- Thread starter
- #61
Vituko kweli yupo mbowe mwenyekiti wa saccos anatuhumiwa ugaidi halafu unataka isitajwe chadema uko sayari gani wewe
Nime ku zoom nikakubamba:
You have things in common.
Na wewe ujumbe murua kwa boss ni huu:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vituko kweli yupo mbowe mwenyekiti wa saccos anatuhumiwa ugaidi halafu unataka isitajwe chadema uko sayari gani wewe
Wewe ni lumumba 7k ama unajipendekeza?yaani jamaa ni muongo hatari!!
yaaani anaongopea watu wazima!!
adamooooooooooo duh!
CHADEMA KATIKA MAJARIBIO YA KUGEUZA KICHWA CHA JAJI NA JAMII- SIKILIZENI MBOWE ATAFUNGWA SI KWA UONEVU BALI KWA USHAHIDI MATHUBUTI USIO NA CHEMBE YA MASHAKAMawakili wa Serikali wanadai Adamoo alikamatwa kwa mujibu wa sheria na tena akatoa maelezo kwa kina Kingai kwa mujibu wa sheria na bila shinikizo. Hivyo wanaitaka mahakama kuyapokea maelezo hayo kama ushahidi wa kuaminika dhidi ya watuhumiwa kwenye shauri la msingi.
Adamoo kaeleza mwenyewe namna alivyokamatwa. Yaliyotokea Moshi, alivyojikuta Tazara, hadi polisi Mbweni.
Ushahidi kuhusu hao jamaa walivyokamatwa na kuteswa, lakini kesi ya msingi ya ugaidi mpaka sasa haijasikilizwa. Unataka jaji atoe uamuzi gani? Kwamba waachiwe halafu waende kukamatwa kistaarabu bila kuteswa?Sorry tunamwangalia mheshimiwa Jaji na tuna Imani naye ya kuwa atatenda haki. Ushahidi ameusikia na vilevile amepata faida ya kuwaona mashaidi kwa mamma walivyokuwa wakitoa ushahidi wao(deameaner of witnesses). Tumwombee Mungu amtangulie na atende haki.
watajuta walio kuwa wanapanga mipango haramu ya kuchafua Amani ya nchi.
vipo vya kuchezea kama kitambi chako, kidevu n.k lkn kamwe usijaribu kuchezea Amani ya nchi.
Amani ya nchi ni zaidi ya mboni ya jicho.
chadema ilikuwa safi kipindi cha Dr. Slaa, baada ya hapo chama kikageuka,
DJ akaanza kutengeneza genge la wahalifu na wahuni.
Ushahidi kuhusu hao jamaa walivyokamatwa na kuteswa, lakini kesi ya msingi ya ugaidi mpaka sasa haijasikilizwa. Unataka jaji atoe uamuzi gani? Kwamba waachiwe halafu waende kukamatwa kistaarabu bila kuteswa?
Tutashitaki kwa MunguHata asipoonekana mtafanya nini ?
Kumbuka Bwire hajaongea kitu kabisa... huyu mwenye makovu meusi mikononiHii kesi itaibua mengi sana. By now I think wanajuta kwanini mpaka leo bado inaendelea
Mnapo enda kumtembelea gerezani mfikishieni salamu kutoka kwa wapenda amani, mwambieni Wapenda amani wanasema kuwa;Pole na hongera sana Jumanne, hakika kazi yenu na Kingai na Mahita imetukuka. Hivi ndivyo wanaotaka nchi isitawailike hufanya. Na kwa kesi ya gaidi Mbowe mmeweza kuonyesha jinsi nchi yetu ilivyo chafu. Bila huyu gaidi, nani angejua kwamba polisi hawajui kitu kinaitwa PGO? Nani angejua kwamba polisi anaruhusiwa kuchukua mali ya mtuhumiwa? Haya yote ni matokeo mazuri mliofanya na sasa dunia inajua namna nchi ilivyo chafu kwa sababu ya huyu gaidi.
Nchi imelaanika hii na haitakaa itokee ipone.Mama Ling'wenya angejua vipi mumewe ni Johnson John kama ile chanjo ya yetu pendwa ya J&J?
Hizi kauli MaCCM mlizitumia mlipo Muua Kamanda Mawazo. mkazirudia mlipo muua Ben Saanane na mlipo muua Mheshimiwa Lissu.. na mmezitumia mkiteka wana CHADEMA nchi nzima.Au wahuni wa Ufipa hawatafanya lolote kumvuruga mwamuzi?
Naam, yupo wapi Moses Lijenje,Macho yote sasa kwa Jaji. Akitupilia mbali pingamizi hili maana yake kakubaliana na upande mashtaka kuwa yote ilikuwa kwa mujibu wa PGO.
Yuko wapi Moses Lijenje?
Hapa tu ndipo huwa na washangaa mnajionaga ni wenyeji zaidi JF kuliko wengine,kwani wewe si pia ulikuwa mgeni wakati unajiunga? Kuna tatizo gani kwa New Member kucomment? Bishaneni kwa hoja,habari za kuchungulia mwenzio kajiunga lini ni dalili ya kuishiwa hoja.Ni hayo tu ndugu Mwenyeji wa JF [emoji3][emoji3]