Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Halafu innocent dependent atakuja kukwambia aliimba live..!Yeah ile ilikuwa playback nilicheck behind the scene mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu innocent dependent atakuja kukwambia aliimba live..!Yeah ile ilikuwa playback nilicheck behind the scene mkuu
Nenda soma upya comment yangu wapi nimesema MTV base aliimba live bandHalafu innocent dependent atakuja kukwambia aliimba live..!
Ukweli ni kwamba mondi hajui kuimba live ..huo ndo ukweliNenda soma upya comment yangu wapi nimesema MTV base aliimba live band
Labda uncle shamte amkaze vzur mama domo had anene kwa lugha, ndo angeimba live domo pale MTV.Halafu innocent dependent atakuja kukwambia aliimba live..!
Usimfananishe diamond na mambo ya ajabu,uliishudia jeje performance ya mtv base..?Mondi hawezi kuimba live...pale wanaweza imba wasanii wanaojua kuimba kwa live band
Acha porojo,yaani diamond ajifunze kwa ruby kuperform live?you can't be seriousWewe umeanza kumshabikia lini Diamond? Ukweli lazima usemwe Diamond ni msanii mzuri na perfomer mzuri sana hasa kwenye play back! Lakini kwa swala la kuimba live Diamond bado anatakiwa kujifunza kwa wengine wakina Jide, Ruby,Christian Bella na Barnaba
Diamond bado anayo nafasi ya kujifunza kuimba kwa vyombo vya muziki maana anafubdishika na ni mtu anaye jituma! Lakini kwa swala la kuimba na live band bado anahitaji kujifunza!
Nilimuona miaka ya nyuma alijitahidi sana show moja na msanii Jar press(kama sijakosea) nilidhani ataendelea kujifunza kwakuwa ilikuwa ni good start! Diamond ana sumbuliwa na sauti kwenye kuimba live.... WCB hapo mwenye uwezo wa kuimba live muda mrefu ni Mboso maana ndio alikulia uko!
Huu ni ukweli ambao hata Diamond anaujua kabisa!
Kumbe haukuisikiliza....?Mkuu huyu jamaa sisi tumemwambia anabisha unapoteza muda wako bure..
Diamond ni msanii mkali mnoo na performer mzuri lakini sio mzuri akiwa live ila anajifunza tuseme .
Kumbe hata ile show ya MTV aliofanyia home ..hakuimba live pia ilikuwa playback na live pia maana angeimba live lazima angepitwa na ile Bridge ..
Tuseme ukweli sio chuki
Wapi nimesema sikuiskliza??.Kumbe haukuisikiliza....?
Live na ndomana akawa best performerWapi nimesema sikuiskliza??.
Ilikuwa live ama playback??
Ujinga ni mzigoo baki na ujinga wakoLive na ndomana akawa best performer
Acha porojo,yaani diamond ajifunze kwa ruby kuperform live?you can't be serious
Wewe umeanza kumshabikia lini Diamond? Ukweli lazima usemwe Diamond ni msanii mzuri na perfomer mzuri sana hasa kwenye play back! Lakini kwa swala la kuimba live Diamond bado anatakiwa kujifunza kwa wengine wakina Jide, Ruby,Christian Bella na Barnaba
Diamond bado anayo nafasi ya kujifunza kuimba kwa vyombo vya muziki maana anafubdishika na ni mtu anaye jituma! Lakini kwa swala la kuimba na live band bado anahitaji kujifunza!
Nilimuona miaka ya nyuma alijitahidi sana show moja na msanii Jar press(kama sijakosea) nilidhani ataendelea kujifunza kwakuwa ilikuwa ni good start! Diamond ana sumbuliwa na sauti kwenye kuimba live.... WCB hapo mwenye uwezo wa kuimba live muda mrefu ni Mboso maana ndio alikulia uko!
Huu ni ukweli ambao hata Diamond anaujua kabisa!
Mkuu kwenye ishu ya kuperform live yule dada ruby n kiboko mi nahis kwa bongo na africa mashariki akuna wakumgusaAcha porojo,yaani diamond ajifunze kwa ruby kuperform live?you can't be serious
Hajui kuimba live ataaibika bure . Kazoea kuimba na CD.Habari za Usiku huu Wakuu Poleni kwa mihangaiko ya kutwa nzima,
Now nimeshaona show za Wasanii mbalimbali Kupitia Show ya Homa kupitia channel ya TV E!, Katika kuona kwangu sijamuona Diamond je? Zamu yake haijafika au ndo vile kuna kabifu hapo katikati ama vipi?
Wakuu mkimwona siku mnitag
Usiku mwema
Kama ataimba na CD. Ila CD ikikwama ndo Basi tena. Msanii wa playback yule akiimba live duuu atapata aibu bya karneYaani kwa jinsi Diamond anapenda masifa siku wakimuita atapiga show bora kabisa kuwahi kutokea katika hicho kipindi cha homa , yaani waisidiriki kumuita maana atawatia aibu plus adabu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ya kuimba live inalipa kweli......maana nikienda baa ndio nakutana na live band halafu kiingilio kinywajiI can’t be serious because you think Diamond knows everything and he is the king of everything! Hivi kweli kama wewe unajua muziki unaweza kudiriki kusema Diamond awezi kujifunza kitu kutoka kwa Ruby?
Hivi kweli Diamond anaweza mfikia Ruby kuimba Live hata chembe? Hivi unajua kweli kinacho ongelewa? Diamond ni good perfomer lakini kamwe awezi kumfikia Ruby kuimba hasa Live na band na kwa tanzania Ruby ni namba one tanzania kwa kuimba live na kuimba!
Hata Diamond anajua kabisa hamfiki kabisa Ruby kuimba.....:..:.......
Diamond analo lakujifunza kutoka kwa Ruby huu ndio ukweli!