Gang Chomba
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 20,649
- 4,786
- Thread starter
- #381
haha kwa ile game ,mliyocheza jana shekh nakuhakikishia Nou camp hamtoki...!! mtalala zaidi ya goli tatu ... ukibisha ni ujeuri huo..! labda fitna itumike!
Milan hawajawahi kufungwa ktk hatua ya robo fainali pale Sansiro.
So hata Barca wangekuwa 16 uwanjani wasingeshinda