Hoja ya kuongezewa muda wa Rais kubakia madarakani itaendelea kwa Rais Samia Suluhu Hassan?

Hoja ya kuongezewa muda wa Rais kubakia madarakani itaendelea kwa Rais Samia Suluhu Hassan?

Awali ya yote tupeane pole kwa msiba mkubwa wa kuondokewa na Mh Rais John Pombe Magufuli,hakika hayakuwa haya maisha ya dunian ila ni kitu chenye kupita tu.

Hapa karibuni kulikuwa na hoja ya kumuongezea muda wa kubakia madarakani Mh Rais John Pombe Magufuli na wengine wakaenda mbali na kusema kwamba akikataa tumlazimishe, pasipo na kujua kwamba ahadi ya uhai na maisha siri hii ipo kwa Mwenyezi Mungu. Leo hayupo Tena kwenye mgongo wa ardhi, hayupo tena. He is very dead and very gone!

Je, wale wahafidhina wa mitano Tena na kuongezwa kwa muda wa kukaa RAIS MADARAKANI, wataendelea na HOJA hii kwa MH RAIS Mama SAMIA SULUHU au walii-personalise kwa Hayati Mh RAIS Magufuli?

Aongezewe au Asiongezewe.
Akiwagurahisha WAGANGA NJAA SANA TU
 
Wale waislamu wa siasa kali waliojificha kipindi cha Magu wameanza kurudi.
Alibaki Pohamba peke yake.
Bigshow,Faiza,Ritz,Rejao..watarudi tena kwa kasi kubwa zaidi

Duuh,waislam wenye siasa kali wanakuaje kuaje Mkuu,

We are just muslims.
 
Awali ya yote tupeane pole kwa msiba mkubwa wa kuondokewa na Mh Rais John Pombe Magufuli,hakika hayakuwa haya maisha ya dunian ila ni kitu chenye kupita tu.

Hapa karibuni kulikuwa na hoja ya kumuongezea muda wa kubakia madarakani Mh Rais John Pombe Magufuli na wengine wakaenda mbali na kusema kwamba akikataa tumlazimishe, pasipo na kujua kwamba ahadi ya uhai na maisha siri hii ipo kwa Mwenyezi Mungu. Leo hayupo Tena kwenye mgongo wa ardhi, hayupo tena. He is very dead and very gone!

Je, wale wahafidhina wa mitano Tena na kuongezwa kwa muda wa kukaa RAIS MADARAKANI, wataendelea na HOJA hii kwa MH RAIS Mama SAMIA SULUHU au walii-personalise kwa Hayati Mh RAIS Magufuli?

Aongezewe au Asiongezewe.
Long time brother.

Asalam Alaykm
 
Yah kabisa, nilitofautiana na mitazamo mingi ya marehem lakini sikupenda afe, nilitamani kuona akibadilika lakini ndiyo hivyo tena..

Mimi nahisi angekuwa worse tu. Ile kubadili katiba nahisi ingefuata.. watu wangeufyata kabisaa kumuacha afanye anavyopenda. Watanzania tulishakuwa waoga mno kwake masikini!
 
Awali ya yote tupeane pole kwa msiba mkubwa wa kuondokewa na Mh Rais John Pombe Magufuli,hakika hayakuwa haya maisha ya dunian ila ni kitu chenye kupita tu.

Hapa karibuni kulikuwa na hoja ya kumuongezea muda wa kubakia madarakani Mh Rais John Pombe Magufuli na wengine wakaenda mbali na kusema kwamba akikataa tumlazimishe, pasipo na kujua kwamba ahadi ya uhai na maisha siri hii ipo kwa Mwenyezi Mungu. Leo hayupo Tena kwenye mgongo wa ardhi, hayupo tena. He is very dead and very gone!

Je, wale wahafidhina wa mitano Tena na kuongezwa kwa muda wa kukaa RAIS MADARAKANI, wataendelea na HOJA hii kwa MH RAIS Mama SAMIA SULUHU au walii-personalise kwa Hayati Mh RAIS Magufuli?

