Home of AC Milan, Official Thread

Home of AC Milan, Official Thread

mkuu Gang Chomba leo mtatoka kwa wacatalan au ndo tuombe droo...
 
Napori umewahona lakini?

napoli si timu ya kuomba kukutana nao kwa kipindi hiki wako sawasawa ni miongoni mwa timu zenye viungo ninaowakubali kiuchezaji!yule marek hamsik na gokhan inler ni injini na ule mtambo wao wa magoli unaonikumbusha enzi za herman crespo!edinson cavani mzee wa kutupia!.....
 
nachungulia ghetto la barca mpaka dakika hii naona mtu mzima milan keshalainika sijui kama atatoka leo!keshalaliwa kimoko dakika 20
 
pole sana kijana mmeshindwa kuwa dunda kwao wamekuja kwenu kuwa alibia bora mmepita..
 
kume gang chomba amepigwa ban baada ya kupihana kiswaili na feiza foksi.
Nimeeemkuta maeneo sinza na kama awaida yake alikua kawakusaNya wa2 uku anatama na lekodi ya as milan.
naleo wamebakuwa kwao asa sipatipicha kama angeuepo angekuja na polojo gani
 
genoa vs ac milan.
Genoa amefugwa 2-0
Sasa milan wanaongoza ligi
 
mwenye timu yake sjui siku izi yuwapi?
Maana siskii mbwembwe za zake anapoifagilia Milan na kudai kuwa timu toka Mbinguni
 
wametangulizwa kwa baiskeli ya mtu kina gang chomba..
 
hata ingekuwa baiskeli ya barafu jangwani, ila ukweli haupingiki Milan wanaongoza ligi
 
hata ingekuwa baiskeli ya barafu jangwani, ila ukweli haupingiki Milan wanaongoza ligi

kwa hiyo vibibi vya tulin mnaviombea kufungwa maana mna mchezo mmoja mbele :lol:
cheki hapa halafu uone http://www.m.goal.com/s/en/standings/69
 
nimependa zaidi kile kifaa artulo Vidar Pardo.
Dogo anajuwa ile mbaya
 
1. AC Milan
2. Inter Milan
3. SSC Napoli.

Hizi ni timu toka Italy.
Zinacheza Ligi ya Italia maarufu kama Serie A.

Milan ni Baba wa mafanikio ya Soka ulimwenguni, amefuzu kuingia raundi ya mtoano ya klabu bingwa barani ulaya msimu huu akishika nafasi ya pili ktk kundi lake.

Inter pia amefanikiwa kuingia ktk hatua ya mtoano akishikilia nafasi ya kwanza.

orchestre Napoli Musica wao pia wameweza kuwafunga midomo mahasidi na washambenga waliokuwa wanasema kuwa Soka la timu za Italy limekwisha.
Napoli Zemunda walikuwa kwenye kundi la kifo likizijumlisha timu kama Villareal toka spain, Man City toka Uingereza na Bavaria toka Munich Ujerumani.
Wengi wa wacheza kamari ama watabiri walionyesha wazi kuwa Bayern na Man City wangeweza fuzu ktk kundi hilo, lakini usugu wa Napoli ulipelekea ulimwengu kuamini kuwa sasa Buluda karudi.

Napoli waliweza kupambana vizuri na kuwanyuka Man City, na kuwanyuka Villareal ktk mechi zote mbili.
Pia walipata sare ktk mechi moja ya Bayern na mechi moja na Man City.
Walifungwa magoli matatu kwa mawili na Bayern.
Hivyo wakafuzu wakiwa na Point 11.
Kukaa muda mrefu na ushirikiano wa akina Hugo armando Campagnaro, Paolo Canavaro, Dossena, Isler, Maggio, De Sanctis, Hamsik, Lavezzi, aronica, gargano, zuniga kulipelekea Napoli kufanya vizuri na kuvutia watu wengi.

Kwa niaba ya washabiki wooote wa soka la Italia napenda kuzipongeza timu hizi tatu kwa kufanya vizuri.
Ila pongezi za pekee ziwafikie ngoma ngumu SSC Napoli.
 
1. AC Milan
2. Inter Milan
3. SSC Napoli.

Hizi ni timu toka Italy.
Zinacheza Ligi ya Italia maarufu kama Serie A.

Milan ni Baba wa mafanikio ya Soka ulimwenguni, amefuzu kuingia raundi ya mtoano ya klabu bingwa barani ulaya msimu huu akishika nafasi ya pili ktk kundi lake.

Inter pia amefanikiwa kuingia ktk hatua ya mtoano akishikilia nafasi ya kwanza.

orchestre Napoli Musica wao pia wameweza kuwafunga midomo mahasidi na washambenga waliokuwa wanasema kuwa Soka la timu za Italy limekwisha.
Napoli Zemunda walikuwa kwenye kundi la kifo likizijumlisha timu kama Villareal toka spain, Man City toka Uingereza na Bavaria toka Munich Ujerumani.
Wengi wa wacheza kamari ama watabiri walionyesha wazi kuwa Bayern na Man City wangeweza fuzu ktk kundi hilo, lakini usugu wa Napoli ulipelekea ulimwengu kuamini kuwa sasa Buluda karudi.

Napoli waliweza kupambana vizuri na kuwanyuka Man City, na kuwanyuka Villareal ktk mechi zote mbili.
Pia walipata sare ktk mechi moja ya Bayern na mechi moja na Man City.
Walifungwa magoli matatu kwa mawili na Bayern.
Hivyo wakafuzu wakiwa na Point 11.
Kukaa muda mrefu na ushirikiano wa akina Hugo armando Campagnaro, Paolo Canavaro, Dossena, Isler, Maggio, De Sanctis, Hamsik, Lavezzi, aronica, gargano, zuniga kulipelekea Napoli kufanya vizuri na kuvutia watu wengi.

Kwa niaba ya washabiki wooote wa soka la Italia napenda kuzipongeza timu hizi tatu kwa kufanya vizuri.
Ila pongezi za pekee ziwafikie ngoma ngumu SSC Napoli.

poa mzee tumekusikia lakini ac mnakazi mkivuka hiyo hatua ya mtoano mungu mkubwa...
 
Back
Top Bottom