Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo China hakuna demokrasia au umechanganya kati ya demokrasia na uhuru wa kujiamulia mambo ya hovyohovyo.Maana kule western countries wenzetu hata ndoa za jinsia moja wanaita ni demokrasia...Hong Kong imerudi nyuma sana baada ya kujiunga na China hata demokrasia hakuna wamekuwa na utawala wa kidikteta tu mithili ya China.
Toa ufafanuzi wanerudi nyuma kwenye nini kwa takwimuHong Kong imerudi nyuma sana baada ya kujiunga na China hata demokrasia hakuna wamekuwa na utawala wa kidikteta tu mithili ya China.
Ona wenzako hukuKwahiyo China hakuna demokrasia au umechanganya kati ya demokrasia na uhuru wa kujiamulia mambo ya hovyohovyo.Maana kule western countries wenzetu hata ndoa za jinsia moja wanaita ni demokrasia...
Nimeshaeleza hapo wamerudi nyuma kwenye nini.Toa ufafanuzi wanerudi nyuma kwenye nini kwa takwimu
Takwimu ndo inahitajika sio manenoNimeshaeleza hapo wamerudi nyuma kwenye nini.
Takwimu gani unataka wewe, akina Magufuli na ccm kwa ujumla wamekuwa na hizo unazoita takwimu za uongo kwa muda mrefu na nchi ndio inazidi kuparara kila siku.Takwimu ndo inahitajika sio maneno
Mbona blah blah ndugu? Unaongea bila fact tatizoTakwimu gani unataka wewe, akina Magufuli na ccm kwa ujumla wamekuwa na hizo unazoita takwimu za uongo kwa muda mrefu na nchi ndio inazidi kuparara kila siku.