Hoja: Ushabiki wa mpira wa miguu una asili ya ushetani

Haya mambo yako peleka Church, huku tuachie mambo yetu. Kila jambo na sehemu yake. ELIMIKA
biblia ilitabiri kua kizazi hiki hakita taka kuambiiwa ukweli .hapa naona nalithibitisha hilo.mtoa mada kasema ukweli kabisa .kwa kusema kwako naona unayakataa maarifa
 
manabii wauongo hamuishi tu,hata komputa na simu unayotumia ni dhambi kwani inatumikaka kuangalia ngono hakuna ambacho si dhambi inategemea na wewe unakichukuliaje, kama ilivyo kusex ni dhambi ila ukioa ruksa,
Nabii Wa uongo ni wewe ambaye huna ufahamu ktk hili na unayetetea kisa Ushabiki,
BIBILIA IMETOA UFAFANUZI KUHUSU TEKNOLOJIA
kuhusu ujio wa tekinolojia, bibilia imeeleza kwa ufupi sana na kumaanisha makubwa kama ifuatavyo; simu,redio, tv, magari ndege tulizonazo leo hayakuwepo nyakati zao za nyuma.lakin neno moja tu linatolewa kuwa MAARIFA YATAONGEZEKA [DAN 12:4].
 
nyie wasabato acheni kupotosha watu na mafundisho yenu hayo maarifa kuongezeka ni pamoja na mpira wa miguu
 
nyie wasabato acheni kupotosha watu na mafundisho yenu hayo maarifa kuongezeka ni pamoja na mpira wa miguu
Soma maandiko mpendwa ili uwe na ufahamu maana bibilia haikuishia hapo; inaendelea Kitabu cha DAN 12:10
 
Soma maandiko mpendwa ili uwe na ufahamu maana bibilia haikuishia hapo; inaendelea Kitabu cha DAN 12:10View attachment 361839

1 John 4:1 - Beloved, believe not every spirit, but try the spirits whether they are of God: because many false prophets are gone out into the world.

2 Peter 2:1 - But there were false prophets also among the people, even as there shall be false teachers among you, who privily shall bring in damnable heresies, even denying the Lord that bought them, and bring upon themselves swift destruction.
 
unasali wapi nikufuate? mleta uzi kichwani kumejaa mihemko kama ya serikali ya Tasmania
 
Pole sana Kwa kujifariji na andiko hilo ilimradi tu uhalalishe huo ufree mason
 
biblia ilitabiri kua kizazi hiki hakita taka kuambiiwa ukweli .hapa naona nalithibitisha hilo.mtoa mada kasema ukweli kabisa .kwa kusema kwako naona unayakataa maarifa
ELIMIKA
 
Yaani wewe unaweza kumtetea Mungu?

Well, kwa ninavyomjua Mungu, mimi siwezi kuwa mtetezi wake...yeye ndie mtetezi wangu. Muumba wa mbingu na nchi na kila ukionacho ndani yake. Sasa kama itafikia nimtetee, basi sidhani uMungu wake uko sawa tena.

Umetumia muda mwingi sana kueleza utumbo na mambo irrelevant. Kama hatuchezi mpira kwa kuwa Yesu hakucheza mpira, basi nifafanulie wapi ulimuona Yesu akilima, akifyatua matofali, akitoa photocopy, akipiga selfie na kadhalika.

Hizi mada zingine zilifaa kuwa chit-chat
 
biblia ilitabiri kua kizazi hiki hakita taka kuambiiwa ukweli .hapa naona nalithibitisha hilo.mtoa mada kasema ukweli kabisa .kwa kusema kwako naona unayakataa maarifa
Yaani hizi pumba ndio ukweli? Wewe wa wapi?
 
Watu wengi hawatakuelewa, lkn mimi binafsi huwa naona mpira ni pumbazo la shetani kwa wanaadamu. Mtu yupo tayari alie, ajinyonge, asisali, asitoe sadaka ila aangalie mpira. Kitu kinachoteka akili ya mwanadamu kabisa na kumsahaulisha na Mwenyezi MUNGU mara nyingi kina ubatili. Ukweli ni kuwa wengi hawatakuelewa kwakuwa wengi ni mashabiki wa mpira. Ni wachache sana wapo tayari kuamka usiku kwa ajili ya kusali lakini ni wengi mno watakesha usiku wa manane kuangalia mpira na kamwe hawapo tayari kusali. Watu wanalipia vifurushi vya bei kubwa kuangalia mpira kila mwezi, jirani yake analala na njaa mara kwa mara!! Ni ajabu kuwa shabiki wa mpira ni kama unatekwa akili. Namshukuru Mwenyezi MUNGU kaniokoa na mpira na muziki hakika humo shetani anafanya kazi kubwa mno ya kupotosha watu.
 
Mungu aliifanya hekima ya dunia hii kuwa ni ubatili mtupu nikisema nielimike kwa jinsi unavomaanisha wewe itakua ni kama kujilisha upepo ... kumcha bwana ni chanzo cha maarifa bali wapumbavu hudharau hekima na adabu
 
kwa maana hiyo vitu vingi vinavyofanyika duniani kwa sasa ni ushetani mfano,muziki ,movies,technlogy na hivyo basi kila mtu anamshabikia shetani.Nani anaikwepa technology? leo hii unainjoy na smart yako ,computa,huduma za mawasiliano nazo,au unasemajejuu ya hilo
 

Shetani ni nan?? Anaishi WAP?? Nan alimtengeneza shetan?? Na kwann alimtengeza amuache shetani asumbue watu kwann asimuangamize???
 
Bas ht simu ni u shetani Je mda unatumia kutumia simu unazidi mda wa ibada?
 
biblia ilitabiri kua kizazi hiki hakita taka kuambiiwa ukweli .hapa naona nalithibitisha hilo.mtoa mada kasema ukweli kabisa .kwa kusema kwako naona unayakataa maarifa

Wapi yesu katumia simu, kopyuta, wap yesu katumia jf
 

WAP yesu kasema uchat jf?
 
Kutokana bado kuna watu wana maswali mengi; kwa faida ya wote na kwa kifupi; nimeweka UPDATES kwenye uzi chini fanyeni kupitia, ili muweze kujuwa kwamba Mpira siyo kusudi la Mungu.

Bac Hata ww mwenyew co kusudio la mungu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…