#COVID19 Hoja za Askofu Gwajima zimewaumbua wataalam wetu na waliomuingiza 'mkenge' Rais Samia kwenye chanjo ya Corona

#COVID19 Hoja za Askofu Gwajima zimewaumbua wataalam wetu na waliomuingiza 'mkenge' Rais Samia kwenye chanjo ya Corona

Usichanje kama unaona bado hujaridhika!
Mimi siwezi kuchanja haya majaribio, hata chanjo za flu (nazo siyo chanjo halisi) huwa sichanji na huwa sipati hayo mafua.
Ila hao waliokufundisha ukajua vaccine ndio hao wamekuja na suluhisho la muda mfupi la Covid!Ukitaka hicho unachotaka basi subiri!
Sio case!
Kuna tofauti kubwa kati ya kusoma na kuelewa vizuri mawazo ya wengine (vyeti) na kuwa na uwezo wa kutumia akili yako kupambanua mambo (kuelimika).

Ukijenga immunity hauhitaji "booster" ndiyo sababu ya watoto kuumwa tetekuwanga mara moja, kwa kuwa unakuwa umetengeneza kinga. Sasa chanjo gani hiyo unapochanjwa, unaendelea kujikinga? Wewe huoni kuna changa la macho hapo?

... Zakuambiwa (JK)
 
Kuna tofauti kubwa kati ya kusoma na kuelewa vizuri mawazo ya wengine (vyeti) na kuwa na uwezo wa kutumia akili yako kupambanua mambo (kuelimika).

Ukijenga immunity hauhitaji "booster" ndiyo sababu ya watoto kuumwa tetekuwanga mara moja, kwa kuwa unakuwa umetengeneza kinga. Sasa chanjo gani hiyo unapochanjwa, unaendelea kujikinga? Wewe huoni kuna changa la macho hapo?

... Zakuambiwa (JK)
Mlipoambiwa mpige nyungu na kwamba Corona ni futa linayeyuka kwa mvuke wa nyungu mliingia mazima!Ila imekija chanjo ndio mnajifanya wajuaji sana!
Mlishauriwa pia kutumia matunda kuongeza vitamin C ili kuongeza immunity,mkakubali!Iweje chanjo ambayo mmeambiwa inaongeza immunity ndio inakuwa case?
Kama hujaridhika usichanje,full stop!
 
Sijaona hata kama kuna hoja ya kuumiza mtaalam kichwa.
Ila hii nchi nayo ina vituko? Watu kujitia ujuaji kwenye taaluma za watu; na wanawapata kweli wa kuwapata!
tujibu ww bas maana ni mtalamu boss
 
🤣🤣
IMG-20210803-WA0037.jpg
 
hapo hakuna hoja bali vioja, Kuna nyakati wajinga nao hujiona wana akili.
Acha unafiki na kujikosha wewe...

Si ukubali tu kuwa hujui na huna majibu ya maswali hayo muhimu kama ambavyo hao viongozi wa serikali yenu wanafiki na waongo ongo wasivyokuwa na majibu...!!??

Don't pretend you know anything while the fact is that you know nothing. Mnaburuzwa tu kama mazombie vile....
 
Mlipoambiwa mpige nyungu na kwamba Corona ni futa linayeyuka kwa mvuke wa nyungu mliingia mazima!Ila imekija chanjo ndio mnajifanya wajuaji sana!
Mlishauriwa pia kutumia matunda kuongeza vitamin C ili kuongeza immunity,mkakubali!Iweje chanjo ambayo mmeambiwa inaongeza immunity ndio inakuwa case?
Kama hujaridhika usichanje,full stop!
Kumbe hukuelewa maana ya yale maneno ya "tujifunze kuishi na corona".

Hizo nyungu zilikuwa ni kuongeza virutubisho vitakavyohitajika na kinga ya mwili Ili utakapopata corona mwili uwe umejidhatiti wakati unakutengeneza kinga ya asili.

Kinacho idhibiti Corona ni kinga ya "asili" ya mwili, na kinga hiyo inahitaji virutubisho vya "asili' ambavyo vinatoka kwenye vyakula, na siyo dawa za maabara.

Molecular structure ya hivi vyakula ni very complex, kwa sayansi ya sasa bado hatujaweza kujua combination zake zote. Mwili wa binadamu unaweza kujua exactly what combination of ezymes is needed to digest and extract the nutrients.

