Ambition plus
JF-Expert Member
- Feb 23, 2018
- 6,101
- 11,381
Povu la nini sasa mkuu? Sijaona hoja uliyojibu.Upumbavu ndio huu, ujinga huna ninaamini. Hapa nasema wewe sio ignorant, ni fool! Maawali yote aliyouliza Dr. Gwajima na unayoshadidia yanajibiwa na jibu moja tu - hakuna popote, narudia popote ambapo mtaalamu yeyote au mtengeneza chanjo amesema kuwa hizi ni chanjo za KUZUIA corona au KUZUIA maambukizi! Kila mtaalamu (asiye kanjanja) kasema chanjo hizo zinazuia severe sickness (hospitalization) na vifo!! Na tunachojitaji kwa muda huu ni kutoumwa na kutokufa!! Basi!!
Swali ambalo mnashindwa kujibu sasa hivi ni kuna watu wangapi wamechanjwa lakini wakaugua na kufa!! Mpaka sasa wanaukufa 100% ni ambao hawajachanjwa na watu wawili katika kila 100 waliochanjwa ndio wanapata mild symptoms (maana yake 98 hata kusikia kichwa kinauma hawasikii).
Kuweni wakweli na kama mna scientific data mzitoe. Mambo haya ni ya kisayansi - sio ya kiroho wala kisiasa. Ingekuwa ya kiroho badala ya Gwajima kurusha maswali - ANGEPONYA!!
Upumbavu umewajaa mpaka unaelekea kuchua nafasi ya ujinga kiasi mtakuwa hamfundishiki!!
Acha porojo.