Gang Chomba
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 20,649
- 4,786
- Thread starter
- #101
<br />naona inter alitangulizwa na baiskeli ya mbao dereva sneider kuvika kilima ibrahimovic kona ya boateng pumzi imekata.......napata hisia msimu huu ac milan watafanya vizuri sana!
<br />
absolutely Yes...
Mwaka wa Milan huu.
Na tulichomfanyia Inter pale Beijing Stadium ni salaam tu kuwa Buluda anakuja kuongeza idadi ya makombe ya kimataifa kabatini mwake.