKUWEPO.

Mwanzo 2:5 ..hapakuwa na mche wa kondeni bado, wala mboga ya kondeni haijachipuka bado, kwa maana Bwana Mungu hajainyeshea nchi mvua, wala hapana mtu wa kuilima ardhi;


C) ( Mwazo 2: 7-8, na mwazo 2:15-18) TUNAONA ALIUMBWA MTU KWA MAVUMBI TUSIE IJUA JINSIA YAKE HAPA.
Mwanzo 2
7 Bwana Mungu akamfanya mtu kwa mavumbi ya ardhi, akampulizia puani pumzi ya uhai; mtu akawa nafsi hai.
8 Bwana Mungu akapanda bustani upande wa mashariki wa Edeni, akamweka ndani yake huyo mtu aliyemfanya.

Mwanzo 2
15 Bwana Mungu akamtwaa huyo mtu, akamweka katika bustani ya Edeni, ailime na kuitunza.
16 Bwana Mungu akamwagiza huyo mtu, akisema, Matunda ya kila mti wa bustani waweza kula,
18 Bwana Mungu akasema, Si vema huyo mtu awe peke yake, nitamfanyia msaidizi wa kufanana naye.

D) Mwazo 2: 19-25 ,UWEPO WA ADAMU TUSIEJUA KATOKA WAPI AMBAPO NDIPO ALIPOTWALIWA MWANAMKE

Mwanzo 2
19 Bwana Mungu akafanyiza kutoka katika ardhi kila mnyama wa msituni, na kila ndege wa angani, akamletea Adamu ili aone atawaitaje; kila kiumbe hai, jina alilokiita Adamu likawa ndilo jina lake.
20 Adamu akawapa majina yao kila mnyama wa kufugwa, na ndege wa angani, na kila mnyama wa mwituni; lakini hakuonekana wa kumsaidia Adamu aliyefanana naye.
21 Bwana Mungu akamletea Adamu usingizi mzito, naye akalala; kisha akatwaa ubavu wake mmoja, akafunika nyama mahali pake,
22 na ule ubavu alioutwaa katika Adamu Bwana Mungu akaufanya mwanamke, akamleta kwa Adamu.
23 Adamu akasema, Sasa huyu ni mfupa katika mifupa yangu, na nyama katika nyama yangu, basi ataitwa mwanamke, kwa maana ametwaliwa katika mwanamume.
24 Kwa hiyo mwanamume atamwacha baba yake na mama yake naye ataambatana na mkewe, nao watakuwa mwili mmoja.
25 Nao walikuwa uchi wote wawili, Adamu na mkewe, wala hawakuona haya.

E) Mwazo 3:6,16-22. UWEPO WA MUME NA MKE TUSIOUJUA ULIKUAJE KUAJE.

Mwanzo 3
6 Mwanamke alipoona ya kuwa ule mti wafaa kwa chakula, wapendeza macho, nao ni mti wa kutamanika kwa maarifa, basi alitwaa katika matunda yake akala, akampa na mumewe, naye akala.
16 Akamwambia mwanamke, Hakika nitakuzidishia uchungu wako, na kuzaa kwako; kwa utungu utazaa watoto; na tamaa yako itakuwa kwa mumeo, naye atakutawala.
17 Akamwambia Adamu, Kwa kuwa umeisikiliza sauti ya mke wako, ukala matunda ya mti ambao nalikuagiza, nikisema, Usiyale; ardhi imelaaniwa kwa ajili yako; kwa uchungu utakula mazao yake siku zote za maisha yako;
18 michongoma na miiba itakuzalia, nawe utakula mboga za kondeni;
19 kwa jasho la uso wako utakula chakula, hata utakapoirudia ardhi, ambayo katika hiyo ulitwaliwa; kwa maana u mavumbi wewe, nawe mavumbini utarudi.
20 Adamu akamwita mkewe jina lake Hawa; kwa kuwa yeye ndiye aliye mama yao wote walio hai.
21 Bwana Mungu akawafanyia Adamu na mkewe mavazi ya ngozi, akawavika.
22 Bwana Mungu akasema, Basi, huyu mtu amekuwa kama mmoja wetu, kwa kujua mema na mabaya; na sasa asije akanyosha mkono wake akatwaa matunda ya mti wa uzima, akala, akaishi milele;

***
Ukiunganisha kwa pamoja kitabu cha mwazo 1,2 na 3 katika uumbaji wa mwanadamu utagundua ya fuatayo
a) Kulikua na wanawake wawili yule aleumbwa mwenye usawa na mwanaume na huyu alie umbwa kutoka kwa Adamu
b) Tutagundua kulikua na wanaume wawili yule aliyeumbwa kuwa sawa na mwanamke na huyu Adamu aliyeibuka kusiko julikana
c) Tutagundua kulikua na uumbwaji watu wa tano kama ifuatavyo.

- Mwanaume aliyeumbwa sawa na mwanamke (haki sawa)

-mwanamke aliyeumbwa sawa na mwanaume (haki sawa)

-Mtu aliyeumbwa kwa udongo asiye julikana jinsia yake ni mwanaume au ni mwanamke.

-Adamu ambaye hajulikani alitokea wapi na aliumbwaje na hilo jina Adamu alipata wapi

-Mwanamke aliye umbwa kutoka kwenye ubavu wa Adamu ambaye Adamu alikuja kumuita Hawa huko baadae.


YAPI MASWALI YA KUJIULIZA

1: a) Kwakuzingatia uumbaji wa binadamu kwenye mwazo 1: 26-28, je, tunakiri wazi kuwa mwanaume na mwanamke ni sawa na wote wananguvu za kumiliki na kutawala na wanahaki sawa?

b )Kwanini hawakuanza kuzaliana kama walivyobarikiwa na kuambiwa wazaliane , kama walizaliana watoto wao wako wapi na nikina nani?

