Sandinistas
JF-Expert Member
- Jul 5, 2013
- 2,612
- 1,776
Naam, hana bei! Wanatamani mabadiliko yawe yanafanyika mara kwa mara atokee mtu mwenye bei kama Dr. Slaa, Prof. Lipumba, nk. Shameless. Na kwa bahati mbaya, inaelekea vyombo vya nchi hii navyo vinasiriki kwenye siasa hizi chafu za kudumaza demokrasia katika nchi!Sahihi kabisa. Wameona hahongeko. Wanataka aje mwingine, wakitegemea labda atahongeka.