Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 73,773
- 102,126
Mwenye hisa kubwa atakuwa NISSAN, Huyo HONDA lini alianza kutengeneza magari? tujuavyo anatengeneza pikipiki
Kwamba hujawahi kuona au hata kusikia gari brand ya Honda?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwenye hisa kubwa atakuwa NISSAN, Huyo HONDA lini alianza kutengeneza magari? tujuavyo anatengeneza pikipiki
Sio lazima uwanufaishe nyie.Huu muungano huku kwetu Africa utakuwa na manufaa gani?.
Uko Sahihi, Toyota Africa ni nyumbani japo soko lenye faida zaidi kwa Toyota halipo Africa as Africa wengi wana nunua used cars. Tho target ya hoa magiant wilioungana ni kupoteza makampuni makubwa kwenye soko la dunia kama ToyotaKwa soko la tz na Africa ni ngumu sana kumpoteza toyota, tayari amejikita mizizi kwa zaidi ya miaka 20 ijayo bado tutakuwa na circle ya magari ambayo yamekuwa imported muda huu. Mazda anafanya vizuri ila simuoni akimtikisa toyota.
Sahihi, japo BYD kutake over Africa inaweza kuchukua mda mrefu. Nadhani competition iko zaidi kwenye soko la dunia, ukizingatia wilioungana Wana majina na experience kwenye hii industrial, na target yenye faida zaidi ni Tier 1 & 2 countries na huko ndo Tesla na makampuni mengine kama ford yameweka target. In the long-run Toyota anaweza akawin hii battle au aka loseYes sahihi kabisa ndio maana nikasema kuwa ni swala la kujua jinsi ya kucheza karata ndo maana nikaandika kuwa hata toyota wakiona kuna unafuu wa gharama na uwezekano wa kupiga pesa kupitia merging au kutumia "enginereing design" ya brand zingine anafanya hivyo.. mfano sasa hivi china anasumbua industry ya magari sababu ya uwezo wao wa kutengeneza gari kwa gharama nafuu na nguvu kazi .. hasa kwenye EV.. so kampuni badala ya kampuni za nje zimeamua kuingia JV na local companies za china ili kupush brand zao mfano FAW MOTORS (FAW) ya china ana JV na toyota wanatengeneza corrola Models na kuziuza china na masoko jiran kupitia FAW TOYOTA MOTORS LTD pia at the same time hao hao FAW wana JV na Audi, Mazda na VW pia kutengeneza baadhi ya Model ya gari zao kuziuza kwenye soko la china
Huku kwenye EV, kampuni ya BYD amekimbiza sana na EV zake kamzidi hadi tesla.. Toyota akaona kwenye EV sio tu uwekezaji mkubwa bali na mda pia so kaamua kuingia joint na BYD kwenye EV hii inamanisha nini inamaanisha kuwa BYD tayar ana miziz kwenye EV so Toyota hana haja ya kuwekeza kwenye research na mda ili aje na vya kwake simply anaweka proposal mezani kwa BYD kuwa yeye BYD atanufaika kutumia platform ya Toyota worldwide kwa kujitanua kuuza gari zake EV huku. Huku Toyota akinufaika na well proven teknoloji ya EV za BYD na wataanza kutoa EV za toyota ambazo simply ni rebadged BYD EV kisha toyota wanaanza kuzisukuma kwenye masoko yake mfano afrika kama Toyota EV
Maana yake Hautakuja kukuta BYD EV zikauzwa Afrika kama BYD ila ni kama Toyota
Target kubwa ni Toyota. Fanya researchLengo sio Toyota,lengo ni kushindana na makampuni ya china.
Aisee futa hii kitu haraka kabla hujakosolewa na kila mtu. Maana kupuyanga na kuchochoa, huwa kunatokea wakati fulani.Mwenye hisa kubwa atakuwa NISSAN, Huyo HONDA lini alianza kutengeneza magari? tujuavyo anatengeneza pikipiki
kwamba sijui kama kuna magari ya HONDA au?Aisee futa hii kitu haraka kabla hujakosolewa na kila mtu. Maana kupuyanga na kuchochoa, huwa kunatokea wakati fulani.
mi ninachujua kuna pikipiki za HONDA, hayo magari yake sijui kama yapo duniani, labda naishi dunia yangu mwenyewe!Aisee futa hii kitu haraka kabla hujakosolewa na kila mtu. Maana kupuyanga na kuchochoa, huwa kunatokea wakati fulani.
ni kweli hizo HONDA gari sijawahi kuziona! naona nashambuliwa tuKwamba hujawahi kuona au hata kusikia gari brand ya Honda?
hayo magari ya HONDA Tanzani yapo? mtasema yapo dar, arusha na mwanza! sasa mnajua mi naishi wapi?Sema ujuavyo,lakini anatengeneza magari muda sana
Yaani Honda ni kampuni kubwa ya Kijapan inayozalisha bidhaa mbalimbali zikiwemo hizo pikipiki, majenereta, magari, nk. Kwa hiyo na magari pia wanatengeneza. Na hasa magari madogo ya kutembelea.kwamba sijui kama kuna magari ya HONDA au?
hilo ndilo jibu sahihi, ni kweli nipo nyuma sana kwenye ulimwengu wa magariBasi uko nyuma sana
hizo bidhaa zingine za HONDA naziona ila magari yake sijawahi kuyaona na sikujua kama yapo!Yaani Honda ni kampuni kubwa ya Kijapan inayozalisha bidhaa mbalimbali zikiwemo hizo pikipiki, majenereta, magari, nk. Kwa hiyo na magari pia wanatengeneza. Na hasa magari madogo ya kutembelea.
Aende tu hapo Malawi aone Honda zilivo nyingi.. watumiaji wa IST pata bongo ni watumiaji wa HONDA FREED Malawi.Ukiwa Africa Tanzania unajuwa gari ni Toyota tu,upo sahihi kutokana na maono ya kariakoo .. jaribu kuvuka mpaka hata kwa madiba tu.
Usichokijua ama kukiona usihisi kila mtu ndivyo alivyo ama ndivyo ajuavyo,hizo gari ziko nyingi sanahayo magari ya HONDA Tanzani yapo? mtasema yapo dar, arusha na mwanza! sasa mnajua mi naishi wapi?
Inawezekana unapishana nayo kila siku ila hujui kama ni Hondahizo bidhaa zingine za HONDA naziona ila magari yake sijawahi kuyaona na sikujua kama yapo!
Mwenye hisa kubwa atakuwa NISSAN, Huyo HONDA lini alianza kutengeneza magari? tujuavyo anatengeneza pikipiki