2: kwa kuzingatia Mwazo 2 :5
a) wale binadamu waliokua sawa baina ya mwanaume na mwanamke hawakuwepo duniani kwenye kuilima ardhi , je, walikua wapi baada ya kuumbwa?

b) Je, kama hawakua popote ni dhairi kwamba uumbaji wa awali kwenye mwazo 1: 26:28 ulifutwa baada ya kugundua wapo sawa , na kama haukufutwa hao watu ndio hawa tunao waona wadai haki sawa au ni wapi?

3: a) Ukisoma Mwazo 2: 7-8, na mwazo 2:15-18 utagundua aliumbwa mtu ambaye bayana jinsia yake haikutajwa, je huyo mtu yupo wapi na alikwenda wapi?

b) Kama wapo je, ndiyo hawa wanaozaliwa na jinsia zaidi ya moja tunawaona kwenye hii dunia ya sasa?

4: a) ukiangalia Mwazo 2: 19-25 utagundua kuna mtu katajwa kwa jina la ADAMU ambaye hajulikani alitokea wapi, je huyu adamu aliyetumika kutolewa ubavu wake na ndipo akaumbwa mwanamke alitoka wapi na chanzo chake kilikua ni nini na ni wapi?

b) Je, Adamu aliumbwa kutokana na nini basi, na hili jina Adamu alilipata wapi?

C)Kama sio "a" na" b". Je, huyu adamu ndiye yule ambaye kule tuliona Mungu walikua wakiongea na kusema tumfanye mtu kwa sura na mfano wetu. kama sio yeye ni kwanini adamu aje aonekane sahizi., je, na wale walioumbwa kumtangulia wako wapi?

5: Ukifatilia Mwazo 3:6,16-22. Utagudua kuna swala la huyu mwanamke kumuita mwanume Mume. na baadae kulikuwepo n namna ya kuitan a majina matukufu mume na mke .

maswali ya kujiuliza.

a) Huyu mwanamke ambaye baadae aliitwa na Adamu Kwa jina la Hawa. Je, mume wake aliyempa tunda alikua ni yupi na akipata wapi mamlaka ya kujimilikisha jina "mume wake"?

b) Kama Adamu tokea huko alipoibukia ambako hatujui alitokea wapi, tunajua hakuwahi kusema kama ni mume wa huyo mwanamke ambaye baadae alimuita Hawa, je, kwanini basi Adamu akubaliane baadae kumuita Hawa ni mkewe?

c) Kwanini Adamu asingekataa kwamba yeye siyo mume wa mtu wala hana mke pindi walipo adhibiwa maana hakuna mahali mwenyezi Mungu alimuambia kuwa huyo mwanamke ndiye mke wako, ?

d) i. Je, kama kweli hawa (mwanamke ) alimpa mume wake tunda walilokataza kula. Kwanini huyo mwanamke asinge hojiwa ili aseme wazi huyo mume wake aliyempa tunda pale bustani ya eden ni yupi ili tujue ni Adamu au ni wale walioumbwa kabla ya kuibuka Adamu ambaye hatujui katokea wapi?

ii. Kwanini adamu alipo hojiwa alisema ni huyu mwanamke uliyenipa ila hakusema mke. Je, tutajuaje kuwa Adamu hakua mume wa huyo mwanamke aliyetoa tunda isipo kua aliamua kumsitiri rafiki yake?

6: Je, sisi wanadamu wa sasa nikizazi cha uumbaji ule wa kwanza, wapili au huu wa udongo wa hawa na Adamu asiye julikana. Au ni mchanganyiko wa vizazi vyote na kwanini iwe hivyo.?

KARIBUNI KWA MAJIBU NA HOJA
 
Kabla hujaeleza yote haya unapaswa kwanza utupatie maana ya istilahi "Mungu" ni nini?

Swali kama hili ni vema pia kama ukamuuliza aliye kupa hilo somo.
 
Mkuu, kuna adamu wenye sura mbili;Adamu kabla ya anguko na Adamu baada ya anguko ambaye ni chanzo cha uzao wa binadamu wote.Pia,Mungu kuumba mbingu na nchi lwa siku 6 ikumbukwe siku moja lwa Mungu ni sawa na miaka 1000.Sasa sijui aliumba kwa siku moja kibinadamu ambayo ni 24hrs au aliumba kwa siku moja kimungu ambayo ni sawa na miaka elfu moja kibinadamu.Nway,haya mambo ni pasua kichwa maana hayana majibu ya moja kwa moja.
 
Mkuu,kuna adamu wenye sura mbili;Adamu kabla ya anguko na Adamu baada ya anguko ambaye ni chanzo cha uzao wa binadamu wote.Pia,Mungu kuumba mbingu na nchi lwa siku 6 ikumbukwe siku moja lwa Mungu ni sawa na miaka 1000.Sasa sijui aliumba kwa siku moja kibinadamu ambayo ni 24hrs au aliumba kwa siku moja kimungu ambayo ni sawa na miaka elfu moja kibinadamu.Nway,haya mambo ni pasua kichwa maana hayana majibu ya moja kwa moja.
Huyo Adamu alitoka wapi. Maana hakuna mahali panaonyesha Adamu aliumbwa. Tunaona tuu mtu katajwa Adamu ?
 
Harakari za uumbaji wa mwanadamu kiimani na utata unaojitokeza yapi maswali ya kujiuliza kwa kina. Je nani mwenye majibu yake au nani anaweza kutujibia.

Ndugu zangu.

