Home of AC Milan, Official Thread

Home of AC Milan, Official Thread

mwaka wa njaa kwa milan!!!kwani JUVE kileleni ndo hatung'oki!hao arsenal nao wana njaa ya mafanikio chini ya uongozi wa dutch master RVP mshambuliaji mwenye njaa anayeweza kukuua kwa style yeyote aidha mguu wa kulia au kushoto,ndani ya 18 au kutoka mbali,hana impossible angle yeye anatupia tu popote atapoliangalia goli!!!!mbio za WALCOT na CHAMBERLAIN ndo silaha itayowaumiza MILAN

Anafahamika kwa majina Alesandro Nesta.
Inaaminika na kusadikika kuwa tangu aondoke Franco Baresi basi hakuna kama.

Hewani anakwenda, uvunguni ndio bingwa, anajuwa kupanga ukuta, anapiga mitungi kwenye 18 ya mahasidi.

Mara yako ya mwisho kuona anapewa kadi nyekundu ni lini?
Huyo ndio dawa ya kina Chembalaini.
 
AC Milan have signed midfielder Sulley Muntari on
loan from city-rivals Inter until the end of the
season. Ghana international Muntari, whose contract with
Inter expires in the summer, as made just four
appearances in Serie A for the Nerazzurri this
season. "AC Milan announces it has acquired Sulley Muntari
on a temporary loan," the Rossoneri said in a
statement. Milan opted to make a move for the 27-year-old
after losing midfielder Alexander Merkel last week
to a knee injury for two months. Merkel only returned to Milan earlier this month in
joint ownership from Genoa with the Rossoneri
facing a shortage in midfield due to the injury
problems of Mathieu Flamini, Gennaro Gattuso and
Alberto Aquilani. Former Sunderland player Muntari becomes Milan's
fifth reinforcement in the winter transfer market
and their second of the day after teenage Austrian
striker Philipp Prosenik joined from Chelsea.
 
AC Milan have signed midfielder Sulley Muntari on
loan from city-rivals Inter until the end of the
season. Ghana international Muntari, whose contract with
Inter expires in the summer, as made just four
appearances in Serie A for the Nerazzurri this
season. "AC Milan announces it has acquired Sulley Muntari
on a temporary loan," the Rossoneri said in a
statement. Milan opted to make a move for the 27-year-old
after losing midfielder Alexander Merkel last week
to a knee injury for two months. Merkel only returned to Milan earlier this month in
joint ownership from Genoa with the Rossoneri
facing a shortage in midfield due to the injury
problems of Mathieu Flamini, Gennaro Gattuso and
Alberto Aquilani. Former Sunderland player Muntari becomes Milan's
fifth reinforcement in the winter transfer market
and their second of the day after teenage Austrian
striker Philipp Prosenik joined from Chelsea.

mkuu GC vipi upo long time no see you...
 
kaka angalia arsenal ,mana waingereza wengi wanakusumbua sana ucl(champs ligi)ukiacha man utd kumfunga 2005 home and away na 2007 kumtoa semi,ila leeds,chelsea,arsenal,spurs,liverpool japo ulilipiza kisasi na man utd nae kakuchapa home and away 2010 ila nawaamini waitaly wazee wa soka la kujipanga
AC Milan have signed midfielder Sulley Muntari on
loan from city-rivals Inter until the end of the
season. Ghana international Muntari, whose contract with
Inter expires in the summer, as made just four
appearances in Serie A for the Nerazzurri this
season. "AC Milan announces it has acquired Sulley Muntari
on a temporary loan," the Rossoneri said in a
statement. Milan opted to make a move for the 27-year-old
after losing midfielder Alexander Merkel last week
to a knee injury for two months. Merkel only returned to Milan earlier this month in
joint ownership from Genoa with the Rossoneri
facing a shortage in midfield due to the injury
problems of Mathieu Flamini, Gennaro Gattuso and
Alberto Aquilani. Former Sunderland player Muntari becomes Milan's
fifth reinforcement in the winter transfer market
and their second of the day after teenage Austrian
striker Philipp Prosenik joined from Chelsea.
 