Aongezewe au Asiongezewe.
Hivi na wale waliojenga nyumba Chato ambako siyo kwao wala si ofisini kwao , walijenga tu kwa vile aliye madarakani ndio kwao na kwa vile kulikuwa na mpango wa mitano tena , je sasa wataenda kujenga nyumba zingine mwanakwerekwe ?
 
Hivi na wale waliojenga nyumba Chato ambako siyo kwao wala si ofisini kwao , walijenga tu kwa vile aliye madarakani ndio kwao na kwa vile kulikuwa na mpango wa mitano tena , je sasa wataenda kujenga nyumba zingine mwanakwerekwe ?

Walifanya calculations vibaya.,totally wrong calculations.
 
Awali ya yote tupeane pole kwa msiba mkubwa wa kuondokewa na Mh Rais John Pombe Magufuli,hakika hayakuwa haya maisha ya dunian ila ni kitu chenye kupita tu.

Hapa karibuni kulikuwa na hoja ya kumuongezea muda wa kubakia madarakani Mh Rais John Pombe Magufuli na wengine wakaenda mbali na kusema kwamba akikataa tumlazimishe, pasipo na kujua kwamba ahadi ya uhai na maisha siri hii ipo kwa Mwenyezi Mungu. Leo hayupo Tena kwenye mgongo wa ardhi, hayupo tena. He is very dead and very gone!

Je, wale wahafidhina wa mitano Tena na kuongezwa kwa muda wa kukaa RAIS MADARAKANI, wataendelea na HOJA hii kwa MH RAIS Mama SAMIA SULUHU au walii-personalise kwa Hayati Mh RAIS Magufuli?

Aongezewe au Asiongezewe.
Ukomo ni Miaka 10.Unatosha Waliouweka hawakuwa Wapumbavu
 
Mimi nahisi angekuwa worse tu. Ile kubadili katiba nahisi ingefuata.. watu wangeufyata kabisaa kumuacha afanye anavyopenda. Watanzania tulishakuwa waoga mno kwake masikini!
Kwa kweli kwali situation ilikuwa inazorota day after day, nahisi ilikuwa tunaelekea kwenye 'mkwamo wa karne'.

Bora tuanzie hapa, japo kuna kazi 'nzito' ya kufanya kurejea pale tulipokuwa, kila sekta imevurugwa ukianzia na siasa, kilimo, elimu, afya, uchumi, ulinzi, ajira, utumishi, biashara, diplomasia, uongozi nk nk dah sijui hata huyu Madam anaanzia wapi aisee.

Kwa hapa tulipofikia iawezekana urais ukawa ni mgumu kwa mtu mwenye maono ya kuiendeleza nchi kuliko kipindi chochote kile katika history ya nchi hii.
 
Awali ya yote tupeane pole kwa msiba mkubwa wa kuondokewa na Mh Rais John Pombe Magufuli,hakika hayakuwa haya maisha ya dunian ila ni kitu chenye kupita tu.

Hapa karibuni kulikuwa na hoja ya kumuongezea muda wa kubakia madarakani Mh Rais John Pombe Magufuli na wengine wakaenda mbali na kusema kwamba akikataa tumlazimishe, pasipo na kujua kwamba ahadi ya uhai na maisha siri hii ipo kwa Mwenyezi Mungu. Leo hayupo Tena kwenye mgongo wa ardhi, hayupo tena.

Je, wale wahafidhina wa mitano Tena na kuongezwa kwa muda wa kukaa RAIS MADARAKANI, wataendelea na HOJA hii kwa MH RAIS Mama SAMIA SULUHU au walii-personalise kwa Hayati Mh RAIS Magufuli?

Aongezewe au Asiongezewe.
Na nna hisi hiko ndicho kilichomuondoa mwamba wetu...hawakutaka kabisa kitokee
 
Bora tu iongelewe mapema, Africa imekuwa na huu upumbavu wa kucheza na katiba kadri watawala wanavyotaka kama toilet paper
Mkiongea sana hii hoja watakufa kabla ya kumaliza terms jamani. Iacheni hoja.
 
Back
Top Bottom