A) Uumbwaji wa mwanamke na mwanaume bila udogo, tena wenye usawa ndani yake

Tukiangazia kitabu cha mwazo 1: 26-28 tutagundua kwamba Mungu aliumba mwanamume na mwanamke aiku moja bila ya kutumia udogo, tena aliwaumba kwa sura na mfano wake. Mungu aliwabariki pia na kuwapa uwezo wote wawili wa kuzaa. Na zaidi tena walipewa uwezo wa kutawala na kutiisha wote kwa pamoja. Mwanaume alipewa uwezo wa kutawala na kutiisha vivyo hivyo na mwanamke naye alipewa uwezo wa kutawala na kutiisha

NUKUU ( MWAZO 1:26-28)
Mwanzo 1
26 Mungu akasema, Na tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu; wakatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na wanyama, na nchi yote pia, na kila chenye kutambaa kitambaacho juu ya nchi.
27 Mungu akaumba mtu kwa mfano wake, kwa mfano wa Mungu alimwumba, mwanamume na mwanamke aliwaumba.
28 Mungu akawabarikia, Mungu akawaambia, Zaeni, mkaongezeke, mkaijaze nchi, na kuitiisha; mkatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na kila kiumbe chenye uhai kiendacho juu ya nchi.


B) Mwazo 2 :5 TUNAONA WALW WALIOUMBWA KWA SURA NA MFANO WA MUNGU HAWAKUWEPO.

Mwanzo 2:5 ..hapakuwa na mche wa kondeni bado, wala mboga ya kondeni haijachipuka bado, kwa maana Bwana Mungu hajainyeshea nchi mvua, wala hapana mtu wa kuilima ardhi;


C) ( Mwazo 2: 7-8, na mwazo 2:15-18) TUNAONA ALIUMBWA MTU KWA MAVUMBI TUSIE IJUA JINSIA YAKE HAPA.
Mwanzo 2
7 Bwana Mungu akamfanya mtu kwa mavumbi ya ardhi, akampulizia puani pumzi ya uhai; mtu akawa nafsi hai.
8 Bwana Mungu akapanda bustani upande wa mashariki wa Edeni, akamweka ndani yake huyo mtu aliyemfanya.

Mwanzo 2
15 Bwana Mungu akamtwaa huyo mtu, akamweka katika bustani ya Edeni, ailime na kuitunza.
16 Bwana Mungu akamwagiza huyo mtu, akisema, Matunda ya kila mti wa bustani waweza kula,
18 Bwana Mungu akasema, Si vema huyo mtu awe peke yake, nitamfanyia msaidizi wa kufanana naye.

D) Mwazo 2: 19-25 ,UWEPO WA ADAMU TUSIEJUA KATOKA WAPI AMBAPO NDIPO ALIPOTWALIWA MWANAMKE

Mwanzo 2
19 Bwana Mungu akafanyiza kutoka katika ardhi kila mnyama wa msituni, na kila ndege wa angani, akamletea Adamu ili aone atawaitaje; kila kiumbe hai, jina alilokiita Adamu likawa ndilo jina lake.
20 Adamu akawapa majina yao kila mnyama wa kufugwa, na ndege wa angani, na kila mnyama wa mwituni; lakini hakuonekana wa kumsaidia Adamu aliyefanana naye.
21 Bwana Mungu akamletea Adamu usingizi mzito, naye akalala; kisha akatwaa ubavu wake mmoja, akafunika nyama mahali pake,
22 na ule ubavu alioutwaa katika Adamu Bwana Mungu akaufanya mwanamke, akamleta kwa Adamu.
23 Adamu akasema, Sasa huyu ni mfupa katika mifupa yangu, na nyama katika nyama yangu, basi ataitwa mwanamke, kwa maana ametwaliwa katika mwanamume.
24 Kwa hiyo mwanamume atamwacha baba yake na mama yake naye ataambatana na mkewe, nao watakuwa mwili mmoja.
25 Nao walikuwa uchi wote wawili, Adamu na mkewe, wala hawakuona haya.

E) Mwazo 3:6,16-22. UWEPO WA MUME NA MKE TUSIOUJUA ULIKUAJE KUAJE.

Mwanzo 3
6 Mwanamke alipoona ya kuwa ule mti wafaa kwa chakula, wapendeza macho, nao ni mti wa kutamanika kwa maarifa, basi alitwaa katika matunda yake akala, akampa na mumewe, naye akala.
16 Akamwambia mwanamke, Hakika nitakuzidishia uchungu wako, na kuzaa kwako; kwa utungu utazaa watoto; na tamaa yako itakuwa kwa mumeo, naye atakutawala.
17 Akamwambia Adamu, Kwa kuwa umeisikiliza sauti ya mke wako, ukala matunda ya mti ambao nalikuagiza, nikisema, Usiyale; ardhi imelaaniwa kwa ajili yako; kwa uchungu utakula mazao yake siku zote za maisha yako;
18 michongoma na miiba itakuzalia, nawe utakula mboga za kondeni;
19 kwa jasho la uso wako utakula chakula, hata utakapoirudia ardhi, ambayo katika hiyo ulitwaliwa; kwa maana u mavumbi wewe, nawe mavumbini utarudi.
20 Adamu akamwita mkewe jina lake Hawa; kwa kuwa yeye ndiye aliye mama yao wote walio hai.
21 Bwana Mungu akawafanyia Adamu na mkewe mavazi ya ngozi, akawavika.
22 Bwana Mungu akasema, Basi, huyu mtu amekuwa kama mmoja wetu, kwa kujua mema na mabaya; na sasa asije akanyosha mkono wake akatwaa matunda ya mti wa uzima, akala, akaishi milele;

***
Ukiunganisha kwa pamoja kitabu cha mwazo 1,2 na 3 katika uumbaji wa mwanadamu utagundua ya fuatayo
a) Kulikua na wanawake wawili yule aleumbwa mwenye usawa na mwanaume na huyu alie umbwa kutoka kwa Adamu
b) Tutagundua kulikua na wanaume wawili yule aliyeumbwa kuwa sawa na mwanamke na huyu Adamu aliyeibuka kusiko julikana
c) Tutagundua kulikua na uumbwaji watu wa tano kama ifuatavyo.

