Baba Joseph17
JF-Expert Member
- Jul 15, 2013
- 9,517
- 9,762
We unataka makampuni ya kutengeneza ERV yafe!!! Wazungu wanaichezesha dunia wanavyotakaSawa,ni sh ngapi?
Hivi chanjo ya HIV iliishia wapi wajameni?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We unataka makampuni ya kutengeneza ERV yafe!!! Wazungu wanaichezesha dunia wanavyotakaSawa,ni sh ngapi?
Hivi chanjo ya HIV iliishia wapi wajameni?
Lamivudine inatumika kwenye hepatitis na pia ipo kwenye TLE..so hiyo ni kawaida tuWengine "hutumia ARVs" kupambana na hii kitu.
Naishia hapa.
Kumbe! asante kwa somoLamivudine inatumika kwenye hepatitis na pia ipo kwenye TLE..so hiyo ni kawaida tu
wanatibu kama ukiiwahi hiyo homa,Kuna chanjo pia wanatibu
sijui ni kwanini hivyo maana hilo janga ni baya kweli na njia zake za kupata wakati mwingine ni nyepesi kuliko hata zile za kupata VVU.Hivi kwanini hawatoi chanjo ya ini kwa watu wote,yaan haihamasishwi watu wapime
Ndio twende tukapimesijui ni kwanini hivyo maana hilo janga ni baya kweli na njia zake za kupata wakati mwingine ni nyepesi kuliko hata zile za kupata VVU.
Jamaa nenda ukapime hyo dalil ndo mïongon tena iyo ni dalil mby kama ukipma ukakutw uk+Nilikuwa cfaham hii kitu kabisa ila imeanza kuniogopesha binafsi nina maumivu ya tumbo pale ninapo liingiza tumbo ndani na kulitunisha kwa nje lakin pia nikishiba sana pia nafeel maumivu.
Virus zingekuwa na dawa, kusingekuwa na mafua au flu duniani. Kuna kupunguza makali mpaka ugonjwa wenyewe uondoke. Nunua Lactrose utumie inasaidia ini kutoa uchafu.Nadhani haipungui 20,000 japo sina hakika, na unapata mara tatu.
Chanjo ni muhim sana, ugonjwa upo na ni hatarii kweli
pole sana kwake ila nadhani ni kingaPole sana nenda agakhan au muhimbili ndio wanatoa hiyo chanjo,navyojua mimi huo ugonjwa unatumia chanjo na unapona kabisa
inatolewa mama sabrina na ingependeza ukapige kama utakuwa vizuri piga chanjo zote hadi ya homa ya manjano na sabrina mpige kabisaaHivi kwanini hawatoi chanjo ya ini kwa watu wote,yaan haihamasishwi watu wapime
Ni kweli kabisaDah mkuu pole sana
nasikia huo ugonjwa ni balaa afadhali ya ukimwi
Hospital moja ipo Kahama govermentMaskini pole sana
Hiyo hospitali gani?
Na unapona?Kwa hosp niliyopitia chanjo kwa dozi 1 ni Tsh 50,000 japo inaenda mpk 75,000 so ni gharama kubwa.
Ni ushauri tu, watu tuchome as huu ugonjwa ni mkali sana.
Chanjo wakati anakwambia tayari ana maambukizi? Hebu tuwe seriousPole sana nenda agakhan au muhimbili ndio wanatoa hiyo chanjo,navyojua mimi huo ugonjwa unatumia chanjo na unapona kabisa
Wewe kirusi kinatibikaje?
Sawa,ni sh ngapi?
Hivi chanjo ya HIV iliishia wapi wajameni?
Pole sana nenda agakhan au muhimbili ndio wanatoa hiyo chanjo,navyojua mimi huo ugonjwa unatumia chanjo na unapona kabisa
Wanatoa chanjo ya kuponyesha kbisa ama ya kujikinga mkuu
Mnashindwa kutofautisha "chanjo" na "tiba"Kuna chanjo pia wanatibu