Gang Chomba
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 20,649
- 4,786
- Thread starter
- #221
poa mzee tumekusikia lakini ac mnakazi mkivuka hiyo hatua ya mtoano mungu mkubwa...
kazi ndio wajibu wa AC Milan...
Subiri uone watu wazima watakavyokuwakilsha...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
poa mzee tumekusikia lakini ac mnakazi mkivuka hiyo hatua ya mtoano mungu mkubwa...
mkuu myao kumbe wewe ni shabiki wa kibibi poa mida :behindsofa:
Nyie mkakimbizane na kibibi kizee cha Turin ila kwa Gunners imekula kwenu!
Nyie mkakimbizane na kibibi kizee cha Turin ila kwa Gunners imekula kwenu!
Cna hofu na ACM kabisa,ninachowazia ni baada ya kukutoa wewe nitakutana na nani.poleni sana gooners lakini ndio mpira..
sijui itakuwaje..
View attachment 43529Viva RVP!
mi naongoza ligi kuu ya italia maarufu kama serie a.
Juve na Udinese mtajijuwa wenyewe na viporo vyenu hivyo
nimekusikia vibaya,nimesoma vibaya au nimechelewa kusoma hii taarifa?juve level zingine!kama nilivyowahi kusema hapo awali msimu huu katika serie A draw ndo kama tumefungwa!!!!!arsenal wanafurahia kupata ngazi ya kuingia hatua nyingine!wana dharau sana wanalibeza chama lako.....
mi naongoza ligi kuu ya italia maarufu kama serie a.
Juve na Udinese mtajijuwa wenyewe na viporo vyenu hivyo
Jiandae february Kukimbizwa kwenye Champions League na Hao wazee wako! Itakuwa zaidi ya 2008. GUNNERS.