Hizi chanjo za mRNA zinaingilia mfumo wa asili (non specific antibodies) kufanya kazi yake, wenyewe unaua affected cells (virus) zozote bila kujali aina ya variant. mRNA inachokifanya nikutengeneza antibodies amabazo ni specific kwa variant fulani. Hivyo mwili unakuwa hauwezi kujilinda na naina nyingine ya variant, ndiyo sababu ya hii delta kusumbua waliokuwa vaccinated na ile corona ya kwanza na kupelekea kuleta booster shot.

Dawa hizi za maabara huwa zina chains (hydrocarbons) ambazo haziwezi kuvunjwa vunjwa zote mwilini kwakuwa mwili haujui nini cha kufanya. Matokeo yake kuna masalia yanayobaki yanayoitwa free radicals, haya yanabaki mwilini na kutengneza side effects.

Hizi chanjo bado hatujajua long term effects zake kwa masalia yanayobaki mwilini baada ya kupiga chanjo, Mungu awarehemu wale waote waliofanywa nguruwe wa majaribio.
 
Kumbe hukuelewa maana ya yale maneno ya "tujifunze kuishi na corona".

Hizo nyungu zilikuwa ni kuongeza virutubisho vitakavyohitajika na kinga ya mwili Ili utakapopata corona mwili uwe umejidhatiti wakati unakutengeneza kinga ya asili.

Kinacho idhibiti Corona ni kinga ya "asili" ya mwili, na kinga hiyo inahitaji virutubisho vya "asili' ambavyo vinatoka kwenye vyakula, na siyo dawa za maabara.

Molecular structure ya hivi vyakula ni very complex, kwa sayansi ya sasa bado hatujaweza kujua combination zake zote. Mwili wa binadamu unaweza kujua exactly what combination of ezymes is needed to digest and extract the nutrients.

Hizi chanjo za mRNA zinaingilia mfumo wa asili (non specific antibodies) kufanya kazi yake, wenyewe unaua affected cells (virus) zozote bila kujali aina ya variant. mRNA inachokifanya nikutengeneza antibodies amabazo ni specific kwa variant fulani. Hivyo mwili unakuwa hauwezi kujilinda na naina nyingine ya variant, ndiyo sababu ya hii delta kusumbua waliokuwa vaccinated na ile corona ya kwanza na kupelekea kuleta booster shot.

Dawa hizi za maabara huwa zina chains (hydrocarbons) ambazo haziwezi kuvunjwa vunjwa zote mwilini kwakuwa mwili haujui nini cha kufanya. Matokeo yake kuna masalia yanayobaki yanayoitwa free radicals, haya yanabaki mwilini na kutengneza side effects.

Hizi chanjo bado hatujajua long term effects zake kwa masalia yanayobaki mwilini baada ya kupiga chanjo, Mungu awarehemu wale waote waliofanywa nguruwe wa majaribio.
Sio mara ya kwanza kupata chanjo ya dharura,hata Ebola ilikuwa hivi hivi na ikalipa!
Wakati mwingine ujuaji mwingi hauna maana,take it or leave it!
Sijawahi kusikia virutubisho vya mwili vinaongezwa kwa njia ya kuvuta mvuke,mbaya zaidi hatujui hata nyungu inafanyaje kazi kisayansi!
Inashangaza unatetea nyungu ila chanjo iliyopatikana maabara ambayo imepunguza vifo kwa kiasi kikubwa kwa mataifa yaliyokuwa hoi kwa Corona unaipinga!
Chanjo zilizopo ndio hizo so far,chagua moja,kuchanja au kutochanjwa!Basi!
 
Sijawahi kusikia virutubisho vya mwili vinaongezwa kwa njia ya kuvuta mvuke,
Nilipokuwa naongelea vyakula, nilimaanisha kula matunda, tangawizi na malimao ili kupata virutubisho.
mbaya zaidi hatujui hata nyungu inafanyaje kazi kisayansi!
Niliwahi kulielezea jambo hili kwa kirefu huko nyuma kwenye bandiko hili baadhi ya niliyoyasema ni haya;

- Virus wanaundwa na protein (capsid), ukihemea mvuke wa nyungu ile protein ya virus inaharibika.

- Kitunguu saumu kina compound inayoitwa allicin inayotengenezwa unapokikwangua, hii allicin imethibitishwa kuua virus na bacteria wa aina nyingi (soma hapa).

