Hoja za Matangazo kwenye jezi mpya Simba

Hoja za Matangazo kwenye jezi mpya Simba

Hivi jezi ndo inacheza sometimes wabongo tuacha ujuaji timu hii uwekezaji wa Mo umeleta chachu ya mpira
 
Hiyo ni siri yao ndio maana hawa timu za kariakoo hawasemi, kama huamini fatilia GSM anatoa bei gani kama utapata majibu
Angalau GSM hawalalamiki kuwa wanaendesha timu kwa hasara kama mwamedi
 
Kwenye mikono isingeonekana unajua ile ni kama tangazo ,ila sema kweli more bidhaa zake angeweka identity moja ya jumla kuliko kila bidaa,mfano ile mo sport kwenye shingo sijui hata mo sport inahusika na nini
Mbona Visit Rwanda huwa tunaiona kwa Arsenal?

Korokoro nyingi inachosha
 
Kwani yale makampuni si yanalipa au yanaweka bure ( Namaanisha Mo 29 na Mo extra).
Pia mo si anatoa ruzuku? Anayoisema hasara ni hii ruzuku.
Mo analipa bei gani kwenye matangazo, tuanzie hapa
 
Hivi nye Utopolo mbona mnakuwa wajinga hivi ,jezi ya Simba kifuani kulia kucha chapa mo extra ,Yanga kifuani kulia kuna gsm ,Simba mngongoni kuna mo29 ,Yanga mgongoni Kuna GSM foam ,tofauti ni nini?
Kuna mo sport juu ya mo extra.. halafu zile chapa kulia si inawakilisha watengenezaji? Ulaya huwa naona zinakaa Nike. umbro. adidas
 
Mkiona hivyo mjue kua mo ni brand kubwa ana products nyingi za kibiashara ambazo zinahitajika kutangazwa

Sasa GSM ulitaka aweke nini pale wakati ukiangalia kinachomweka mjini ni vile vigodoro? Ulitaka aandike GSM kapumbu?


Sio kwamba GSM hapendi kuweka matangazo ila kinacho mkaba ataweka matangazo gani, ana bidhaa gani ya kubrand ukiachana na vile vigodoro ambavyo vinanunulika kwa msimu?

Jiulize hata wewe kwenye familia yako hapo kwako mara ya mwisho kununua godoro ilikua lini? Umeona point yangu sasa?

Kiukweli mi bado sijaridhika na matangazo ya mo kwasababu ni machache mno kulingana na thamani ya alichotupatia wana simba kutokana na investment aliyoiweka na kuisababishia mafanikio makubwa simba.

Aisee ilitakiwa matangazo mengine yangeandikwa hata ndani ya jezi ili hata tukigeuza jezi kuwe kunasomeka Mo masafi, maana products za maji zimekosa nafasi ya kukaa nje ya jersey
 
Back
Top Bottom