Hoja ya kuongezewa muda wa Rais kubakia madarakani itaendelea kwa Rais Samia Suluhu Hassan?

Hoja ya kuongezewa muda wa Rais kubakia madarakani itaendelea kwa Rais Samia Suluhu Hassan?

Awali ya yote tupeane pole kwa msiba mkubwa wa kuondokewa na Mh Rais John Pombe Magufuli,hakika hayakuwa haya maisha ya dunian ila ni kitu chenye kupita tu.

Hapa karibuni kulikuwa na hoja ya kumuongezea muda wa kubakia madarakani Mh Rais John Pombe Magufuli na wengine wakaenda mbali na kusema kwamba akikataa tumlazimishe, pasipo na kujua kwamba ahadi ya uhai na maisha siri hii ipo kwa Mwenyezi Mungu. Leo hayupo Tena kwenye mgongo wa ardhi, hayupo tena. He is very dead and very gone!

Je, wale wahafidhina wa mitano Tena na kuongezwa kwa muda wa kukaa RAIS MADARAKANI, wataendelea na HOJA hii kwa MH RAIS Mama SAMIA SULUHU au walii-personalise kwa Hayati Mh RAIS Magufuli?

Aongezewe au Asiongezewe.
Nini maana ya kuweka katiba ya nchi, nini kazi ya katiba?
 
Moja ya maradhi ya kudumu ya watu wa Kanda ya Ziwa ni kupenda kusifiwa kupitiliza …

Sie huku Pwani ukinizidishia Sifa naanza kuwa na tahadhari nawe!

Chawa wa awamu ya sita ndani ya tano wawe makini …Mf Lemutuz kaanza kumsifia Mama eti Kanyaga Twende…tumechelewa sana…yaan mara Hii Magu alikuwa anatuchelewesha!?…

Machawa mataahira hayana fursa awamu hii bila shaka
Hahahah! Lakini mkuu na wewe ulishaanza kumsifia mkulu!
 
Awali ya yote tupeane pole kwa msiba mkubwa wa kuondokewa na Mh Rais John Pombe Magufuli,hakika hayakuwa haya maisha ya dunian ila ni kitu chenye kupita tu.

Hapa karibuni kulikuwa na hoja ya kumuongezea muda wa kubakia madarakani Mh Rais John Pombe Magufuli na wengine wakaenda mbali na kusema kwamba akikataa tumlazimishe, pasipo na kujua kwamba ahadi ya uhai na maisha siri hii ipo kwa Mwenyezi Mungu. Leo hayupo Tena kwenye mgongo wa ardhi, hayupo tena. He is very dead and very gone!

Je, wale wahafidhina wa mitano Tena na kuongezwa kwa muda wa kukaa RAIS MADARAKANI, wataendelea na HOJA hii kwa MH RAIS Mama SAMIA SULUHU au walii-personalise kwa Hayati Mh RAIS Magufuli?

Aongezewe au Asiongezewe.


Mwanampotevu umepotoka, yani sijui ndiyo umezeeka,
 
Samia now atake asitake ataongezewa mda..
Au nasema uongo ndugu zangu??
Mama lazima tumlazimishe angalau ikipungua miaka basi akae madarakani miaka 30 ata akikimbia tuta mrudisha apo kwenye kiti! Mama ni mama jamani ana maono kama malaika!
Jamani mama ni mzalendo kuliko wazalendo wote!
Mheshimiwa Rais na mama yetu U Rais ni wako milele wale walio anzisha tuungane kwenye hili msibadilishe frequency
 
Awali ya yote tupeane pole kwa msiba mkubwa wa kuondokewa na Mh Rais John Pombe Magufuli,hakika hayakuwa haya maisha ya dunian ila ni kitu chenye kupita tu.

Hapa karibuni kulikuwa na hoja ya kumuongezea muda wa kubakia madarakani Mh Rais John Pombe Magufuli na wengine wakaenda mbali na kusema kwamba akikataa tumlazimishe, pasipo na kujua kwamba ahadi ya uhai na maisha siri hii ipo kwa Mwenyezi Mungu. Leo hayupo Tena kwenye mgongo wa ardhi, hayupo tena. He is very dead and very gone!

Je, wale wahafidhina wa mitano Tena na kuongezwa kwa muda wa kukaa RAIS MADARAKANI, wataendelea na HOJA hii kwa MH RAIS Mama SAMIA SULUHU au walii-personalise kwa Hayati Mh RAIS Magufuli?

Aongezewe au Asiongezewe.
Kweli utawala mpya mambo mapya. Hatimaye mkuu THE BIG SHOW umerudi jamvini.....

Natumaini utatuleta habari pia za korosho na undelezaji wa visima vya gas huko kusini
😂😂
 
Awali ya yote tupeane pole kwa msiba mkubwa wa kuondokewa na Mh Rais John Pombe Magufuli,hakika hayakuwa haya maisha ya dunian ila ni kitu chenye kupita tu.

Hapa karibuni kulikuwa na hoja ya kumuongezea muda wa kubakia madarakani Mh Rais John Pombe Magufuli na wengine wakaenda mbali na kusema kwamba akikataa tumlazimishe, pasipo na kujua kwamba ahadi ya uhai na maisha siri hii ipo kwa Mwenyezi Mungu. Leo hayupo Tena kwenye mgongo wa ardhi, hayupo tena. He is very dead and very gone!

Je, wale wahafidhina wa mitano Tena na kuongezwa kwa muda wa kukaa RAIS MADARAKANI, wataendelea na HOJA hii kwa MH RAIS Mama SAMIA SULUHU au walii-personalise kwa Hayati Mh RAIS Magufuli?

