Home Shopping Centre wazusha taharuki Kariakoo

Hivi hii noma inw connection yoyote na stanbic bank kariakoo branch?
 
Watanzania lazima tufikiri sana tunapoelekea na lazima tufikiri sana before we write our opinion or listen to rumours...
Haya ni maneno yanajengwa na wafanyabiashara wengine rivals wa Hawa vijana..
hawavijana wanajenga nchi na kuwapa Kazi watanzania wengi tuu faida zao za kibiashara zinatumiwa hapa hapa Tanzania which means they are business benefits/kuwanufaisha watanzania wote...
Mbona hatupigi makelele Kwenye machimbo ya gold,barrick ambapo Ndege Hutua uko uko shinyanga na ku chukka dhaabu zebu na kupelekwa marekani na nchi za europe...
point yangu ni tusiwakandamize watanzania wenzetu kibiashara.
 
We Bajuso hapa sio facebook.
 
Last edited by a moderator:
Habari nilizopata toka kwa wafabiashara wa kariakoo ambao ndio waathirika wa makontena yalioko bandarini ni kuwa...
1.hsc ni bingwa wa kukwepa kodi Tanzania.
2.wafanyabiashara wakiagiza vitenge,tv,jenereta au hardware yeye kwenye kulipa bandarini anaandika tishu au net za msaada hivyo kulipa kidogo au kutolipa kabisa.
3.hsc ni Kampuni toka ikulu na vigogo wastaafu.
4.hsc haijakamatwa kwa bahati mbaya, na Mwakyembe kubadili utawala bandarini sio bahati mbaya Bali ni mpango maalumu.
Na kilichofanya hiyo Kampuni kuanikwa hadhani ni kitendo cha kuingilia tenda za vigogo wenzie akiwemo Zakaria na ishu ya betri za taiga.
Zaidi ni kitendo cha kutukanwa Mwakyembe na mkurugenzi wa hsc kwa kuambiwa Siwezi kuongea na wewe (Mwakyembe) naongea na mkubwa wako (jk)
Hivyo Mwakyembe nae akaamua liwalo na liwe kama uwaziri nifukuzwe tu Makotena hayatoki mpaka yalipe kodi halali.

Lakini mpaka sasa baada ya sakata la takribani miezi miwili juzi makotena yameanza kutolewa.!
 
idawa, yameanza kutolewa ndiyo. Lakini cha ajabu wakati ina hand in mzigo wako nje ya nchi wanakupa invoice kutokana na ukubwa wa mzigo. Sasa mizigo imepandishwa bei by 50% na zaidi. Ina maana hongo na faini za kukwepa ushuru wamebebeshwa wateja. Hii sio haki kabisa na hakuna pa kukimbilia. Na wanajibu jeuri ile mbaya, wanasema uache mzigo siku saba na baada ya siku 14 wanauuza!
 
Last edited by a moderator:
Mkuu King'asti unachoongea ni kweli, maana awali kupitia hsc wafanyabiashara walikua wanalipa 20-25 milioni kwa kontena lakini sasa imelipuka mpaka 65-90 milioni.

Hapa zaidi anaeumizwa ni mlaji wa mwisho ambaye ni mtanzania maskini.

Hatuungi mkono ukwepaji wa kodi, lakini TRA lazima wajue hawamkomoi mfanyabiashara Bali mtumiaji wa mwisho.!!
 
Last edited by a moderator:
Watanzania tunaumia sana,

we have one of the highest tax rate compare all over Africa serekali yetu wamefanya tax na bandari as a main income source.....tanga mji wameuua Kwaajili yakuongeza tax.....lazima serekali yetu waangalie sana au Wanaichi tutaumia
 


Sasa tunalalamika nini....

Kwanzatulikua tunatolewa kwa bei Nzuri na tunalalamika na kutoridhika....na bei sasa ndio hiyo imepanda manake tumesemaaa sana sasa serekali imepandisha tax kwa kweli mimi duka langu ninabidi nilifunge manake biashara inanishindwa....

serekali yetu inafanya tax ya bandari main income na kulisha nchi nzima this is impossible.....


we have the highest Tax compare na Africa nzima.....Vipi tutafanya biashara hivi,sisi wafanya biashara wadogo tunaumia kiss zakaria na tenda yake ya betri......wakati biashara ni competion
 

Hapo kwenye RED = siyo kweli
 
Ilinipitaje hii!!!!!

CC MD25
 
Last edited by a moderator:
Huyu home shipping centre ni nani hasa na kwa maslahi ya nani guys wake up mulika mwiziiiiii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…