Hoja ya Nape Kuhusu Uchunguzi wa Akaunti ya Deni la Taifa

Hoja ya Nape Kuhusu Uchunguzi wa Akaunti ya Deni la Taifa

Asante. Ungemsaidia pia usahihi wa takwimu, sijui hizi trillion 9, trillion 55 kaziokota wapi!
Kwa maoni yako;

1.Fedha iliwe tu kwa sababu ikichunguzwa Mpango atalazimika kukaa pembeni kupisha uchunguzi.

2.Fedha iliwe tu maana ikichunguzwa itawatia matatizoni maCAG waliopita. Unamwongelea CAG yupi? Kama umelenga Assad anzisheni tu yuko tayari hata kesho kutoa ushahidi kuhusu ununuzi wa ndege, SGR, Nyerere Dam, Ununuzi wa Wabunge na Madiwani.

3.Fedha iliwe tu maana ikichunguzwa CCM itavuliwa nguo.

4.Fedha iliwe tu maana waliohusika wana mamlaka na wakichunguzwa itajenga utamaduni wa kufukua makaburi.

Hizi akili CCM huwa mnatoa wapi? Mbona wengine ni Wasomi wakubwa tu nchini lakini mnajenga hoja Kama darasa la 4B?
 
Wanafikiri wanaweza kuficha madhambi yao milele. For sure kuna siku ccm itaondoka madarakani- hii ni LAZIMA. (It's a natural phenomenal).
Nyie maccm ni ma-bure kabisa! Hoja kuu ni kuficha uozo tu! Eti vp ataumbuliwa, mara awamu ya 7 nao wataibua madudu ya hawa 6! Ndo maana mkapitisha ile misheria ya kuto kushitakwa mkimliza awamu zenu za wivi?!! Mlaaniwe maccm!
 
Mahaba yakizidi ndio shida inapoanzi mtoa mada punguza mahaba kama unaendelea kula buku saba endelea mamamae
Pic%20Layer_202111923101073.jpg
 
Asante. Ungemsaidia pia usahihi wa takwimu, sijui hizi trillion 9, trillion 55 kaziokota wapi!
Usahihi wa takwimu.

Wiki iliyopita nilisoma gazeti moja kwamba deni la taifa limefika Tzs.64 tr hoja ya mtoa hoja ilitaja Tzs.9 tr kama ndicho kiasi kilichokopwa na awamu ya 5. Sasa kama awamu ya 5 ilikopa Tzs.9 tr je, awamu ya 6 imekopa kiasi gani katika hizo Tzs.64 tr? Mtoa hoja ni kiongozi wa awamu hii kwa nafasi yake ya Ubunge kama alivyokuwa pia kwa awamu ya 5 anayotaka ichunguzwe. Aidha, kati ya Tzs.9 tr za awamu ya 5 na hizo za awamu ya 6 (ambazo mtoa hoja hakuzitaja) (kuleta jumla ya deni la taifa la Tzs.64 tr awamu gani imekopa zaidi? Japokuwa hoja ya mtoa hoja imejikita katika kutilia mashaka juu ya uwazi na matumizi ya awamu ya 5 kwenye akaunti hiyo ya deni la taifa na siyo nani kakopa kiasi gani).

Lakini pia hoja hiyo ya mtoa hoja inatambuka zaidi na kuwateta wataalam wa mipango kwasababu kama awamu ya 6 imekopa basi ni kwa ajili ya kumalizia miradi mikubwa ya maendeleo ya awamu ya 5 maana miradi mipya ya awamu ya 6 haijawa mingi kiasi cha kulifikisha deni la taifa Tzs.64 tr. Sasa hapa wataalam wa mipango ndiyo wamekosea au kiongozi wa mhimili wa serikali ambayo mtoa hoja ndiyo alikuwa kinara wa kuiweka madarakani?

NB.
Niliishapost masahihisho hayo muda uleule jana.
 
Dogo kaambiwa atupe jiwe gizani, akisikia yalaahh juwa limefika kwa wahusika inshort dogo nape katumw
Ukiwa Mwanaccm ukabahatika kupata dhamana ya kukitumikia kwenye nafasi ya wadhifa basi kwako chama kinakuwa kitakatifu kama dini. Dhamana hiyo ikikutanguka ukarudi mtaani basi kwako chama hicho kilichokuwa kitakatifu kinabadilika na kuwa kama kuzimu. Kwani shida iko wapi? Mbona CCM ya Nyerere utamaduni huu haukuwepo? Tunapenda chama tu pale kinapotupatia maziwa na asali? Huu ni uaminifu? Huu ni uzalendo?
 
Nape anafikiri anamchafua Jiwe alifanya miradi mikubwa zaidi kuliko waliomtangulia,anasahau
Kuwa rais wa Sasa ndiyo alikuwa msaidizi wake.
Teuzi zinawatesa Sana vijana wa Kikwete,mpeni wizara tu Kama January mlivyompa hata Kama Hana uwezo.
Hiyo hamfanyi asiwe fisadi na mbadhirifu. Kama alikuwa msafi waache uchunguzi ufanyike report itamsafisha.

