Hoja ya kuongezewa muda wa Rais kubakia madarakani itaendelea kwa Rais Samia Suluhu Hassan?

Waliopendekeza tano tena kwa Magu did'nt see SSH coming -Iam Samia Suluhu Hassan rais halali wa Tanzania🙂. Happy combination of things ,President SSH anakula 4,5, tena 5. Wazanzibari oyee tumeshika usukani hadi 2035, it our turn to eat-nani kama mama?🙂🙂🙂🙂🙂🙂
 
Ali Kessi , Juma Nkamia na Deo Sanga Mungu kawaumbua kweli Hawa walamba makalio ya marehemu Jiwe .
 
Mama samia akienda vizuri hata miaka 20 sawa tu, kama ilivyo kwa Gadafi kuongoza miaka mingi mpaka mabeberu waliona wivu na kumfanyia hiyana.
Bado hujajifunza kitu kwa kilichotokea,maana yake ni kwamba kama ingekuwa mchakato wa kumuongezea muda Rais ungekuwa umefanikiwa sahizi anaeingia madarakani angeongoza labda term moja miaka 7 au 10,je hiyo miaka 7 au 10 ingeangukia kwa mtu haumpendi au ndio mbovu kupindukia tungefanyaje!?
 
Kwahiyo ingekuwa amashaongezewa muda yakatokea haya yaliyotokea tungefanyaje na anaekuja hatujui utendaji wake?
 
Kwahiyo ingekuwa amashaongezewa muda yakatokea haya yaliyotokea tungefanyaje na anaekuja hatujui utendaji wake?
Kama hoja ilikuwa kumuongezea muda JPM, maneno yangetaja kabisa tunamuongezea JPM muda kwa ajili ya utendaji wake. Siyo tunamuongezea Rais muda, kitu ambacho kingemhusu kila Rais ajaye. Ilitokea Namibia Sam Nujoma aliongezewa muda wa miaka mitano kama Sam Nujoma. Akatawala kwa miaka 15. Aliyefuata alikuwa Pohamba ambaye aliishia miaka 10 tu ya kikatiba. Vivyo hivyo ingekuwa kwa JPM.
 
Praise and worship team ya hayati. Wanawaza na kuwazua nani Sasa wa kumwabudu? Nami nasema wa kumwabudu ni Mungu tu aliyetupa uzima huu. Mkome kumwabudu binadamu
 
Umenichekesha.
Nimecheka kwa sauti alafu Niko peke yangu.
Sasa hii ndio tofauti baina ya Ziwa na Bahari .Kumbe misifa ndio kazi yenu baadae unawaona watu wote wajinga kumbe umelewa misifa hatutaki misifa tunataka vitendo lkn naamini Mama Samia atawaonyesha kwa vitendo na sio misifaa.
 
Bora tu iongelewe mapema, Africa imekuwa na huu upumbavu wa kucheza na katiba kadri watawala wanavyotaka kama toilet paper
Mkuu, sikatai unalosema, lakini pia, kuna hatari ya kuwa paranoid kuhusu kuibiwa shamba utakalorithi mwaka 2025, wakati shamba lako la leo ulilonalo linaibiwa sana tu.

Sasa hapo ukijikita kulinda shamba utakalorithi mwaka 2025 wakati shamba lako la leo unaibiwa tayari, ni lazima nikuone mjinga tu.
 
Ukishabadilisha katiba useme tumetaka huyu tu ndio tunamuongezea muda,halafu aingie mwingine hamkupenda apate fursa kama ile mliyompa mtangulizi wake ni process ngumu maana ni mpaka yeye mwenyewe awe muungwana,yani hiyo itategemea yeye anatakaje?maana mwanzo mlikuwa na nguvu hata ya kumlazimisha mliemtaka lakini sasa itategemea aliepo anatakaje?akiwa anataka kung'ang'ania anapanga tu safu yake itakayompeleka alipopadhamiria.
 
Wanaona aibu kubwa sn
 
Sasa hivi watakuwa wanajilaumu hata kuzuia Membe kumchallenge Bwana Mkubwa kwa kudai wana kautaratibu kao. Sasa ngoja tuone hako kautaratibu kao ya kwamba Mwenyekiti hawi challenged kama kataendelea 2025.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…