Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,916
- 43,505
Mkuu kwenye ishu ya kuperform live yule dada ruby n kiboko mi nahis kwa bongo na africa mashariki akuna wakumgusa
Hakika Rubby hana mpinzani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu kwenye ishu ya kuperform live yule dada ruby n kiboko mi nahis kwa bongo na africa mashariki akuna wakumgusa
Hii ya kuimba live inalipa kweli......maana nikienda baa ndio nakutana na live band halafu kiingilio kinywaji
Last year alikuwa Rayvanny leo Mondi Essence festival 2020.
View attachment 1483985
Kuna kipindi alikuwa ana bendi anaimba nayo live ila siku hizi sijui vipi
Mnazungumzia jukwaa la EFM,yy amepata nafasi ktk jukwaa la Essence Festival........at the end of the day yote majukwaa ila hadhi tofauti.Ulicho kiweka sicho tuncho kijadili hapa mkuu!
True Mkuu Diamond mbunifu katika show zake na nadhani wakimwalika atapiga showa bora sana
Endelea kusubiri boti airportHabari za Usiku huu Wakuu Poleni kwa mihangaiko ya kutwa nzima,
Now nimeshaona show za Wasanii mbalimbali Kupitia Show ya Homa kupitia channel ya TV E!, Katika kuona kwangu sijamuona Diamond je? Zamu yake haijafika au ndo vile kuna kabifu hapo katikati ama vipi?
Wakuu mkimwona siku mnitag
Usiku mwema
Hiii KITU hiiChanzo cha bifu lao ni aibu kwelikweli.
K tu.!
Mondi alikula baby mama wa majizoNazani majizzo anamchukulia Diamond as competitor wake kwenye media ndo maana inakuwa Ni ngumu Sana kutokea Hilo lakini hii sababu Ni ya hovyo kwa sababu Ni still diamond Ni mwanamziki
Kama Ni hivyo mbona alikuwa anapiga ngoma zake kwanini sasa hiv apigi?Mondi alikula baby mama wa majizo
FULL STOP