Kuna watu wa nadhani Magufuli alikuwa Malaika na hakutanuna. Hayo yalikuwa ni maneno yake tu na propaganda zake za kujifanya msafi kama watu wengi walivyofikiri. Lakini hakuna ushahidi wa kuthibitisha usafi wake 100 %. Naamini kikichofanyika awamu ya 5 mianya mingi ilixibwa inabaki wa Michache ya wale Wateule.

Nape siyo mjinga mpaka aje na statements kama hizi. Atakuwa amejitoa mhanga.
 
Hiyo hamfanyi asiwe fisadi na mbadhirifu. Kama alikuwa msafi waache uchunguzi ufanyike report itamsafisha.

Kuna watu wa nadhani Magufuli alikuwa Malaika na hakutanuna. Hayo yalikuwa ni maneno yake tu na propaganda zake za kujifanya msafi kama watu wengi walivyofikiri. Lakini hakuna ushahidi wa kuthibitisha usafi wake 100 %. Naamini kikichofanyika awamu ya 5 mianya mingi ilixibwa inabaki wa Michache ya wale Wateule.

Nape siyo mjinga mpaka aje na statements kama hizi. Atakuwa amejitoa mhanga.
Hayuko mtu wala kamati ya kumchunguza Jiwe,utaisubiri sana.
Jiwe lilisaga na kazi zake zinajitetea.
 
Wanafikiri wanaweza kuficha madhambi yao milele. For sure kuna siku ccm itaondoka madarakani- hii ni LAZIMA. (It's a natural phenomenal).
CCM siyo chama cha siasa, CCM ni #Dini kama zilivyo dini zingine za Ukristo, Uislamu, Druze, Bahai, Uyahudi, Kurd, Aramean, Armenia, Upagani, Budha nk. Ni makosa makubwa yasiyosahishika kwa kanuni yoyote ile kuamini kwamba CCM ni chama cha siasa, la hasha! CCM ni #Dini na ndani ya Dini ya CCM kuna Madhehebu (Mitandao na Vyama unavyoweza kuviita Vibaraka), na ijulikane kuanzia leo kwamba hakuna mtu anaweza kuvunja Dini (ikiwemo Dini ya CCM), Hitler, Musolini, Mao, Botha, Paulo Mtume, Martin Luther, Mafarao wote 40, Makaisari wote 12, Mapapa wote 266, Socrates, Karl Marx, Galileo Galilee, Plato walijaribu lakini hawakuweza kuvunja Dini yoyote chini ya jua, Namshauri mtu yeyote atubu kwa kuamini kinyume na ukweli huu.

Tafsiri yangu hii itaishi kutimia japo leo naweza kupopolewa mawe kwayo kama Socrates 399 BC.
 
Usahihi wa takwimu.

Wiki iliyopita nilisoma gazeti moja kwamba deni la taifa limefika Tzs.64 tr hoja ya mtoa hoja ilitaja Tzs.9 tr kama ndicho kiasi kilichokopwa na awamu ya 5. Sasa kama awamu ya 5 ilikopa Tzs.9 tr je, awamu ya 6 imekopa kiasi gani katika hizo Tzs.64 tr? Mtoa hoja ni kiongozi wa awamu hii kwa nafasi yake ya Ubunge kama alivyokuwa pia kwa awamu ya 5 anayotaka ichunguzwe. Aidha, kati ya Tzs.9 tr za awamu ya 5 na hizo za awamu ya 6 (ambazo mtoa hoja hakuzitaja) (kuleta jumla ya deni la taifa la Tzs.64 tr awamu gani imekopa zaidi? Japokuwa hoja ya mtoa hoja imejikita katika kutilia mashaka juu ya uwazi na matumizi ya awamu ya 5 kwenye akaunti hiyo ya deni la taifa na siyo nani kakopa kiasi gani).

Lakini pia hoja hiyo ya mtoa hoja inatambuka zaidi na kuwateta wataalam wa mipango kwasababu kama awamu ya 6 imekopa basi ni kwa ajili ya kumalizia miradi mikubwa ya maendeleo ya awamu ya 5 maana miradi mipya ya awamu ya 6 haijawa mingi kiasi cha kulifikisha deni la taifa Tzs.64 tr. Sasa hapa wataalam wa mipango ndiyo wamekosea au kiongozi wa mhimili wa serikali ambayo mtoa hoja ndiyo alikuwa kinara wa kuiweka madarakani?

NB.
Niliishapost masahihisho hayo muda uleule jana.
Ok. Nilipata shida aliposema awamu ya 6 imekopa 55T
 
Wanaoongelea deni la taifa na kulinganisha na awamu ya nne wajue pia awamu ya nne imeingia madarakani dola moja ikiwa sawa na 1000, ikaondoka ikiwa 2200. Kwahiyo deni lihesabiwe kwa dola sio hela za madafu.
 
Back
Top Bottom