HSC wanakampuni kibao za Clearing bandarini pale, wafanyabiashara wanalazimika kuwatumia hawa jamaa kutokana na kuwa na mkono TRA na wakubwa wa wizara ya fedha. Ukijifanya unatumia kampuni nyingine kwa wafanyabiashara wa nguo, viatu, pazia na vinginevyo utapigwa ushuru wa kufa mtu. Ila ukitumia HSC container la nguo au kitenge unalipa mil.28 tunaambiwa jamaa yeye anacheza na wakubwa wa TRA anasema container lina Tooth pick au toilet paper yeye analipa TRA mil.7 dah kumbe zigo linathamani ya dola 170,000/= ishu ya Mwakyembe kuanza kukagua container imeanza kumuumbua bwana HSC na wakubwa wa TRA imesababisha taharuki kwa wafanya biashara k.koo mizigo imezuiliwa na biashara imesimama. Serikali imepoteza sana mapato juu ya hawa jamaa HSC wanakula pia na polisi wanasindikiza toilet paper kumbe nguo au vitenge au tv au friji.
Mkuu Mwakyembe anahusika vipi na TRA naomba ufafanuzi.
Wivu unaea sumbua enyi kizazi cha kitumwa
Mkuu, mbona wewe ni mkongwe humu jf, unashangaa? Tulishajadili kitambo kidogo ifisadi wa hawa hsc, tukaweka na ushahidi. Pekua thread, utaikutaMmh is it true?? Siamini.
Wivu unaea sumbua enyi kizazi cha kitumwa
watumwa wa wayahudi
Mkuu, mbona wewe ni mkongwe humu jf, unashangaa? Tulishajadili kitambo kidogo ifisadi wa hawa hsc, tukaweka na ushahidi. Pekua thread, utaikuta
Mkuu Mtoi ndivyo ilivyo hali ni mbaya bandarini baada ya container za HSC kukamatwa zikiwa wame declare
vyandarua na wayamesh wakati ndani kuna vitenge na makapeti,hata saa hii kuna mkutano kati ya waziri wa
fedha Mgimwa na madirector wa makampuni ya Clearing and forwarding kinaendelea kwenye ofisi za wizara ya
fedha.Na document zao zilikuwa zinapigwa direct Release zote hazikuwa zinakaguliwa,baada ya ofisa mmoja wa
TRA kushtuka akaamua kukagua ndio balaa lilipoanzia na container zao nyingi zimekuwa seized bandarini,na
kumekuwa na shinikizo toka kwa wakubwa serikalini kwamba container ziachiliwe,lakini hongera kwa commissioner
wa customs ndugu Masamaki amewagomea kuzitoa.Issue ndio kwanza iko hot'
kwa kifup tu hawa jamaa mimi nimefanya nao kaz tangu mwaka 2007 wananisafirishia mizigo yangu toka china na dubai. ukwel kama alivyosema jamaa mmoja hapo juu ni kwamba kwa kias flan wanawasaidia Wtz masikin kupata hela na matajir pia ila njia anazotumia kuwapa utajir ni kwa kukwepa kodi kwa kusaidiana na baadhi ya watumish wa TRA wale wakubwa. wakat huo yeye kwa kuwaweka watu kati huko juu anapiga hela nyingi mno yaan unaibiwa mwenye mzigo na serikali hasa serikal. conteiner la nguo ni TshsMilion 17 kwa futi 20 lakn yeye anakuambia ni milion 19 au 20 lakn unatolewa on the sport ikifika. so kinachojitokeza serikalin wanabadilisha document wakishirikiana na watu wa TRA conteiner la nguo linabadilishwa linakuwa la cement so analipia milion 5 mpaka 7 za juu anawapa kidogo watumish nyingine zake. huu mchezo ameuanza cku akisaidiwa na Zakhia Megi kipindi akiwa wazir wa fedha. walichofanya wamemuuzia Riz 0ne hisa so wanaiba hela nyingi ni Mungu anajua. ingawaje ukwel mwingine mchungu ni kwamba kampun yake ndio inasuply karibu mizigo yote kkoo na posta so kumfungia ni kusababisha ombwe la mizigo sokon na pesa kupungua serikaln ushahd ni juz mwakiembe kakamata conteiner zake mia moja leo hii wamezuiliwa kutoa mizigo wk hiz mbili tu tayar imebid wazir wa fedha awaite wafanyabiashara aongee nao tatizo liko wapi. coz hazina haisomeki. na kwa kuwatonya nasikia hata mtoto wa mshua wakat anakamatwa china kama ni kweli hawa jamaa ofic yao ya china ndio iliratibu mazungumzo ya kuachiwa kwao.
Hapa kuna issue nyeti...itaiva siku siyo nyingi. Hayo ya HSC na Ikulu yamesemwa mara nyingi sana, hata gazeti moja, bila shaka ni Mwanahalisi ilishaandika sana jinsi kampuni hii ilivyo na uhusiano wa karibu na Mama Salma na Riz...na jamaa huwa wanaingia Ikulu kama kwao na hakuwa wa kuwahoji..
- na huwa ma-container yao huwa hayaruhusiwi kuguswa na wakaguzi wa pale bandarini. na pia kuna wafanyabiashara wa mikoani walishakubali kusafirishiwa bidhaa zao kwa bei chee kupitia kampuni ya HSC ya clearing na Forwarding then bidhaa zao zilipofika Dar, huwa hawapewi BL na vibali vingine halisi, kwa kuwa hawakuwa na vibali toka kwa HSC waliishia kupoteza bidhaa zao kwa kukamatwa na ndio walikasirika na kupasua majipu na uozo wa hawa jamaa...wanaenda ikulu kila mara ndio wanaenda kujadili deals.
- Kkoo wameotesha nyumba kama upepo...mojawapo ni jumba linalotazamana na Ben Mkapa Sec
- wanamiliki Benki (Amana Bank) na wanafanya kila biashara sasa...!
ipo siku yataisha tu haya
Mkuu Ritz acha sihasa k.koo mizigo imekwama bandarini baada ya hawa jamaa kuhodhi biashara ya clearing otherwise una hisa na HSC kuna siku nakumbuka ulitamka unaganga njaa k.koo. Sasa hivi maduka hayana mali mpya. Mwakyembe amekomaa na TISCS wanao pakua mizigo kwenye meli HSC wanakwepa kulipa ushuru container la Nguo la thamani dola laki 4 linaandikwa toilet paper jamaa wa HSC analipa mil.7