Homa ya TV E: Lini Diamond platnumz atatumbuiza Jukwaani

Nazani majizzo anamchukulia Diamond as competitor wake kwenye media ndo maana inakuwa Ni ngumu Sana kutokea Hilo lakini hii sababu Ni ya hovyo kwa sababu Ni still diamond Ni mwanamziki
Yeah!!👍
 
Walimuomba aka sema .Labda wawape lukambao yule mpiga picha wa diamond akapige show

SUBIRI KIDOGO
 
Walimuomba aka sema .Labda wawape lukambao yule mpiga picha wa diamond akapige show

SUBIRI KIDOGO
Mkuu umeua 🙉🤣🤣 hivi huwa mna familia mkifika nyumbani mnaitwa baba/ mama, watoto wenu wakiona post zenu huku mitandaoni si watacheka sana
 
Nadhani Diamond akienda kupiga show ndo itakua mwisho wa kipindi chenyewe maana kila msanii atayekuja kupeform baada ya Chibu utamuona kama takataka tu.
 
Tuwe wakweli jamaa sio mtaalamu sana wa kwenda live ..hilo liko wazi..

Najua mataga yatapinga
 
We umeongea pumba Sana.

Wewe umeanza kumshabikia lini Diamond? Ukweli lazima usemwe Diamond ni msanii mzuri na perfomer mzuri sana hasa kwenye play back! Lakini kwa swala la kuimba live Diamond bado anatakiwa kujifunza kwa wengine wakina Jide, Ruby,Christian Bella na Barnaba


Diamond bado anayo nafasi ya kujifunza kuimba kwa vyombo vya muziki maana anafubdishika na ni mtu anaye jituma! Lakini kwa swala la kuimba na live band bado anahitaji kujifunza!


Nilimuona miaka ya nyuma alijitahidi sana show moja na msanii Jar press(kama sijakosea) nilidhani ataendelea kujifunza kwakuwa ilikuwa ni good start! Diamond ana sumbuliwa na sauti kwenye kuimba live.... WCB hapo mwenye uwezo wa kuimba live muda mrefu ni Mboso maana ndio alikulia uko!

Huu ni ukweli ambao hata Diamond anaujua kabisa!
 
Uzinduzi wa album yake ya "A boy from Tandale" kafanya na live band na kaperform vizuri Sana lakini pia show yake ya one mic one man aliyoifanya sumbawanga alifanya na live band na alifanya vizuri Sana SEMA tu Diamond anachagua baadhi ya show za kufanya na live band
 

Kufanya live na kuwa na uwezo wa kufanya hivyo ni vitu viwili tofauti! Diamond hafanyi mazoezi ya muda mrefu ya kuimba live sauti inamsumbua sana na uzuri mimi nimesha udhuria baadhi ya show zake akiimba live yani unaweza tamani aweke Cd apandishie!
 
Kufanya live na kuwa na uwezo wa kufanya hivyo ni vitu viwili tofauti! Diamond hafanyi mazoezi ya muda mrefu ya kuimba live sauti inamsumbua sana na uzuri mimi nimesha udhuria baadhi ya show zake akiimba live yani unaweza tamani aweke Cd apandishie!
Mkuu huyu jamaa sisi tumemwambia anabisha unapoteza muda wako bure..

Diamond ni msanii mkali mnoo na performer mzuri lakini sio mzuri akiwa live ila anajifunza tuseme .

Kumbe hata ile show ya MTV aliofanyia home ..hakuimba live pia ilikuwa playback na live pia maana angeimba live lazima angepitwa na ile Bridge ..

Tuseme ukweli sio chuki
 
Yeah ile ilikuwa playback nilicheck behind the scene mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…