Consultant
JF-Expert Member
- Jun 15, 2008
- 11,503
- 20,892
Kwa hiyo wewe unataka wasiteue ili kujustify uchaguzi haukuwa fair? Aidah anafanya nini Bungeni? BAWACHA wanataka kwenda Mahakamani kudai nini sasa?Sasa wakiteua hao 19 si ndicho CCM wanakihitaji ili kujustify uchaguzi usio free and fair?
Haya mambo bana tuwaachie Politicians tu kwa kweli.