Hoja ya kuongezewa muda wa Rais kubakia madarakani itaendelea kwa Rais Samia Suluhu Hassan?

Hoja ya kuongezewa muda wa Rais kubakia madarakani itaendelea kwa Rais Samia Suluhu Hassan?

UVCCM kumejaa wachumia tumbo wanaoongozwa na nguvu ya buku 7.

Mara hii tu wameswitch eti Samia kachaga twende Magufuli alituchelewesha sana.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Duuh,aliwachelewesha Tena??MATAGA kweli waganga Njaa...wanaswitch colour kama kinyonga vileee
 
Awali ya yote tupeane pole kwa msiba mkubwa wa kuondokewa na Mh Rais John Pombe Magufuli,hakika hayakuwa haya maisha ya dunian ila ni kitu chenye kupita tu.

Hapa karibuni kulikuwa na hoja ya kumuongezea muda wa kubakia madarakani Mh Rais John Pombe Magufuli na wengine wakaenda mbali na kusema kwamba akikataa tumlazimishe, pasipo na kujua kwamba ahadi ya uhai na maisha siri hii ipo kwa Mwenyezi Mungu. Leo hayupo Tena kwenye mgongo wa ardhi, hayupo tena. He is very dead and very gone!

Je, wale wahafidhina wa mitano Tena na kuongezwa kwa muda wa kukaa RAIS MADARAKANI, wataendelea na HOJA hii kwa MH RAIS Mama SAMIA SULUHU au walii-personalise kwa Hayati Mh RAIS Magufuli?

Aongezewe au Asiongezewe.
MUNGU ACHENI AITWE MUNGU;
Watu wamejazana ujinga kwamba nchi hii haiwezi kwenda bila Magufuli. Leo ni siku ya 10 kwa (mujibu wa tangazo lao) tangu afariki lakini nchi ipo, inakwenda na waliokuwa wanapiga debe wapo. Watuonesha imesimama upande upi?
Ndugai
Keissy
Sanga
Bado mko hai, mlituaminisha hakuna kitakachofanyika bila Magu, mbona hamjajitoa uhai mumfuate?
 
Wale walikua ni wa mapambio.
Samia hawezi kutaka Yale Mambo ya kisifa.
Magufuli ndie alikua anataka abaki madarakani.
Akaanza kupandikiza watu waseme kua aongezwe Muda atake asitake.
Mbinu alizokua anatumia za kijinga za kumbakisha madarakani ndio yaliyomperekea kununua hata wapinzani.
Sasa kwa mfano Patrobas katambi kua usalama wa taifa ili iweje,alikua anataka nini.
Mzee alishachemka siku mingi
 
What if kama umepeleka HOJA Kama hiyo na katiba ikabadilishwa,then all of the sudden RAIS huyo anafariki dunia Kama ilivyotokea hivi sasa,then akapatikana RAIS mwingine ambae ni mbovu na muovu,je tutarud Tena kubadilisha katiba na kupunguza muda wa RAIS KUBAKIA MADARAKANI??
Kwa kweli katiba iheshimiwe, iboreshwe zaidi iendane na nyakati na mahitaji ya sasa na iheshimiwe na watu wote. Ikiwa kila kundi dogo la watu wenye takwa lao wanabadili katiba, matakwa ya wanadamu hayaishi tutabadili katiba kila siku.

Mkuu ni wewe hii ID? sijaiona kitambo humu, ulienda wapi ndugu.
 
Mama samia akienda vizuri hata miaka 20 sawa tu, kama ilivyo kwa Gadafi kuongoza miaka mingi mpaka mabeberu waliona wivu na kumfanyia hiyana.
 
Kwa kweli katiba iheshimiwe, iboreshwe zaidi iendane na nyakati na mahitaji ya sasa na iheshimiwe na watu wote. Ikiwa kila kundi dogo la watu wenye takwa lao wanabadili katiba, matakwa ya wanadamu hayaishi tutabadili katiba kila siku.

Mkuu ni wewe hii ID? sijaiona kitambo humu, ulienda wapi ndugu.

Mkuu ni Mimi,

Maisha tuh,mambo yako poa lakin
 
MUNGU ACHENI AITWE MUNGU;
Watu wamejazana ujinga kwamba nchi hii haiwezi kwenda bila Magufuli. Leo ni siku ya 10 kwa (mujibu wa tangazo lao) tangu afariki lakini nchi ipo, inakwenda na waliokuwa wanapiga debe wapo. Watuonesha imesimama upande upi?
Ndugai
Keissy
Sanga
Bado mko hai, mlituaminisha hakuna kitakachofanyika bila Magu, mbona hamjajitoa uhai mumfuate?
Mkubwa ni mungu pekee,

Maisha na uhai ni tunu na siri kubwa Sana.

Let's celebrate this gift,tuache kujimwambafy...we only live once
 
Back
Top Bottom