Home Shopping Centre wazusha taharuki Kariakoo

endelea kuamini hivi huku ukifanya utafiti wa ziada lakini ukifanikiwa kupata ukweli mpya uje tena hapa utuwekee. Itakuwa ni aibu kwako kama kweli mpaka leo hii hujawahi kusikia watu wakisema kuwa Tanzania ni nchi ambayo mtu anakuja na briefcase tupu na baada ya miaka miwili tu anageuka mwekezaji mkubwa na kurejea kwao akiwa milionea huku akiwaacha wananchi wa nchi hiyo wakizidiwa na umasikini
 
Huo ni ukweli kabisaa na sio uzushi mie nina maduka kariakoo hilo swala limemkuta huyu bwana na kwa kifupi kkoo mwezi mzima mizigo ilihadimika kabisaaaa sema sijui chanzo cha huyu bwana kugeukwa wakati siku zote walikua wanamlinda
 
😱😕 kazi akuna mjini washkaji zangu hoiii kibarua kinazidi ota nyasi, watu washazoea kwenda TPA deile nama FAO yao dahh! Kiburi kitawaisha na yule Duu wangu alivyopataaga kazi kule Samora atajutaa😀:thumbup:
 

Kumbe mi "tetesi"
 
Mungu wangu !!!! AMA KWELI HALAFU TUNALALAMIKA TU MASKINI KUMBE KUNA WANAONUFAIKA NA UTAJIRI WETU, SIKUBALI IFIKAPO MWAKA 2015, SIJAWAHI KUPIGA KURA TANGIA NIMEZALIWA MPK LEO HII NAKARIBIA 40, MUNGU ANIPE UHAI NA AFYA NJEMA NIKAFANIKISHE AZMA YANGU , Duuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuh!!!! IMENUMA SANA BORA MSINGEANDIKA HAPA Yaaaaaaaaaaaaaaaaaaani !!! nashindwa la kusema.
 

Acha utoto jiulize kinachowaliza wafanya biashara wengi wa KKoo sasa nini,wamdanganywa kutolewa mizigo
yao na kampuni za HSC kwa bei ya chini leo wanalia container zimezuiliwa port wanatakiwa kulipa pesa kibao,
Sababu ya hii skendo maofisa In charge wengi wa customs waliokuwa kwenye ICDS wamerudishwa customs
mapato house,wanachunguzwa.

Hakuna mtu anaonewa wivu ukweli ndio huo HSC wameshaiibia sana serikali kwa kutoa mizigo bila kulipa kodi
stahiki,sasa imefikia mwisho either walipe kodi au waache biashara'
Haiangaliwi sura ya mkulu wala ya Prince'
 
aisee hii issue ina faida na hasara sema inategemea unaizungumzia issue hii ukiwa katika upande gani..hii ndio bongo sasa
 
Mimi kuna watu nawafahamu wanafanya kazi TRA,Vijana wadogo tu wana mali za kutisha yaani unakuta mtu ana nyumba 8 hapa Dar na ana miaka 5 kazini, hizoni mbali ya utitiri wa magari na mapande makubwa ya ARDHI...nchi hii imeoza sana
 
Udhaifu mkubwa wa hii serikali katika kulinda vyanzo vyake vya mapato vimetuumiza sana kama nchi, nashngaa sana viongozi wetu kuona ni sawa kuomba omba kama wendawazimu huku wakishindwa kudhibiti mapato halali yenye heshima na utu hapa nyumbani...
 

Hatuna Ugomvi na uhusiano wao na Royal Family, Ugomvi tulio nao ni KUKWEPA KODI! Kama hawakwepi kodi wewe unadhani ni KWA NINI CONTAINER ZINASHIKILIWA? Ukweli ni kwamba wanakwepa kodi, tena sana! Wasitudanganye kwa misaada, aliyewaambia sisi tunahitaji misaada ni nani? WALIPE KODI WAACHE UJAMBAZI! @#@@#%^%^:yell:
 
Sasa naanza kuunganisha dot a HSC na yale mengi yalisemwa hapa jamvini kitambo kuhusu mahusiano ya huyu jamaa na baadhi ya watu mashuhuri nchini. Mods wanaweza kutusaidia kufufua zile thread kama hawajaweka kapuni.Unajua haya mambo ya kugawa hisa za bure ili kupata sauti ya kuiibia serikali yanatumika sana na wengi na si HSC alone!!! Haya mambo yataisha lini? Kila siku kodi wanakamuliwa watumishi wenye formal salaries, magari, na leseni mbalimbali huku tukiacha mapato makubwa ya ushuru wa bandari na kodi za mizigo zikiyeyuka tu.
 
Hawa vijana niwafanya Kazi for over 15years in freight business wanna experience na special offers,h
Mimi money ewe nilikua nina wasiwasi nao sana mwanzoni mapaka nilivyo peleleza Vipi Kazi wanafanya na kukuta ni hard work na trust waliojenga miaka yote ya nyuma
 
HABARi hizi sizakweli watanzania let's learn through experience...
haya jamac wanachukua mizigo Yao viwandani china whole sale,wanna special rate ya freight,that's why vitu val very cheap,wangekua wanaiba wasingeweza ku survive biashara miaka yote halo,wangapi matajiri wanakuja na kuondoka...
na Hawa vijana hii ni family business wako Kama mtu 8,Hawa vijana wamechangamka na gunwale haki Yao
 
Sasa unajibiwa hamna mtu aliye kwepa kodi,unaambiwa Vipi vijana walivyo jijenga kibiashara
kwani company haiwezi Kuwa successful mpaka ikwepe kodi....Hawa jamaa kismet kweli wanasaidia sana na wanapata support niyi hi from royal families
 
Sikweli Hizi ni fitina Kutoka wafanyabiashara wengine wakubwa wa Tz,ndio wanatafuta maneno kuaaribia Kazi vijana Hawa.........Hawa vijana been on the business for a very long time na hard work and trust ndio ilipowafikia hapa Kuwa successful.
hawa vijana nendeni Mkaone godawni zao watu wangapi wanaajiri na Vipi wakipiga Kazi...

Mimi Hawa vijana Kutwa ndio wananitolea ma container yangu na wako serious na Kazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…