- Mwanaume aliyeumbwa sawa na mwanamke (haki sawa)

-mwanamke aliyeumbwa sawa na mwanaume (haki sawa)

-Mtu aliyeumbwa kwa udongo asiye julikana jinsia yake ni mwanaume au ni mwanamke.

-Adamu ambaye hajulikani alitokea wapi na aliumbwaje na hilo jina Adamu alipata wapi

-Mwanamke aliye umbwa kutoka kwenye ubavu wa Adamu ambaye Adamu alikuja kumuita Hawa huko baadae.


YAPI MASWALI YA KUJIULIZA

1: a) Kwakuzingatia uumbaji wa binadamu kwenye mwazo 1: 26-28, je, tunakiri wazi kuwa mwanaume na mwanamke ni sawa na wote wananguvu za kumiliki na kutawala na wanahaki sawa?

b )Kwanini hawakuanza kuzaliana kama walivyobarikiwa na kuambiwa wazaliane , kama walizaliana watoto wao wako wapi na nikina nani?

2: kwa kuzingatia Mwazo 2 :5
a) wale binadamu waliokua sawa baina ya mwanaume na mwanamke hawakuwepo duniani kwenye kuilima ardhi , je, walikua wapi baada ya kuumbwa?

b) Je, kama hawakua popote ni dhairi kwamba uumbaji wa awali kwenye mwazo 1: 26:28 ulifutwa baada ya kugundua wapo sawa , na kama haukufutwa hao watu ndio hawa tunao waona wadai haki sawa au ni wapi?

3: a) Ukisoma Mwazo 2: 7-8, na mwazo 2:15-18 utagundua aliumbwa mtu ambaye bayana jinsia yake haikutajwa, je huyo mtu yupo wapi na alikwenda wapi?

b) Kama wapo je, ndiyo hawa wanaozaliwa na jinsia zaidi ya moja tunawaona kwenye hii dunia ya sasa?

4: a) ukiangalia Mwazo 2: 19-25 utagundua kuna mtu katajwa kwa jina la ADAMU ambaye hajulikani alitokea wapi, je huyu adamu aliyetumika kutolewa ubavu wake na ndipo akaumbwa mwanamke alitoka wapi na chanzo chake kilikua ni nini na ni wapi?

b) Je, Adamu aliumbwa kutokana na nini basi, na hili jina Adamu alilipata wapi?

C)Kama sio "a" na" b". Je, huyu adamu ndiye yule ambaye kule tuliona Mungu walikua wakiongea na kusema tumfanye mtu kwa sura na mfano wetu. kama sio yeye ni kwanini adamu aje aonekane sahizi., je, na wale walioumbwa kumtangulia wako wapi?

5: Ukifatilia Mwazo 3:6,16-22. Utagudua kuna swala la huyu mwanamke kumuita mwanume Mume. na baadae kulikuwepo n namna ya kuitan a majina matukufu mume na mke .

maswali ya kujiuliza.

a) Huyu mwanamke ambaye baadae aliitwa na Adamu Kwa jina la Hawa. Je, mume wake aliyempa tunda alikua ni yupi na akipata wapi mamlaka ya kujimilikisha jina "mume wake"?

b) Kama Adamu tokea huko alipoibukia ambako hatujui alitokea wapi, tunajua hakuwahi kusema kama ni mume wa huyo mwanamke ambaye baadae alimuita Hawa, je, kwanini basi Adamu akubaliane baadae kumuita Hawa ni mkewe?

c) Kwanini Adamu asingekataa kwamba yeye siyo mume wa mtu wala hana mke pindi walipo adhibiwa maana hakuna mahali mwenyezi Mungu alimuambia kuwa huyo mwanamke ndiye mke wako, ?

d) i. Je, kama kweli hawa (mwanamke ) alimpa mume wake tunda walilokataza kula. Kwanini huyo mwanamke asinge hojiwa ili aseme wazi huyo mume wake aliyempa tunda pale bustani ya eden ni yupi ili tujue ni Adamu au ni wale walioumbwa kabla ya kuibuka Adamu ambaye hatujui katokea wapi?

ii. Kwanini adamu alipo hojiwa alisema ni huyu mwanamke uliyenipa ila hakusema mke. Je, tutajuaje kuwa Adamu hakua mume wa huyo mwanamke aliyetoa tunda isipo kua aliamua kumsitiri rafiki yake?

6: Je, sisi wanadamu wa sasa nikizazi cha uumbaji ule wa kwanza, wapili au huu wa udongo wa hawa na Adamu asiye julikana. Au ni mchanganyiko wa vizazi vyote na kwanini iwe hivyo.?

KARIBUNI KWA MAJIBU NA HOJA
Maswali hayana logic ...ni sawa sawa na mtu aseme amepika wali kisha asame tena nimepika mchele kisha aseme tena nimepika mpunga kisha wewe useme ni mkanga nyiko
 
Karibu kwa elimu ya ufunguzi jicho la tatu....ni pm
Nashindwa kuweka namba au link hapa,sababu ya sera za faragha,
Mtoa mada hauko mbali na ukweli.
 
Kiimani ni kwamba Mwanadamu ameumbwa kwa mfano wa Mungu kwahiyo hii ni sawa na kusema kwamba Mwanadamu ni kopi ya Mungu.