- Unapopiga nyungu, mvuke wenye allicin unaingia moja kwa moja kwenye alveoli na kuua aina zote za virus zilizo kwenye njia ya hewa.

- Allicin pia ina sifa inayoitwa gyroscopic (kukausha unyevu) na hivyo kuharibu mazingira ya virusi kuenea kwa haraka (virusi vya corona vinahitaji unyevu nyevu).

- Sifa nyingine ya allicin ni Immunomodulation amabayo huchochea mwili kuanza kujilinda haraka.

- Vasodilation ni sifa nyingine ya allicin, ambayo ni kutanuka kwa mishipa ya damu, hii huweza kufanya damu ipite haraka kwenda sehemu zote za mwili kupeleka virutubisho, ulinzi na oxygen.

- Sifa nyingine ya allicin ni kuzuia damu kuganda (anticoagulation). Virusi vya Corona huwa vinagandisha damu kwenye mapafu na viungo vingine muhimu. Mvuke wenye allicin utazuia hilo kutokea (ref Autopsies indicate blood clot are lethal in Covid 19)
Inashangaza unatetea nyungu ila chanjo iliyopatikana maabara ambayo imepunguza vifo kwa kiasi kikubwa kwa mataifa yaliyokuwa hoi kwa Corona unaipinga!
Chanjo zilizopo ndio hizo so far,chagua moja,kuchanja au kutochanjwa!Basi!
Vitunguu saumu, tangawizi na maganda ya malimao huwa yana kemikali zinazoua virus na pathogens wa aina nyingi. kama vitunguu visingeweza kuua wadudu wanaotaka kukiingia basi leo hii tusinge kuwa na vitunguu, vingekuwa extinct. Sasa kati ya chanjo ya juzi juzi na kitunguu kilichoweza kuua aina nyingi ya virus chini ya ardhi kwa miaka elfu na elfu, nani wa kumwamini?
 
Nilipokuwa naongelea vyakula, nilimaanisha kula matunda, tangawizi na malimao ili kupata virutubisho.

Niliwahi kulielezea jambo hili kwa kirefu huko nyuma kwenye bandiko hili baadhi ya niliyoyasema ni haya;

- Virus wanaundwa na protein (capsid), ukihemea mvuke wa nyungu ile protein ya virus inaharibika.

- Kitunguu saumu kina compound inayoitwa allicin inayotengenezwa unapokikwangua, hii allicin imethibitishwa kuua virus na bacteria wa aina nyingi (soma hapa).

- Unapopiga nyungu, mvuke wenye allicin unaingia moja kwa moja kwenye alveoli na kuua aina zote za virus zilizo kwenye njia ya hewa.

- Allicin pia ina sifa inayoitwa gyroscopic (kukausha unyevu) na hivyo kuharibu mazingira ya virusi kuenea kwa haraka (virusi vya corona vinahitaji unyevu nyevu).

- Sifa nyingine ya allicin ni Immunomodulation amabayo huchochea mwili kuanza kujilinda haraka.

- Vasodilation ni sifa nyingine ya allicin, ambayo ni kutanuka kwa mishipa ya damu, hii huweza kufanya damu ipite haraka kwenda sehemu zote za mwili kupeleka virutubisho, ulinzi na oxygen.

- Sifa nyingine ya allicin ni kuzuia damu kuganda (anticoagulation). Virusi vya Corona huwa vinagandisha damu kwenye mapafu na viungo vingine muhimu. Mvuke wenye allicin utazuia hilo kutokea (ref Autopsies indicate blood clot are lethal in Covid 19)

Vitunguu saumu, tangawizi na maganda ya malimao huwa yana kemikali zinazoua virus na pathogens wa aina nyingi. kama vitunguu visingeweza kuua wadudu wanaotaka kukiingia basi leo hii tusinge kuwa na vitunguu, vingekuwa extinct. Sasa kati ya chanjo ya juzi juzi na kitunguu kilichoweza kuua aina nyingi ya virus chini ya ardhi kwa miaka elfu na elfu, nani wa kumwamini?
Kula hivyo vitunguu uue virus vya ukimwi,mnajifanya wajuaji lakini hamna kitu!Unajua joto la mvuke linalotakiwa kufika kwenye mapafu ili kusambaratisha hilo futa la Corona?Nani anaweza kuvuta hiyo hewa na akabaki hai?Shwain,ndio maana yule mbunge akakutwa amekufa hotelini na zana zake za kupigia nyungu pembeni!
So far,Chanjo imeleta ahueni!Vifo vimepungua sana na takwimu zinaonesha kuwa waliochanjwa hata wakiugua Corona hawawi Critical kama ambao hawajachanjwa!
Maelezo yote uliyotoa hapo juu,wataalamu wanajua zaidi yako!Ndio maana wao wamekuja na solution ya dharura ila wewe upo tu hapa kupiga kelele wakati hujafanya chochote!
Wabongo bhana!
 
