Gang Chomba
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 20,649
- 4,786
- Thread starter
- #161
hawa jamaa ni noma sijui itakuwa kwao Napoli siku ya marudiano..
Napoli wanaponipa wasiwasi ni kitendi chao cha timu yao kuwa hiyohiyo kila mechi.
Yaani nikilala na kuamka najuwa lazima Golini awe de Sanctis, mabeki ndio walewale kina Paolo Canavaro, hugo armando campagnaro, viungo ndio kina Inler, maggio, Hamsik, Lavezzi, Zuniga sijui na mtu wao wa mbele sina haja ya kulitaja kutokana na kitendo alichonifanyia msimu huu.
Ila all in all heshima nawapa.
Na nawatakia kila la kheri ktk tashtiti zao