Mkatavimeo
JF-Expert Member
- Jan 3, 2011
- 2,150
- 872
Hivi hii noma inw connection yoyote na stanbic bank kariakoo branch?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
.....humu watu tunatoa info za watu afu usalama wanazitumia kujipatia kipato sababu issue nyingi zinakuwa ni 100%.
BL haitolewi bandarinii mzigo unapofika....HSC ya clearing na Forwarding then bidhaa zao zilipofika Dar, huwa hawapewi BL
Habari nilizopata toka kwa wafabiashara wa kariakoo ambao ndio waathirika wa makontena yalioko bandarini ni kuwa...
1.hsc ni bingwa wa kukwepa kodi Tanzania.
2.wafanyabiashara wakiagiza vitenge,tv,jenereta au hardware yeye kwenye kulipa bandarini anaandika tishu au net za msaada hivyo kulipa kidogo au kutolipa kabisa.
3.hsc ni Kampuni toka ikulu na vigogo wastaafu.
4.hsc haijakamatwa kwa bahati mbaya, na Mwakyembe kubadili utawala bandarini sio bahati mbaya Bali ni mpango maalumu.
Na kilichofanya hiyo Kampuni kuanikwa hadhani ni kitendo cha kuingilia tenda za vigogo wenzie akiwemo Zakaria na ishu ya betri za taiga.
Zaidi ni kitendo cha kutukanwa Mwakyembe na mkurugenzi wa hsc kwa kuambiwa Siwezi kuongea na wewe (Mwakyembe) naongea na mkubwa wako (jk)
Hivyo Mwakyembe nae akaamua liwalo na liwe kama uwaziri nifukuzwe tu Makotena hayatoki mpaka yalipe kodi halali.
Lakini mpaka sasa baada ya sakata la takribani miezi miwili juzi makotena yameanza kutolewa.!
Tetesi zainasema kuwa Home Shopping Centre ni mali ya mkuu wa kaya (tz) na ndio sababu mara nyingi makontena yake yamekuwa yakipita bandarini bila kutozwa ushuru wakati watanzania wa hali ya chini ambao wamempa dhamana wanaumizwa kwa kucheleweshewa mizigo yao bandarini kisa hakuna hela hazina.
Tetesi zinaendelea kusema kuwa hivi sasa kuna container zipatazo 30 bandarini zilizofojiwa detail kuwa zina vyandarua na kumbe sio. na badala yake zimegudnulika kuwa zina vitenge. (no wonder they are the cheapest shopping centre in TZ)
Ingawa sisuport fujo za Mtwara lakini tafakarini kama wananchi wa tanzania wanaojulikana ni waoga au niseme (waerevu wa kijinga) leo wanadhubutu kupambana na polisi kweli ni kwasababu ya Gas tu. Wananchi wamesikia mengi wamechoka na wamechoka sasa.
Naomba mwenye detail zaidi juu ya hili ambalo linasememkana lina uhusiano mkubwa na kikao cha leo wizara ya fedha atuhabarishe zaidi.