Na kikawaida kitu kikishakua kopi inamaanisha kwamba kinakua na tofauti ndogo ndogo kutoka kwenye ile halisi lakini pia kuna maeneo ambayo kinakua imara kama vile ile halisi ilivyo.

Sasa kutokana na jambo hilo ni kwamba binadamu nao kwa jinsi walivyoumbwa yapo maeneo ambayo ni wadhaifu sana na yapo maeneo ambayo ni imara sana ndani yao na katika eneo ambalo binadamu ni imara ni eneo la wazo au maono (uwezo wa kupokea na kutengeneza wazo).

Na sababu inayofanya mwanadamu awe imara sana kwenye hili eneo ni kwasababu kiasili aliumbwa ili awe anatumika kwenye kupokea yale mawazo ya kimungu na kuyahifadhi ili yaweze kwenda katika utendaji na ndio maana kila mtu mwenye akili timamu hapa duniani huwa haishiwi kuwaza na kuna wengine hujikuta hadi wanajitengea muda wao binafsi ili waendelee kuwaza huku wakijisemea ya kwamba wanatafakari na hii yote ni kwasababu ya asili na upande huo ndio upande imara wa binadamu.

Na kinachotofautisha kati ya wazo la mtu mmoja na mwingine ni upande ambao wazo hilo limetokea, kwa maana ya kwamba wote tunajua binadamu ameumbwa akiwa na pande kuu mbili yaani upande ule wa damu na nyama na ule upande wa kiroho (nimekua nikiandika jambo hili katika maandiko yangu kadhaa ili kuwafanya wale ambao hawalijui jambo hili waweze kulijua kwa maana huu ndio uhalisia wa uumbaji na kwakujua jambo hili ni hatua nzuri itakayo kupeleka kwenye kujitafuta ili uweze kumjua wewe halisi).

Sasa wale watu ambao wanauwezo mzuri wa kujiungamanisha katika upande wao wa kiroho basi ndio watu ambao huwa wanakua na yale maono au mawazo yaliyo na zile ajenda za kimungu ndani yake, ila wale ambao huwaza kwa kutumia akili za mwili wa nyama mara nyingi huwa wanawaza ili kutimiza ile asili ya kibinadamu kwa maana mambo yote ambayo huwazwa kwa kutumia upande huo huwa ni labda yanatokana na kumbukumbu za mambo ya nyuma ambayo yalishatokea au kuunganisha unganisha matukio ya mambo mbalimbali ambayo yapo duniani tayari.

Na jambo la msingi kabisa kwenye asili ile ya uumbaji ni kwamba tangu mwanzo wa dunia kuumbwa iliumbwa katika mgawanyiko wa utendaji kazi katika maeneo mbalimbali yaani kama kuna kazi inatakiwa kufanyika basi kila mtu alitakiwa aweze kushiriki kwa kutoa mchango wake hapo, na hii utaiona pale ambapo utasoma vizuri kile kitabu cha mwanzo katika biblia utagundua ili jambo lolote liweze kukamilika kiutendaji basi linahitaji mambo makuu manne, ambayo ni:

  • Wazo la kimungu au maono
  • Maarifa
  • Usaidizi
  • Nguvu kazi au vitendea kazi.

Katika mambo hayo manne huwa ni ngumu sana kuyakuta yapo ndani ya mtu mmoja kwa uwiano ulio sawa sawa ila mtu anaweza akawa nayo katika utofauti wa usawa ila kila mtu anayo nguvu kuu kwenye upande wa kuwaza au maono.

Sasa basi, ukisoma biblia katika kitabu kile cha mwanzo utagundua kwamba Mungu aliweka jamii nyingine tatu ya viumbe vinavyofanana na binadamu pale bustanini ambavyo navyo alivipa nguvu katika upande tofauti tofauti ili kutimiza zile nguvu kuu nne ambazo zinahitajika wakati wa kutimiza jambo lolote hapa duniani.

Viumbe hao ambao Mungu aliwaumba ni mwanadamu ambae kama tulivyoona hapo juu kwamba yeye amepewa nguvu ya kupokea na kutengeneza wazo kwa lugha nyingine tunasema maono, na kiumbe wa pili ni wana wa Mungu ambao hawa walikua ni hodari wa maarifa, pia kulikua na kiumbe mwingine ambae alikua ni kopi ya Adamu ambae aliitwa Hawa na huyu yeye aliumbwa kwa lengo la kuwa msaidizi lakini pia kiumbe cha mwisho ni Wanefili ambao hawa wao walikua wanatumika kwenye utendaji kazi, kwamba kazi zote zilizohitaji nguvu wao ndio walikua wanazifanya.

Ila dhambi ya uhasi ilivyotokea ikamfanya Mungu aughairishe huu mradi na kuyaacha mambo yote hayo manne yabaki ndani ya binadamu na baada ya hapo aliweza kumwambia ukweli wa namna ambavyo ataishi kwa tabu na mateso kwa maana alijua si rahisi kwa mwanadamu kuweza kuwa na ukamilifu katika maeneo hayo yote manne.

Na utakubaliana na mimi ya kwamba ukitaka uone ugumu wa maisha ya hapa duniani basi ujipe kazi ambayo inahitaji matumizi ya nguvu zote hizo nne, kwanza utakua ni mtu ambae unakimbizana sana na muda na utakua unatumia akili nyingi kwenye kuwaza na kuingiza maarifa kwenye hayo mawazo ili uweze kuyatafasiri yaje katika uhalisia wa dunia pia utahitaji utumie nguvu pale ambapo inahitajika ili uweze kutimiza au kumalizia kazi, sasa haya yote huwa hayawi rahisi kwenye kuyatekeleza na itakuchukua muda mrefu sana hadi kazi iweze kumaalizika kwa maana hata asili nayo itakurudisha nyuma kwakua mwanadamu hawezi kuudumu kwenye maeneo yote hayo manne kwa ufasaha na badala yake uvivu lazima utakuwepo kwenye baadhi ya maeneo.

