Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
Asante kwa kuliona hillo. Kama nguzo ya chama kwenye mishale ya Jiwe, inabidi awe neutral!
Aliyotabiri Slaa yalitokea hayakutokea? Aliyenunua chama si alirudi alikotoka? CHADEMA uwa inarudia mistake zile zile hata Malisa jana kaandika kuhusu hawa wabunge watatu wa viti maalum jinsi gani uteuzi wao ulikuwa na utata.Kama ndivyo basi alipoondoka mateka wenu slaa chadema ingekufa.
ILIBAKI IMARA
Ninavyojua Mimi ni kuwa, huyu mgombea wa CHADEMA anayejulikana maCCM wanamuogopa kuliko Jehanamu. Hivyo kwa kumtumia yule hakimu wa Kisutu ambaye juzi wamemuwekea Kinga asishitakiwe, watamzuia mgombea pekee wa CHADEMA asigombee. Pia kuna uwezekano Mkubwa MWAMBA kuzuliwa kugombea Urais, kwa kupitia ile rufaa ambayo MWAMBA na wenzake wamekata kupinga huku ya faini za Simba.Mkuu Retired mgombea wa cdm tayari anajulikana
Inshallah. Kwa tulio nje tunaomba heri.
Ninavyojua Mimi ni kuwa, huyu mgombea wa CHADEMA anayejulikana maCCM wanamuogopa kuliko Jehanamu. Hivyo kwa kumtumia yule hakimu wa Kisutu ambaye huna juzi wamemuwekea Kinga asishitakiwe, watamzuia mgombea pekee wa CHADEMA asigombee. Pia kuna uwezekano Mkubwa MWAMBA kuzuliwa kugombea Urais, kwa kupitia ile rufaa ambayo MWAMBA na wenzake wamekata kupinga huku ya faini za Simba.
Umejichanganya sana mkuu, kufaulu mitihani haina uhusiano wa moja kwa moja na kuwa na akiliAnayesemwa mzuri kichwani ana 0 ya A-level, anayesemwa siyo mzuri ana PhD! Maajabu ya nyumbu wa Tanzania.
Nahisi kuna pressure kubwa kutoka usalama wa Taifa na State machinery kiujumla kutotaka Lissu awe mgombea wa chama chochote kile cha Uraisi
Hakuna mtu ambaye Jiwe anamuogopa kama Lissu, anaweza kufanya deal lolote lile behind the scene ili Chadema isimpe nafasi ya kupeperusha bendera ya chsma kwenye uchaguzi
Umejichanganya sana mkuu, kufaulu mitihani haina uhusiano wa moja kwa moja na kuwa na akili
Kumbe jina la mgombea tayari liko mfukoni. Sasa huu usanii utawasaidia Nini?
afadhali. Hizi chaguzi zinagawana watu, unakumbuka CCM na Lowasa na Membe, ndipo akaibuka Jiwe....na Jiwe alivyoikalia kooni CDM, napata wasiwasi. Kama ingelikuwa siyo Jiwe na mizengwe yake, I will not care about Mbowe joingn the train!
Amina mkuuNimekuelewa. Amani iwe CDM ndiyo sala yangu!
Kamanda Chadema ni mali ya familiaTo me, Mbowe angeliacha kugombea Urais, ajenge chama, inaweza akaleta mvurugano. You stand a "better" chance to be the source /make divisions among your party members by being one of the contestants. This will create a fragile environment within your party taking into consideration that the government is waging a "war" against your party!- CHADEMA. You are jeopardizing the intergrity of your party! Chadema bado ina mashikamano mkubwa, we need not create chances to jeopardize this mshikamano!
SOMETIMES AS A LEADER YOU HAVE TO PLAY ALTRUISM!
I stand to be corrected!
View attachment 1480034View attachment 1480036View attachment 1480037View attachment 1480038
Si Mbowe bali ni maelekezo kutoka Tengeru,Chadema ni mali ya familiaBora umeliona hili na kulisema.
Anahamisha mjadala watu Sasa wameacha kukadili ulevi wake makamanda wanasafisha.
Anayesemwa mzuri kichwani ana 0 ya A-level, anayesemwa siyo mzuri ana PhD! Maajabu ya nyumbu wa Tanzania.
CCM ni mali ya Jiwe ndiyo maana uko hapo!Kamanda Chadema ni mali ya familia
Usihofu mambo yatakwenda vizuri na Lissu anafanya mambo, si unajua hiki ni chama cha demokrasia?To me, Mbowe angeliacha kugombea Urais, ajenge chama, inaweza akaleta mvurugano. You stand a "better" chance to be the source /make divisions among your party members by being one of the contestants. This will create a fragile environment within your party taking into consideration that the government is waging a "war" against your party!- CHADEMA. You are jeopardizing the intergrity of your party! Chadema bado ina mashikamano mkubwa, we need not create chances to jeopardize this mshikamano!
SOMETIMES AS A LEADER YOU HAVE TO PLAY ALTRUISM!
I stand to be corrected!
View attachment 1480034View attachment 1480036View attachment 1480037View attachment 1480038
DuhTo me, Mbowe angeliacha kugombea Urais, ajenge chama, inaweza akaleta mvurugano. You stand a "better" chance to be the source /make divisions among your party members by being one of the contestants. This will create a fragile environment within your party taking into consideration that the government is waging a "war" against your party!- CHADEMA. You are jeopardizing the intergrity of your party! Chadema bado ina mashikamano mkubwa, we need not create chances to jeopardize this mshikamano!
SOMETIMES AS A LEADER YOU HAVE TO PLAY ALTRUISM!
I stand to be corrected!
View attachment 1480034View attachment 1480036View attachment 1480037View attachment 1480038