Home of AC Milan, Official Thread

kaka kuna soka la msimu.mwaka huu wana msimu mzuri.tuache ushabiki ujerumani wana timu kali sana msimu huu.hasa dortmund na bayern.zifuatilie.
ujerumani siku zote,vilabu hadi timu ya taifa zinaanza kwa kasi mwisho wake zinafungwa,mbona hao bayern miaka yote wakali wamepoteza final 2 ikiwepo 1 kwao.
 
ujerumani siku zote,vilabu hadi timu ya taifa zinaanza kwa kasi mwisho wake zinafungwa,mbona hao bayern miaka yote wakali wamepoteza final 2 ikiwepo 1 kwao.


Gutierez sema wewe mwanakwetu ambaye ni mspain...
ningesema mimi ningeambiwa Buluda
 
Galliani: “The wind changed direction”

ADRIANO GALLIANI believes the tough period is
behind Milan and reveals the January market
strategy. Milan started the season very poorly but
the past week has been positive for the Rossoneri
as they picked 4 points from games against Napoli
and Juve and reached the Champions League knock out stage.....................
 
hiki ndicho kikosi kitakachocheza na Zenith leo...
Christian Abbiati; Mattia De Sciglio, Cristian Zapata,
Francesco Acerbi, Djamel Mesbah; Mathieu Flamini,
Massimo Ambrosini, Urby Emanuelson; Kevin-Prince
Boateng, Giampaolo Pazzini, Bojan Krkic.

Bench: Gabriel (GK) Yepes (DEF), Nocerino, N. de
Jong (MID), Robinho, El Shaarawy, Petagna (FW).
 
Mbona umetunyima matokeo ya hii mechi!
 
torino 2-4 Milan...
Ikumbukwe pia Milan walishambamiza kaka yake Torino yaani Juve kwa jumla ya goli 1-0.

Forza Milan
 
Milan 3-1 Reggina.
1. Yepes
2. Niang
3. Pazzini
 
all in all wanasema dobi wa kweli utamjuwa siku akipewa nguo nyeupe...
uefa champs ligi tarehe 20 february 2013 san siro na marudiano 12 march 2013 pale nou camp ndio tutamjuwa Dobi wa kweli hapo kama ni Messi au Shaawary
I wish Cesar Rodrigues Alvares angekuwepo na amuone huyu Messi alivyovunja rekodi yake, nadhani sifa ambazo angemmwagia basi hakuna ambaye angezipata Duniani hata Chitalu.
 


Hah hah haaaah Gutierez fahamu kuwa ulianza ufizi kisha likaja jino...
Milan ni ngoma ngumu zaidi ya Barca
 
Gang chomba pole kwa kuaga mashindano.. Mziki uliopewa na Uefa kibongo bongo tungesema umeonewa maana huyo messi anavyotafuta sifa... Kama nawaona mtavyoutafuta mpira kwa tochi maana watoto wanagonga pasi wale sina hamu nao
 
wanaweza pata bahati ya mtende maana washaanza kutoa makocha kafala ngoja tuone milan watapigwa nne tena au safari hii watapigana na ngumi uwanjani..
 
Hahahha na hauwezi kula muwa bila kukosa fundo


Sawa boss...
Naomba tu Refa awe Fair katika maamuzi yake, na yasije yakajitokeza yale ya last season ambapo kona ilikuwa haijapigwa then huku mwamuzi akaamuru penati.
 
Sawa boss...
Naomba tu Refa awe Fair katika maamuzi yake, na yasije yakajitokeza yale ya last season ambapo kona ilikuwa haijapigwa then huku mwamuzi akaamuru penati.
Haya hata mkipendekeza mechi zote mbili home and away zipigwe Turati Road Giusseppe Meazza sawa tu!
 
Haya kipute kishaaanza ( Roma
Vs Ac Milan) .


Sent from my Nokia 8310 using Tapatalk
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…