Home Shopping Centre wazusha taharuki Kariakoo

Chezea biashara za wakubwa wewe?
 
Sasa hivi container lazima ikaguliwe ndio itoke. HSC na kampuni yake ya usafirishaji Silent road hauliers wamekuwa wakidanganya kodi na hata Tanroad kitengo cha mizani wanakula nao, wana overload sana na container za cement ya pakistan.
 

Mkuu Mwakyembe anahusika vipi na TRA naomba ufafanuzi.
 
Mkuu Mwakyembe anahusika vipi na TRA naomba ufafanuzi.

Mkuu Ritz acha sihasa k.koo mizigo imekwama bandarini baada ya hawa jamaa kuhodhi biashara ya clearing otherwise una hisa na HSC kuna siku nakumbuka ulitamka unaganga njaa k.koo. Sasa hivi maduka hayana mali mpya. Mwakyembe amekomaa na TISCS wanao pakua mizigo kwenye meli HSC wanakwepa kulipa ushuru container la Nguo la thamani dola laki 4 linaandikwa toilet paper jamaa wa HSC analipa mil.7
 
Last edited by a moderator:
Wivu unaea sumbua enyi kizazi cha kitumwa

Ukweli upo wazi nenda k.koo kesho kaulize nani bingwa wa kutoa mizigo bandarini na kama uamini uliza clearing forwards mizigo ya k.koo kikubwa hawa HSC wanakwepa ushuru.
 
Wivu unaea sumbua enyi kizazi cha kitumwa

watumwa wa wayahudi
 
Mkuu, mbona wewe ni mkongwe humu jf, unashangaa? Tulishajadili kitambo kidogo ifisadi wa hawa hsc, tukaweka na ushahidi. Pekua thread, utaikuta

Hawa jamaa wanakwepa sana kodi canter za HSC hata polisi huwa hawasimamisha wanaelewa kilichomo na nani anakula escot money
 
Sio kweli huyu jamaa namjua wala HSC haina leseni ya uwakala wa mizigo yeye ana shipping agencies China na Dubai na sio dhambi mtu kufungua biahara nje ya nchi
 

Mimi ni mfanyabiashara na nimefanya biashara na maagent wengi na hawa maclering wanazingua sana mambo yangu hapa ni machache kama ifuatavyo...
1. Hapa tusichanganye mambo ya vita za madaraka ya ukamishna wa tra, vita ya maclearing na maisha ya maskini
2. Hakuna asiyejua masamaki alikuwa manager wa mafuta na alivyokuwa anapitisha mafuta bure! Leo mafuta yanapita na mzigo wote anahamishia kwenye makontena
3. Hakuna asiyejua ubabaishaji, wizi, utapeli na rushwa wa BAADHI ya maclearing, kama ametokea clearing mwaminifu lazma biashara itahamia kwake
4. Maclearing wengi ni mawakala wa rushwa za macustom officer ! Hawawezi kumpenda mtu straight.
Sasa vita zao wasiingize na sisi maskini watuache tufanye kazi vita zao wamalizane wao wenyewe ...
 

HAPA TUNAJICHANGANYA SANA WATU WANAKAZANA HOME SHOPPING CENTRE HEMBU ONA HAPA
1.Tatizo hakuna kiongozi anayenunua nguo kariakoo, sio waziri,kitilya, kamishna wala wake zao wala watoto wao. Hapa bei ikipanda maskini ndio watatembea peku na uchi, sio mawaziri. Nchi hii tumeamini maskini hana haki. Viongozi wetu hawatuthamini.
2. Hapa wananunua maskini shati 2500 , yeboyebo 2000! Sasa tupige hesabu yeboyebo hata kama zinaingia 10000 ndani ya kontena inakuwa 20m, sasa kodi 45% mtu anakuambia ulipe 90m kodi unazitoa wapi. Waje hapa waziri na kamishna tupige hesabu.
3. Hela zetu za mikopo, tunalea wazee wetu vijijini, mnataka wafe?
 
Huu ni umbea mwingine HSC ilikuwapo kabla hata mkuu wa kaya unayemsema kuingia madarakani na walikuwa wapo vizuri ile mbaya jamaa wamejipanga wanapiga kazi na ndio mana wanasikikafanyeniresearch na muache kurukia habari nendeni TRA mkacheki wanalipa kodi zote VAT, MAPATO,PAYE,NSSF etc kwa muyjibu wa sheria acheni chukibinafsi watanzania tufanye kazi..
 

WATU HAWAPENDI KUJUA UKWELI lakini hili halipingiki
1. Hapa issue ni makontena kukwama kwa kuongezwa bei na maafisa wa custom kwa sababu wanazojua wao. Aidha wanamrudisha nyuma Mhe. JK kwa kutaka achukiwe na maskini
2. Wenye makontena ni wafanyabiashara na si maagent
 
Mbona hii ishu ishaisha? Wafanyabiashara wa k.koo wameambiwa watapewa mizigo yao wasubir upepo upite tu kila kitu kiko sawa.
 

Nyunzo,

Wapi nimeleta siasa? Wewe kuongea siyo siasa? Usipende kuokota maneno mtaani ndugu yangu, mimi sigangi njaa kkoo, kama unachosema ni uhakika basi wasaidie serikali kuwaonyesha wanavyokwepa ushuru.

Mwakiyembe ahusuki usitake kudanganya watu issue ni maangent na kamishna wa TRA, Mwakyembe yeye kitengo chake kwenye kuifadhi makontena siyo kulipia mizigo.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…