Aongezewe au Asiongezewe.
Kwa mama hilo halipo
 
Moja ya maradhi ya kudumu ya watu wa Kanda ya Ziwa ni kupenda kusifiwa kupitiliza …

Sie huku Pwani ukinizidishia Sifa naanza kuwa na tahadhari nawe!

Chawa wa awamu ya sita ndani ya tano wawe makini …Mf Lemutuz kaanza kumsifia Mama eti Kanyaga Twende…tumechelewa sana…yaan mara Hii Magu alikuwa anatuchelewesha!?…

Machawa mataahira hayana fursa awamu hii bila shaka
Upo sahihi kabisaaa...
Wiki mbili zilizopita nilienda msibani Mwanza nimeona jinsi gani hawa jamaa wa kanda hiyo wanavyopenda sifa za kijinga tena msiban
 
Awali ya yote tupeane pole kwa msiba mkubwa wa kuondokewa na Mh Rais John Pombe Magufuli,hakika hayakuwa haya maisha ya dunian ila ni kitu chenye kupita tu.

Hapa karibuni kulikuwa na hoja ya kumuongezea muda wa kubakia madarakani Mh Rais John Pombe Magufuli na wengine wakaenda mbali na kusema kwamba akikataa tumlazimishe, pasipo na kujua kwamba ahadi ya uhai na maisha siri hii ipo kwa Mwenyezi Mungu. Leo hayupo Tena kwenye mgongo wa ardhi, hayupo tena. He is very dead and very gone!

Je, wale wahafidhina wa mitano Tena na kuongezwa kwa muda wa kukaa RAIS MADARAKANI, wataendelea na HOJA hii kwa MH RAIS Mama SAMIA SULUHU au walii-personalise kwa Hayati Mh RAIS Magufuli?

Aongezewe au Asiongezewe.
Swali lako si sahihi. Waliokuwa wakisema hivyo, walikuwa wakijikita kwenye utendaji wa JPM waliouona. Hivyo wanasema aongezewe muda ili aendeleze hayo waliyoyaona. (Itoshe kusema JPM mwenyewe alilipinga wazo hilo mara kadhaa). Si sahihi kwako kuuliza hivi sasa kama udadisi huo utaendelea kwa Rais Samia kwa kuwa watu hawajaona ufanisi wake.
 
Awali ya yote tupeane pole kwa msiba mkubwa wa kuondokewa na Mh Rais John Pombe Magufuli,hakika hayakuwa haya maisha ya dunian ila ni kitu chenye kupita tu.

Hapa karibuni kulikuwa na hoja ya kumuongezea muda wa kubakia madarakani Mh Rais John Pombe Magufuli na wengine wakaenda mbali na kusema kwamba akikataa tumlazimishe, pasipo na kujua kwamba ahadi ya uhai na maisha siri hii ipo kwa Mwenyezi Mungu. Leo hayupo Tena kwenye mgongo wa ardhi, hayupo tena. He is very dead and very gone!

Je, wale wahafidhina wa mitano Tena na kuongezwa kwa muda wa kukaa RAIS MADARAKANI, wataendelea na HOJA hii kwa MH RAIS Mama SAMIA SULUHU au walii-personalise kwa Hayati Mh RAIS Magufuli?

Aongezewe au Asiongezewe.
Du Loooong time! Ulikuwa kwenye inner circle ya Magufuli nini baada ya kufariki unatoka hadharani. Kuhusu kuongezewa muda, ile ilikuwa ndiyo nia ya Magufuli and co. Zile kelele hazikuwa za bure. Mimi nimefikiria pengine ni Mungu ameamua kutuepusha na yajayo kwani Magufuli alishaweka mizizi kila kona na ingekuwa vigumu mno kumuondoa muda wake kama ungemalizika. Na hata kama angeona haya aondoke bado angeweka mtu wake ambaye angekuwa anampa amri. Kwa kifupi tulishaingia kwenye mtego mbaya sana.
 
UPUUZI MTUPU!
Awali ya yote tupeane pole kwa msiba mkubwa wa kuondokewa na Mh Rais John Pombe Magufuli,hakika hayakuwa haya maisha ya dunian ila ni kitu chenye kupita tu.

Hapa karibuni kulikuwa na hoja ya kumuongezea muda wa kubakia madarakani Mh Rais John Pombe Magufuli na wengine wakaenda mbali na kusema kwamba akikataa tumlazimishe, pasipo na kujua kwamba ahadi ya uhai na maisha siri hii ipo kwa Mwenyezi Mungu. Leo hayupo Tena kwenye mgongo wa ardhi, hayupo tena. He is very dead and very gone!

Je, wale wahafidhina wa mitano Tena na kuongezwa kwa muda wa kukaa RAIS MADARAKANI, wataendelea na HOJA hii kwa MH RAIS Mama SAMIA SULUHU au walii-personalise kwa Hayati Mh RAIS Magufuli?

Aongezewe au Asiongezewe.
 
Moja ya maradhi ya kudumu ya watu wa Kanda ya Ziwa ni kupenda kusifiwa kupitiliza …

Sie huku Pwani ukinizidishia Sifa naanza kuwa na tahadhari nawe!

Chawa wa awamu ya sita ndani ya tano wawe makini …Mf Lemutuz kaanza kumsifia Mama eti Kanyaga Twende…tumechelewa sana…yaan mara Hii Magu alikuwa anatuchelewesha!?…

Machawa mataahira hayana fursa awamu hii bila shaka
100% correct. 1. Kusifiwa 2. Umwamba wa kishamba 3. Ujuaji wa kishamba. 4. Hawajastaarabika 5. Mfume dume 6. Imani za ushirikina
 
Back
Top Bottom