Anafahamika kwa majina Alesandro Nesta.
Inaaminika na kusadikika kuwa tangu aondoke Franco Baresi basi hakuna kama.

Hewani anakwenda, uvunguni ndio bingwa, anajuwa kupanga ukuta, anapiga mitungi kwenye 18 ya mahasidi.

Mara yako ya mwisho kuona anapewa kadi nyekundu ni lini?
Huyo ndio dawa ya kina Chembalaini.

Nesti ataunga tela kwa Chengaline!

Every rule has an exception - even 'old is gold'!
 
Nesti ataunga tela kwa Chengaline!

Every rule has an exception - even 'old is gold'!

Hilo jina ulilomwandika hapo unatakiwa ulifanyie marekebisho ya haraka.

Ingekuwa ni ktk viunga vya Milan basi ungehukumiwa kwa sheria za zile za pontio Pilato
 
gang chomba matokeo ya nusu fainali ya copa italia umeyapata?
Kama bado basi mi naona nikupe tu so ukitapiga au ukiharisha hilo ni la kwako.

Milan 1-2 Juventus
 
Udinese 1-2 AC Milan: Maxi Lopez and El Shaarawy
seal magnificent comeback win as champions go top
of Serie A.

Kila mwenye chuki na siie
Ujumbe huu umfikie
Kila mwenye chuki na siie
ujumbe huu umfikie

Mtazidi kutuchukiia
Na Dunia mtaiona chungu

Weeeh
Kindumbwe ndumbwe
Kindumbwe ndumbwe
 
countdown - 2 days left, milan kutunguliwa na mitutu ya gunners!
 
gang chomba mafichoni - leo ndio leo asemaye kesho mwongo !
 
"I'm not scared of Arsenal," Boateng told The Sun.
"The problem with Arsenal is one day they play
amazing football and then they play really badly.
In the end they don't have balance. They either
play unbelievable football or they don't know
what they're doing. "It comes down to inexperience. Arsenal don't
know what you have to do to win titles - they're
always close but they break down. The players are
young, hungry, but don't know how to break this
target. Without the experience it's difficult. "There's always something missing at Arsenal.
That bit is the experience - we have so much of
that at Milan and that is what they need."
 
arse8 mkae mkijuwa mnacheza na timu yenye mafanikio zaidi hapa ulimwenguni.

Mkae mkijuwa mnacheza na timu ilochezewa na nyota wengi zaidi hapa ulimwenguni.
 
arse8 mkae mkijuwa mnacheza na timu yenye mafanikio zaidi hapa ulimwenguni.

Mkae mkijuwa mnacheza na timu ilochezewa na nyota wengi zaidi hapa ulimwenguni.

mi nimebet leo arsenal anashinda nichukue mpunga wangu kwa mhindi kama 50000 hivi kwa hiyo sipendi mshinde hata kidogo..
 
Boateng told The Sun.
"The problem with Arsenal is one day they play
amazing football ..unbelievable football ... they're
always close..."

That day is today - another such day was this:

[TABLE="class: storycontent, width: 0"]
[TR]
[TD="colspan: 2"]AC Milan 0-2 Arsenal (agg 0-2)

[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: storybody"][TABLE="width: 416"]
[TR]
[TD]By Phil McNulty[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
999999.gif


Arsenal struck twice late on to become the first English team to beat AC Milan in the San Siro and deservedly reach the last eight of the Champions League

BBC SPORT | Football | Europe | AC Milan 0-2 Arsenal (agg 0-2)
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
Kila mwenye chuki na siie
Ujumbe huu umfikie
Kila mwenye chuki na siie
ujumbe huu umfikie

Mtazidi kutuchukiia
Na Dunia mtaiona chungu

Weeeh
Kindumbwe ndumbwe
Kindumbwe ndumbwe
 
Kila mwenye chuki na siie
Ujumbe huu umfikie
Kila mwenye chuki na siie
ujumbe huu umfikie

Mtazidi kutuchukiia
Na Dunia mtaiona chungu

Weeeh
Kindumbwe ndumbwe
Kindumbwe ndumbwe

haha chomba .. mmetubahatisha sansiro kumbuka mpira wa duara... jiangalieni Emirates...
 
Back
Top Bottom