Sasa Mungu aliufuta huu mradi kwa kuwaondoa hao viumbe wawili na kumuacha mwanadamu akiwa na nguvu ya kuwaza pamoja na nguvu ya usaidizi ila ile nguvu ya maarifa pamoja na nguvu ya utendaji au ufanyaji wa kazi ikawa imeondolewa.

Na nguvu hizi mbili zilizobaki ziko katika mgawanyiko kwa maana katika mtu mwanamke ipo nguvu kubwa ya usaidizi huku nguvu ya kuwaza ikawa kwa uchache na katika mwanaume ipo nguvu kubwa ya kuwaza huku nguvu ya usaidizi ikawa iko kwa uchache na ili nguvu hizi mbili ziweze kuwako kwa mtu basi ni lazima muunganiko kati ya mwanamume na mwanamke utokee na waweze kufanya kazi kwa kushirikiana.

Lakini hapa kwenye nguvu ya usaidizi bado kuna changamoto kwa maana Adamu mwanamume aliweza kuwa na vizazi na wanawake wawili tofauti na wanawake hawa wote waliumbwa wakiwa na sifa tofauti (tutakwenda kuangalia kwa kutumia maandiko hapo mbele kidogo).

Mwanamke wa kwanza ni yule ambae aliumbwa pamoja na Adamu mwanamume ile siku ambayo Mungu alimfanya mtu kwa mfano wake na huyu mwanamke alikua na kazi moja tu pale bustanini ambayo ni kuzaa wana wa Mungu lakini pia kuzaa wana wa Adamu ambao hawa ni wale wote ambao watakua na mfanano sawa na Adamu na kwa maana hiyo basi hawa nao wanakua na sifa kuu ya maono na kupokea mawazo ya kimungu ndani yao kuliko sifa zingine.

Pia baada ya muda tunaona ilitokea kopi ya mwanamke aitwaye Hawa ambaye yeye kazi yake kubwa ilikua ni kuzaa wasaidizi kwa maana hiyo watoto wote ambao Adamu mwanamume alikua anazaa na Hawa walikua na sifa kuu ya usaidizi kuliko sifa nyingine katika zile sifa kuu nne za ulimwengu.

Sasa basi kizazi cha Adamu yaani yule mwanamume na mwanamke ambao waliumbwa ile siku ya kwanza kilipo ingiliana na kizazi cha Adamu mwanamume na Hawa kuna jamii ya watoto ambao walizaliwa wakiwa na sifa ambazo haziko katika usawa kwa maana huyu anaweza kuzaliwa akiwa na nguvu kubwa ya usaidizi na nguvu kidogo sana ya kuwaza na huyu anaweza kuzaliwa akiwa na nguvu kubwa ya kuwaza huku akiwa na nguvu ndogo ya usaidizi lakini pia wapo wengine ambao walizaliwa wakiwa na nguvu zote mbili katika uwiano sawa.

Na baada ya Mungu kufuta vizazi vitatu basi kizazi hiki kilicho katika mchanganyo wa nguvu ndicho ambacho kilibaki kuiendeleza dunia hata leo na ndio maana ni ngumu sana kumpata mtu mwenye sifa ya usaidizi iliyoizidi ile sifa ya kuwaza au aliye na sifa ya kuwaza kwa asilimia kubwa kuzidi ile sifa ya usaidizi ila badala yake walio wengi huwa wanakua na sifa hizi katika mtindo wa usawa kwa maana ya kwamba watu wengi wanakua na sifa ya usaidizi kidogo na sifa ya kuwaza kidogo lakini zote zikiwa katika uzani unaolingana kwa maana ya hamsini kwa hamsini.

Kutokana na hii kinachotokea hapo ni kwamba watu wengi wanakua hawako na utulivu wa kisifa hasa pale unapowahitaji au unapowachagua waweze kukaa kwenye majukumu yanayohitaji mtu wa sifa fulani na hii ni kwa jinsia zote yaani ya kike na ile ya kiume.

Kwa mfano sasa hivi tunaona ya kwamba vijana wa kiume wanakua wasemaji katika mawazo ya vijana wengine ambayo tayari yameshafanyiwa kazi na kupata mafanikio na vijana hawa wasemaji wanaitwa chawa. Sasa hii sifa ya uchawa ni sifa ya wasaidizi, na hapo mbele kidogo tutakwenda kuona sifa kadha wa kadha za watu wenye sifa ya usaidizi kwa wingi kuliko sifa zingine.

Na watu wengi wamezoea kwamba labda sifa hii ya usaidizi ni lazima ikae kwa wanawake tu pekee ila kiuhalisia sifa hizi huwa hazichagui jinsia kwa maana ya kwamba inaweza kuwa kwa mwanamume au mwanamke kutegemeana na ule mbahatisho wa sifa unaotokea wakati wa kuzaliwa lakini hii sifa mara nyingi huwa inawaangukia watoto wakike zaidi ya watoto wakiume na hii ni Kutokana na asili ya uumbaji iliyofanyika tangu hapo mwanzo.

KUNA HIKI KITABU KIMEJIBU MASWALI YAKO... WACHA NITULIE NIANZE KUWEKA KIPANDE KIMOJA KIMOJA.
 
Ngoja walokole waje mkuu
20240903_165305.jpg
 
Kiimani ni kwamba Mwanadamu ameumbwa kwa mfano wa Mungu kwahiyo hii ni sawa na kusema kwamba Mwanadamu ni kopi ya Mungu.

