Gang Chomba
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 20,649
- 4,786
- Thread starter
-
- #1,461
'Balotelli has cost me 35m!' - Berlusconi angry over collapse of Premier League move
http://www.goal.com/en-gb/news/article?contentId=4935035
the storm is over
dah! Loong tym kweli mkuu! Hapo juu kabisa fanya editing kwenye nafasi ya kocha. Baloteli kaondoka, ni nafuu kwenu, kwani jamaa alikuwa mvivu. Vp msimu huu, tutegemee nini?
Mie naimani Fenando Torres atakuwa mkali Ac Milan si kwa sababu Red ndio inampendeza nafikiri Chelsea wamefanya deal nzuri sababu akiweza kufanya vizuri kuna moja wapo Price kupanda kwenda kwengine au Kubaki Ac Milan na price kupanda kidogo au kumrudisha tena Chelsea ila sizani Kama atarudi asipoweza huko hatoweza tena kokote.
Mie naimani Fenando Torres atakuwa mkali Ac Milan si kwa sababu Red ndio inampendeza nafikiri Chelsea wamefanya deal nzuri sababu akiweza kufanya vizuri kuna moja wapo Price kupanda kwenda kwengine au Kubaki Ac Milan na price kupanda kidogo au kumrudisha tena Chelsea ila sizani Kama atarudi asipoweza huko hatoweza tena kokote.
sio tu kuziba, bali kusafisha na kutakatisha michirizi yoote iliotanda kwenye meno ambayo ilisababishwa na uvutaji wa Bangi...
Haya maneno yako ya kwenye kigodoro subiri yakianza kukutokea puani. pachanya Ziroseventytwo juve2012 na obwato mukuje huku mkutane na mbwembwe na tambo za huyu buluda mkongwe aliyeanza kutokwa na ndevu za masikioni
Nimeangalia game ya jana nimefurahishwa na viwango vya Menez na SES but still defence bado haijakaa vizuri.Timu inaleta matumaini naamini msimu huu Inzaghi akipewa support atairudisha Milan mahali pake
Milan wamnasa kinda wa Atalanta...
Giacommo Bonaventura amejiunga na klabu ya AC Milan na kukamilisha ndoto yake ya kuchezea klabu kubwa Milan.