Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wametufungwa 2-0 lakini kwa taaaaaaaabu...
kwa tabu ila na mimba juu!.....conte ni mwalimu si msimamizi wa mazoezi nadhani umeona jinsi alivyoisuka juve akitumia wakongwe kadhaa!wanadefend kwa pamoja na kushambulia pamoja katikati mipira haikai ikimkuta fundi pirlo ni kuitupia nusu ya pili ya uwanja huko ni vipaji na kusumbua ngome ya ulinzi wa timu pinzani!....jembe ac milan inahitaji injini mbili moja ndo mmetuuzia pirlo!mna kazi kubwa nyie na inter!
Myao Conte kachanganya wazee gani?
Timu yao woote ni damu changa wale na mzee ni Pirlo na Gigi golini.
So huwezi kuwafananisha na Milan ambao wachezaji wao 6 tu yaani Abiati, Ambrosini, Nesta, Zambrotta, van Bommel na Seedorf ukijumlisha miaka yao ya kuzaliwa utapata miaka 208.
Milan kwa sasa ni usugu tu ndio tumebakia nao lakini haraka iwezekanavyo timu ya kwanza wanatakiwa waanze kina Taiwo kwa Zambrotta, Flamini kwa Van Bommel, Nocerino kwa Gatusso, Mexes kwa Nesta na Robinho kwa Seedorf.
Pia kuna baadhi ya wachezaji ni marufuku kucheza.
Wachezaji hao ni Luka Antonini na Daniele Bonera.
Juve mlipata unafuu wa mechi baada ya mkulungwa Nesta kutoka na kisha Bonera kutupiwa ndani na antonini kuingia shavu la kulia.
Kwa hiyo Juve wakafanikiwa hata kupiga zile one-two kwa kuwa tu hakukuwa na Nesta.
hakika Kwa sasa Maldini, Baresi na Costacurta wanatakiwa wawepo ktk kila mechi ili kuhakikisha wanaihamasisha timu.
Alegri peke yake hawezi liongoza jahazi la Milan.
Ndetichia juve wanaongoza Ligi huku wakiwa wanambwela...
ado ado mpaka ndoo tunabeba msimu huu juve!
uefa champions league result...
lille 0-1 inter...
Napoli 1-1 Bayern...