Na kikawaida kitu kikishakua kopi inamaanisha kwamba kinakua na tofauti ndogo ndogo kutoka kwenye ile halisi lakini pia kuna maeneo ambayo kinakua imara kama vile ile halisi ilivyo.

Sasa kutokana na jambo hilo ni kwamba binadamu nao kwa jinsi walivyoumbwa yapo maeneo ambayo ni wadhaifu sana na yapo maeneo ambayo ni imara sana ndani yao na katika eneo ambalo binadamu ni imara ni eneo la wazo au maono (uwezo wa kupokea na kutengeneza wazo).

Na sababu inayofanya mwanadamu awe imara sana kwenye hili eneo ni kwasababu kiasili aliumbwa ili awe anatumika kwenye kupokea yale mawazo ya kimungu na kuyahifadhi ili yaweze kwenda katika utendaji na ndio maana kila mtu mwenye akili timamu hapa duniani huwa haishiwi kuwaza na kuna wengine hujikuta hadi wanajitengea muda wao binafsi ili waendelee kuwaza huku wakijisemea ya kwamba wanatafakari na hii yote ni kwasababu ya asili na upande huo ndio upande imara wa binadamu.

Na kinachotofautisha kati ya wazo la mtu mmoja na mwingine ni upande ambao wazo hilo limetokea, kwa maana ya kwamba wote tunajua binadamu ameumbwa akiwa na pande kuu mbili yaani upande ule wa damu na nyama na ule upande wa kiroho (nimekua nikiandika jambo hili katika maandiko yangu kadhaa ili kuwafanya wale ambao hawalijui jambo hili waweze kulijua kwa maana huu ndio uhalisia wa uumbaji na kwakujua jambo hili ni hatua nzuri itakayo kupeleka kwenye kujitafuta ili uweze kumjua wewe halisi).

Sasa wale watu ambao wanauwezo mzuri wa kujiungamanisha katika upande wao wa kiroho basi ndio watu ambao huwa wanakua na yale maono au mawazo yaliyo na zile ajenda za kimungu ndani yake, ila wale ambao huwaza kwa kutumia akili za mwili wa nyama mara nyingi huwa wanawaza ili kutimiza ile asili ya kibinadamu kwa maana mambo yote ambayo huwazwa kwa kutumia upande huo huwa ni labda yanatokana na kumbukumbu za mambo ya nyuma ambayo yalishatokea au kuunganisha unganisha matukio ya mambo mbalimbali ambayo yapo duniani tayari.

Na jambo la msingi kabisa kwenye asili ile ya uumbaji ni kwamba tangu mwanzo wa dunia kuumbwa iliumbwa katika mgawanyiko wa utendaji kazi katika maeneo mbalimbali yaani kama kuna kazi inatakiwa kufanyika basi kila mtu alitakiwa aweze kushiriki kwa kutoa mchango wake hapo, na hii utaiona pale ambapo utasoma vizuri kile kitabu cha mwanzo katika biblia utagundua ili jambo lolote liweze kukamilika kiutendaji basi linahitaji mambo makuu manne, ambayo ni:

  • Wazo la kimungu au maono
  • Maarifa
  • Usaidizi
  • Nguvu kazi au vitendea kazi.

Katika mambo hayo manne huwa ni ngumu sana kuyakuta yapo ndani ya mtu mmoja kwa uwiano ulio sawa sawa ila mtu anaweza akawa nayo katika utofauti wa usawa ila kila mtu anayo nguvu kuu kwenye upande wa kuwaza au maono.

Sasa basi, ukisoma biblia katika kitabu kile cha mwanzo utagundua kwamba Mungu aliweka jamii nyingine tatu ya viumbe vinavyofanana na binadamu pale bustanini ambavyo navyo alivipa nguvu katika upande tofauti tofauti ili kutimiza zile nguvu kuu nne ambazo zinahitajika wakati wa kutimiza jambo lolote hapa duniani.

Viumbe hao ambao Mungu aliwaumba ni mwanadamu ambae kama tulivyoona hapo juu kwamba yeye amepewa nguvu ya kupokea na kutengeneza wazo kwa lugha nyingine tunasema maono, na kiumbe wa pili ni wana wa Mungu ambao hawa walikua ni hodari wa maarifa, pia kulikua na kiumbe mwingine ambae alikua ni kopi ya Adamu ambae aliitwa Hawa na huyu yeye aliumbwa kwa lengo la kuwa msaidizi lakini pia kiumbe cha mwisho ni Wanefili ambao hawa wao walikua wanatumika kwenye utendaji kazi, kwamba kazi zote zilizohitaji nguvu wao ndio walikua wanazifanya.

Ila dhambi ya uhasi ilivyotokea ikamfanya Mungu aughairishe huu mradi na kuyaacha mambo yote hayo manne yabaki ndani ya binadamu na baada ya hapo aliweza kumwambia ukweli wa namna ambavyo ataishi kwa tabu na mateso kwa maana alijua si rahisi kwa mwanadamu kuweza kuwa na ukamilifu katika maeneo hayo yote manne.

Na utakubaliana na mimi ya kwamba ukitaka uone ugumu wa maisha ya hapa duniani basi ujipe kazi ambayo inahitaji matumizi ya nguvu zote hizo nne, kwanza utakua ni mtu ambae unakimbizana sana na muda na utakua unatumia akili nyingi kwenye kuwaza na kuingiza maarifa kwenye hayo mawazo ili uweze kuyatafasiri yaje katika uhalisia wa dunia pia utahitaji utumie nguvu pale ambapo inahitajika ili uweze kutimiza au kumalizia kazi, sasa haya yote huwa hayawi rahisi kwenye kuyatekeleza na itakuchukua muda mrefu sana hadi kazi iweze kumaalizika kwa maana hata asili nayo itakurudisha nyuma kwakua mwanadamu hawezi kuudumu kwenye maeneo yote hayo manne kwa ufasaha na badala yake uvivu lazima utakuwepo kwenye baadhi ya maeneo.