Nilitegemea wataalam wetu wa afya pamoja na washauri wa Rais waliomshauri kuagiza chanjo ya corona watakuwa mstari wa mbele kujibu hoja za askofu badala yake wamekuwa watu wa kumshambulia yeye binafsi na kumpa vitisho badala ya kujibu hoza zake kitaalam.

Katika hoja ya kwanza, Askofu gwajima ana hoji: Endapo mtu akichanjwa bado ataendelea kuambukiza na kuambukizwa virusi vya corona na kama ndivyo, kuna maana gani ya kuchanja?

Hoja ya pili Askofu anahoji endapo mtu amechanjwa bado atatakiwa kuchukua tahadhari zote ikiwemo kuvaa barakoa ili kujikinga na maambukizi. Askofu anataka kujua, kama kweli chanjo ya corona ni kinga kwanini mtu aliyechanjwa anatakiwa tena kuvaa barakoa?

Askofu anaendelea kuhoji, mataifa makubwa kama vile marekani yote yana chanjo zao. Kwa mfano, marekani wana chanjo ya jonhson&jonhson na moderna, china wana sinovac, uiongereza wana Astrazeneca, germany wana Pfizer, urusi wana ya kwao, Cuba pia wana ya kwao na mataifa mengine yana chanjo zao. Je ni kwanini haya mataifa yenyewe kwa yenyewe yanaogopana kutumia chanjo ya mwingine?

Gwajima ana hoji kwamba katika kipindi cha zaidi ya miezi sita iliyopita wataalam wetu wanaotaka tupambane na corona kwa njia ya chanjo ndio hawa hawa walisema tusiziamini chanjo kwamba zinaweza kuwa na madhara na kwamba tutumie njia za asili ikiwemo kujifukiza wakajenga hadi banda la kujifukizia pale muhimbili wengine wakafanya mahojiano TBC kuonyesha wasi wasi wao juu ya chanjo ya corona, kwanini leo wamebadilika?

Swali la nyongeza: kwenye fomu ya chanjo ya corona kuna kipengele kinasema serikali haitahusika kwa namna yoyote ile endapo mtu aliyechanjwa atapata maudhi ambayo kwa sasa hayafahamiki. Tunataka wataalam wetu watwambie kama hii chanjo wameifanyia utafiti wa kutosha kwanini wanasema tena kwamba mtu aliyechanjwa anaweza kupata maudhi ambayo hayafahamiki?

Napenda sana wataalam wajibu hoja za gwajima kwa sababu vile wanavyomshambulia badala ya kujibu hoja zake ni kudhihirisha kwamba hawana utaalam wa walichosomea kitu ambacho ni hatari kwa uhai na afya za watanzania.
Kachome chanjo Mkuu wangu usiwasikilize wazushi.
 
Msijali mkifa mtaenda kanisani kwake awafufue.

Unadai chanjo ni ajenda ya siri, hebu tuambie ni siri gani hiyo na uliipata kwa nani?
Mafisadi waliokuwa wanampinga magufuli wanaweza kutumia njia ya chanjo kutokomeza kila wanaye mwona tishio kwa maslai yao serikalini na bungeni na kwenye vyama vya siasa kwa kupitia hizo chanjo maana wanakuua bila ya kuacha ushahidi
 
Mafisadi waliokuwa wanampinga magufuli wanaweza kutumia njia ya chanjo kutokomeza kila wanaye mwona tishio kwa maslai yao serikalini na bungeni na kwenye vyama vya siasa kwa kupitia hizo chanjo maana wanakuua bila ya kuacha ushahidi

izi akili zinapatikana lumumba
 
Gwajima sio mchungaji wala hana miujiza yoyte ya kumfufua mru, ni porn star tu.

Ila kwenye swala la corona anauliza maswali ya msingi sana, tuache kumshambulia yeye binafsi, twende tujibu hoja zake za msingi.
 
Back
Top Bottom