Kweli long time, mpaka THE BIG SHOW kafufuka tujue kuna jambo kubwa kama jina lake linavyosadifu. Welcom come back THE BIG SHOW.Duh......long time!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli long time, mpaka THE BIG SHOW kafufuka tujue kuna jambo kubwa kama jina lake linavyosadifu. Welcom come back THE BIG SHOW.Duh......long time!
Samia now atake asitake ataongezewa mda..
Au nasema uongo ndugu zangu??
Tumerudi kwa kishindo bwashee. Jiandae kwa mapigoDuh......long time!
Ni chawa mzoefu huyo sema yeye anauma na kupulizaHahahah! Lakini mkuu na wewe ulishaanza kumsifia mkulu!
Wale waislamu wa siasa kali waliojificha kipindi cha Magu wameanza kurudi.Mimi mwenyewe nimeshangaa sana,nilifikiri labda kale kaugonjwa ketu cha changamoto za kupumua kalimpitia.
Nasisitiza, atake asitake lazima tumuongezee muda hata kwa kulazimisha.
Jamani MUNGU fundi nyie [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wangeweza kufikilia hilo wasingejaribu kumuongezea hata mwaka. Tatizo walimchukulia kamungu mtu ambacho akiwezi kufa.What if kama umepeleka HOJA Kama hiyo na katiba ikabadilishwa,then all of the sudden RAIS huyo anafariki dunia Kama ilivyotokea hivi sasa,then akapatikana RAIS mwingine ambae ni mbovu na muovu,je tutarud Tena kubadilisha katiba na kupunguza muda wa RAIS KUBAKIA MADARAKANI??
Anataka ajitoe Kama yeye hakushiriki vileHilo swala waulize Mataga wenzio mliokuwa mnashangilia kila ujinga alioongea na kutenda Jiwe.
Kakimbia mazimaAnataka ajitoe Kama yeye hakushiriki vile
kwani Samia ameshatimiza vipindi viwili vya miaka mitano mara ile?Awali ya yote tupeane pole kwa msiba mkubwa wa kuondokewa na Mh Rais John Pombe Magufuli,hakika hayakuwa haya maisha ya dunian ila ni kitu chenye kupita tu.
Hapa karibuni kulikuwa na hoja ya kumuongezea muda wa kubakia madarakani Mh Rais John Pombe Magufuli na wengine wakaenda mbali na kusema kwamba akikataa tumlazimishe, pasipo na kujua kwamba ahadi ya uhai na maisha siri hii ipo kwa Mwenyezi Mungu. Leo hayupo Tena kwenye mgongo wa ardhi, hayupo tena. He is very dead and very gone!
Je, wale wahafidhina wa mitano Tena na kuongezwa kwa muda wa kukaa RAIS MADARAKANI, wataendelea na HOJA hii kwa MH RAIS Mama SAMIA SULUHU au walii-personalise kwa Hayati Mh RAIS Magufuli?
Aongezewe au Asiongezewe.
Sisi wa kanda ya ziwa its nature!! Ndiyo maana mzee wa mji (boma) akifika nyumbani toka matembezini kwa mfano watu wote kwenye boma lazima wasimamishe kazi zao zote wakamsalimie mzee kwa kupiga magoti kila mmoja kwa wakati wake...kuanzia Mkewe hadi watoto wote!! Watoto wakiume tu ndiyo hawapigi magoti.Moja ya maradhi ya kudumu ya watu wa Kanda ya Ziwa ni kupenda kusifiwa kupitiliza …
Sie huku Pwani ukinizidishia Sifa naanza kuwa na tahadhari nawe!
Chawa wa awamu ya sita ndani ya tano wawe makini …Mf Lemutuz kaanza kumsifia Mama eti Kanyaga Twende…tumechelewa sana…yaan mara Hii Magu alikuwa anatuchelewesha!?…
Machawa mataahira hayana fursa awamu hii bila shaka
'Allah fundi sheikh!Nasisitiza, atake asitake lazima tumuongezee muda hata kwa kulazimisha.
Jamani MUNGU fundi nyie [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kweriii! Sisi ni matajiri tutembee kifua mbele mabeberu wameshindwa!Samia now atake asitake ataongezewa mda..
Au nasema uongo ndugu zangu??
Wale waislamu wa siasa kali waliojificha kipindi cha Magu wameanza kurudi.
Alibaki Pohamba peke yake.
Bigshow,Faiza,Ritz,Rejao..watarudi tena kwa kasi kubwa zaidi
HahahaaaKakimbia mazima
"Innahum Yakiiduuna Kayda' Wa Akidu-Kayda"
Inawezekana walikuwa wakitoa maoni hayo kutokana na utendaji Wa marehemu so Mh. Samia nae akifanya vema sana huenda kukawa na maoni kama hayo!Awali ya yote tupeane pole kwa msiba mkubwa wa kuondokewa na Mh Rais John Pombe Magufuli,hakika hayakuwa haya maisha ya dunian ila ni kitu chenye kupita tu.
Hapa karibuni kulikuwa na hoja ya kumuongezea muda wa kubakia madarakani Mh Rais John Pombe Magufuli na wengine wakaenda mbali na kusema kwamba akikataa tumlazimishe, pasipo na kujua kwamba ahadi ya uhai na maisha siri hii ipo kwa Mwenyezi Mungu. Leo hayupo Tena kwenye mgongo wa ardhi, hayupo tena. He is very dead and very gone!
Je, wale wahafidhina wa mitano Tena na kuongezwa kwa muda wa kukaa RAIS MADARAKANI, wataendelea na HOJA hii kwa MH RAIS Mama SAMIA SULUHU au walii-personalise kwa Hayati Mh RAIS Magufuli?
Aongezewe au Asiongezewe.