ujerumani siku zote,vilabu hadi timu ya taifa zinaanza kwa kasi mwisho wake zinafungwa,mbona hao bayern miaka yote wakali wamepoteza final 2 ikiwepo 1 kwao.kaka kuna soka la msimu.mwaka huu wana msimu mzuri.tuache ushabiki ujerumani wana timu kali sana msimu huu.hasa dortmund na bayern.zifuatilie.