Sasa Mungu aliufuta huu mradi kwa kuwaondoa hao viumbe wawili na kumuacha mwanadamu akiwa na nguvu ya kuwaza pamoja na nguvu ya usaidizi ila ile nguvu ya maarifa pamoja na nguvu ya utendaji au ufanyaji wa kazi ikawa imeondolewa.

Na nguvu hizi mbili zilizobaki ziko katika mgawanyiko kwa maana katika mtu mwanamke ipo nguvu kubwa ya usaidizi huku nguvu ya kuwaza ikawa kwa uchache na katika mwanaume ipo nguvu kubwa ya kuwaza huku nguvu ya usaidizi ikawa iko kwa uchache na ili nguvu hizi mbili ziweze kuwako kwa mtu basi ni lazima muunganiko kati ya mwanamume na mwanamke utokee na waweze kufanya kazi kwa kushirikiana.

Lakini hapa kwenye nguvu ya usaidizi bado kuna changamoto kwa maana Adamu mwanamume aliweza kuwa na vizazi na wanawake wawili tofauti na wanawake hawa wote waliumbwa wakiwa na sifa tofauti (tutakwenda kuangalia kwa kutumia maandiko hapo mbele kidogo).

Mwanamke wa kwanza ni yule ambae aliumbwa pamoja na Adamu mwanamume ile siku ambayo Mungu alimfanya mtu kwa mfano wake na huyu mwanamke alikua na kazi moja tu pale bustanini ambayo ni kuzaa wana wa Mungu lakini pia kuzaa wana wa Adamu ambao hawa ni wale wote ambao watakua na mfanano sawa na Adamu na kwa maana hiyo basi hawa nao wanakua na sifa kuu ya maono na kupokea mawazo ya kimungu ndani yao kuliko sifa zingine.

Pia baada ya muda tunaona ilitokea kopi ya mwanamke aitwaye Hawa ambaye yeye kazi yake kubwa ilikua ni kuzaa wasaidizi kwa maana hiyo watoto wote ambao Adamu mwanamume alikua anazaa na Hawa walikua na sifa kuu ya usaidizi kuliko sifa nyingine katika zile sifa kuu nne za ulimwengu.

Sasa basi kizazi cha Adamu yaani yule mwanamume na mwanamke ambao waliumbwa ile siku ya kwanza kilipo ingiliana na kizazi cha Adamu mwanamume na Hawa kuna jamii ya watoto ambao walizaliwa wakiwa na sifa ambazo haziko katika usawa kwa maana huyu anaweza kuzaliwa akiwa na nguvu kubwa ya usaidizi na nguvu kidogo sana ya kuwaza na huyu anaweza kuzaliwa akiwa na nguvu kubwa ya kuwaza huku akiwa na nguvu ndogo ya usaidizi lakini pia wapo wengine ambao walizaliwa wakiwa na nguvu zote mbili katika uwiano sawa.

Na baada ya Mungu kufuta vizazi vitatu basi kizazi hiki kilicho katika mchanganyo wa nguvu ndicho ambacho kilibaki kuiendeleza dunia hata leo na ndio maana ni ngumu sana kumpata mtu mwenye sifa ya usaidizi iliyoizidi ile sifa ya kuwaza au aliye na sifa ya kuwaza kwa asilimia kubwa kuzidi ile sifa ya usaidizi ila badala yake walio wengi huwa wanakua na sifa hizi katika mtindo wa usawa kwa maana ya kwamba watu wengi wanakua na sifa ya usaidizi kidogo na sifa ya kuwaza kidogo lakini zote zikiwa katika uzani unaolingana kwa maana ya hamsini kwa hamsini.

Kutokana na hii kinachotokea hapo ni kwamba watu wengi wanakua hawako na utulivu wa kisifa hasa pale unapowahitaji au unapowachagua waweze kukaa kwenye majukumu yanayohitaji mtu wa sifa fulani na hii ni kwa jinsia zote yaani ya kike na ile ya kiume.

Kwa mfano sasa hivi tunaona ya kwamba vijana wa kiume wanakua wasemaji katika mawazo ya vijana wengine ambayo tayari yameshafanyiwa kazi na kupata mafanikio na vijana hawa wasemaji wanaitwa chawa. Sasa hii sifa ya uchawa ni sifa ya wasaidizi, na hapo mbele kidogo tutakwenda kuona sifa kadha wa kadha za watu wenye sifa ya usaidizi kwa wingi kuliko sifa zingine.

Na watu wengi wamezoea kwamba labda sifa hii ya usaidizi ni lazima ikae kwa wanawake tu pekee ila kiuhalisia sifa hizi huwa hazichagui jinsia kwa maana ya kwamba inaweza kuwa kwa mwanamume au mwanamke kutegemeana na ule mbahatisho wa sifa unaotokea wakati wa kuzaliwa lakini hii sifa mara nyingi huwa inawaangukia watoto wakike zaidi ya watoto wakiume na hii ni Kutokana na asili ya uumbaji iliyofanyika tangu hapo mwanzo.

KUNA HIKI KITABU KIMEJIBU MASWALI YAKO... WACHA NITULIE NIANZE KUWEKA KIPANDE KIMOJA KIMOJA.
Tumia akili hapo mungu kafumba tu lugha ...sababu ya mwanamke kuitwa msaidizi ni kwamba mungu akumpa mwanamke AKILI YA UONGOZI hivyo mwanamke kanyimwa akili katika kipengere cha uongozi
 
Back
Top Bottom